Ijue Hadhi ya Ubalozi, its Rights & Privileges. Wajua Kufutwa Ubalozi Dr. Slaa Hakutokani na Ukosoaji wa Bandari na Anaweza Kurejeshewa Ubalozi Wake?

Kuna baadhi ya watu humu wakiona bandiko lolote la Pascal Mayalla hata bila ya kulisoma wanajiandaa kupinga. Hivyo wamejikuta wanakosa mambo mengi. Kujifunza ni kujifunza tu, mtu anaweza kujifunza jambo flani hata kutoka kwa mtu asiye mtaka maadamu amemzidi uelewa wa jambo hilo. Hongera P.
 
Paskali,umetoa darasa zuri Sana uzidi kutoa elimu Kama hizi siku zijazo.
Lakini nina swali moja,hizi diplomatic immunities na benefits ni wakati ukiwa kazini au kwa maisha yao yote.
 
Mkuu P, hakuna mahali nimeongelea suala la Bandari na ukosoaji wake.
Tukumbuke tu kuwa kulikuwa na jaribio la kuwabambika kesi ya uhaini.
Sasa wewe binafsi unachijaribu kuonyesha ni kwamba its a normal course of business kuondolewa hadhi ya ubslozi.
Tukumbuke vile vile kuwa hazikutolewa sababu kufanya hivyo, leaving the matter to wild speculations.
 
Paskali,umetoa darasa zuri Sana uzidi kutoa elimu Kama hizi siku zijazo.
Lakini nina swali moja,hizi diplomatic immunities na benefits ni wakati ukiwa kazini au kwa maisha yao yote.
Zile privileges baadhi ni only ukiwa kazini, maana yake ukiwa on duty, ukisha staafu baadhi zinaondolewa na nyingine ni for life, mfano diplomatic passport na kupitia VIP ni for life, ile diplomatic immunity ya kutokamatwa na kushitakiwa ni for life, ila ile privileges ya kulipwa foreign allowances zinaondolewa, dependants kulipiwa international School, inaondolewa na kununua vitu tax free kunaisha, na kutembelea plate number ya ubalozi kuna keisha, wanaondelea na privilege hiyo ni wale wabunge wa EALA.

Kwa ubalozi niliokuwa nafanyia mimi, ikitokea ukaugua ugonjwa usiopona, ile premium health insurance kwako inaendelea for life, ila kwa wategemezi wako inasitishwa.

Privileges kwa Majaji wa Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa huendelea mpaka kifo na kuzikwa kwa heshima ya kijaji, ila hawatibiwi nje ya nchi!. Hongera Jaji Mkuu kutumia uadilifu wa kaisari, kwanini Majaji wastaafu hawatibiwi?, wanasubiriwa wafe tuu?

Pia maofisa fulani wa Idara nyeti hulipwa maisha yao yote hadi 6ft under!. Tribute to Silent Heroes!. Hongera “Idara” Kuhudumia Wastaafu Wake Till Death!”. Jee Huu Sio Ubaguzi?. Why Only Some are Cared to Death but not All?!

Privileges za constitutional offices ni zote ikiwemo asilimia 80% ya mshahara wa sitting officer, ukifa, mjane wako anaendelea kupokea 50% ya ile 80% mpaka kifo.
P
 

Tibaijuka, I suppose you meant Anna. To the best of my knowledge, hajawahi kuwa Balozi Wa kuteuliwa na JMT. Balozi alikuwa mume wake ambaye alishatangulia mbele ya haki.

i stand to be corrected.
 
Tibaijuka, I suppose you meant Anna. To the best of my knowledge, hajawahi kuwa Balozi Wa kuteuliwa na JMT. Balozi alikuwa mume wake ambaye alishatangulia mbele ya haki.

i stand to be corrected.
Viongozi wakuu wote wa UN Agencies wana hadhi ya ubalozi by virtue of their positions hivyo ni Mabalozi!.

P
 
Mimi sio mshauri wa yoyote, ni mtu tuu mwenye ufahahamu wa issues za kidplomasia hivyo kujitolea kuelimisha watu humu kuhusu mtu kufutiwa hadhi ya Ubalozi Hakutokani na Ukosoaji, bali kufutiwa kule ni Zinduna tuu, Ambari iko nyuma...
P
Hizi mbwela mbwela zako wakati wa utawala wa Jiwe ulifumba mdomo wako kama mbwa koko na mkia kuitia ndani .Huyu Mama munamchezea sana aah waswahili bana chakula cha simba tu lkn fitna zako hazifui dafu peleka mahkamani basi kesi yake na wewe umsimamie zaibala chorni.
 
No, kwa vile najiandaa kuanzisha kanisa langu, siwezi kuwa Mzee wa kanisa ili kutakapoanza nisinyoonyeshewe vidole vya uasi!.
P
Uwezi amini mzee ila kiukweli ukija na agenda kama

Pascally Mayalla kuwaponya wajane dhidi ya ujane
Pascally Mayalla na kanisa la wamama


Pascally mayala jibu la wanasiasa wasaliti wa utu.
Kanisa litafanikiwa
 
Uwezi amini mzee ila kiukweli ukija na agenda kama

Pascally Mayalla kuwaponya wajane dhidi ya ujane
Pascally Mayalla na kanisa la wamama

Pascally mayala jibu la wanasiasa wasaliti wa utu.
Kanisa litafanikiwa
Litakuwa ni kanisa la African Scientology Church, tutachukua mazuri ya dini za asili ikiwemo kuoa wanawake wengi, na kuzi blend na Agano la kale na agano jipya. Uongo wa wazungu tutaachana nao.
P
 
Uwezi amini mzee ila kiukweli ukija na agenda kama

Pascally Mayalla kuwaponya wajane dhidi ya ujane
Pascally Mayalla na kanisa la wamama


Pascally mayala jibu la wanasiasa wasaliti wa utu.
Kanisa litafanikiwa
Nitaanza na ujumbe huu
" Jee Wajua Umasikini ni Laana?"
"Njoo kwa Pastor Pasco Upatiwe Upako wa Utajiri, Uachane na Umasikini"
Kanisa la Pastor Pasco ni Online Church, ibada ni Kila Ijumaa Saa 1:00 - 2:00 na inaendeshwa virtually, ili siku ya Jumapili uweze kuendelea kushiriki kwenye kanisa lako.

Mafundisho ya Pastor Pasco ni mafundisho ya neema ya utajirisho, na kuishi maisha ya raha hapa duniani.

Tembelea www.pastorpasco. com
Utajiri ni haki yako, usikubali kuendelea kuwa
kumilonea,
miaonea.
alfuonea
au lakionea,
Njoo kwa Pastor Pasco uwe
Milionea,
Multi milionea,
Bilionea na
Trilionea!.
Karibu!.
P
 
Mkuu chipa GM , karibu mitaa hii ukimaliza karibu darasa langu Ijue Hadhi ya Ubalozi, its Rights & Privileges. Wajua Kufutwa Ubalozi Dr. Slaa Hakutokani na Ukosoaji wa Bandari na Anaweza Kurejeshewa Ubalozi Wake? haya mambo ya diplomasia pia nimeyaongea hapa Membe amejuaje Contents za 'Diplomatic Bag'? Uwezo kukanusha kaupata wapi? - Tusidanganyane!
P
 
Andiko zuri saanaa.

Kwakweli nimepata funzo zuri saanaa

Thanks Kaka mkubwa mzee WA totoz

Pascal Mayalla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…