Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #161
asanteAndiko zuri saanaa.
asanteKwakweli nimepata funzo zuri saanaa
thanks tooThanks Kaka mkubwa
Hii ya kuniita mzee wa totoz haijakaa vizuri, watu humu watanidhania mimi bado ni miongoni mwa wale wazee wanao hangaishana na vitoto vidogo vidogo vya mitaani, vi spring chickens,kumbe ilikuwa enzi zilee, siku hizi mimi ni mzee wa kanisa, na nikistaafu tuu, naanzisha kanisa langu。
Zile enzi zangu zile za kupiga misosi heavyweight zimepita
Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?
Wanabodi, Sisi binadamu tofauti tofauti tuna hobies mbalimbali, wengine wanapenda kutulia sehemu moja, wengine wanapenda kusafiri safiri. Mimi hobby yangu ni safari, na kula. yaani travelling na eating delicious meals na feasting on anything good! Yaani napenda sana kusafiri na kula vitu...