Ijue Hadhi ya Ubalozi, its Rights & Privileges. Wajua Kufutwa Ubalozi Dr. Slaa Hakutokani na Ukosoaji wa Bandari na Anaweza Kurejeshewa Ubalozi Wake?

Ijue Hadhi ya Ubalozi, its Rights & Privileges. Wajua Kufutwa Ubalozi Dr. Slaa Hakutokani na Ukosoaji wa Bandari na Anaweza Kurejeshewa Ubalozi Wake?

Andiko zuri saanaa.
asante
Kwakweli nimepata funzo zuri saanaa
asante
Thanks Kaka mkubwa
thanks too

Hii ya kuniita mzee wa totoz haijakaa vizuri, watu humu watanidhania mimi bado ni miongoni mwa wale wazee wanao hangaishana na vitoto vidogo vidogo vya mitaani, vi spring chickens,kumbe ilikuwa enzi zilee, siku hizi mimi ni mzee wa kanisa, na nikistaafu tuu, naanzisha kanisa langu。
Zile enzi zangu zile za kupiga misosi heavyweight zimepita
P
 
asante

asante

thanks too


Hii ya kuniita mzee wa totoz haijakaa vizuri, watu humu watanidhania mimi bado ni miongoni mwa wale wazee wanao hangaishana na vitoto vidogo vidogo vya mitaani, vi spring chickens,kumbe ilikuwa enzi zilee, siku hizi mimi ni mzee wa kanisa, na nikistaafu tuu, naanzisha kanisa langu。
Zile enzi zangu zile za kupiga misosi heavyweight zimepita
P
Thanks Kaka, Kama umestaafu.

Wewe ni hazina kubwa. Nimetumia hizi nondo zako kutoa darasa hapa wananiona Mimi kichwa balaaa.
 
Noted but hayo uliyasema kibongobongo hayatekelezeki ,Kwa mfano Sheria za vyombo vya habali zipo wazi uhuru ,mipaka yao nakadharika lakin mbona Huwa waziri au kiongozi yeyote anaweza piga mkwala taarifa frani itoke au istoke

Slaa ni kweli ana hadhi ya ubalozi kibongobongo hata Kama ikidhibitika Hana hatia hawez rudishwa ubalozini.
Nchi hii ni ya hovyo sana! Anateuliwa mtu kuwa balozi wakati Hana Hata Cheti cha kusomea kozi ya Diplomasia!
 
Back
Top Bottom