Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Leo katika kujifunza masuala ya siasa, ningepeda kuwaelezea kuhusu NEC ya CCM. Kuna watu wengi hawaijui na hawawajui wajumbe wake. Baada ya marekebisho madogo ya katiba ya CCM kumekuwa na ongezeko la viti.
Ngoja nianze kulingana na KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI
Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa itakuwa na wajumbe wafuatao:-
(a) Mwenyekiti wa CCM.
(b) Makamu mwenyekiti wa CCM (Zanzibar)
(c) Makamu mwenyekiti wa CCM (Bara)
(d) Katibu Mkuu wa CCM
(e) Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanaotokana na CCM.
(f) Rais wa Zanzibar anayetokana na CCM.
(g) Manaibu wa Katibu Mkuu wa CCM
(h) Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Makamu wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wanaotokana na CCM.
(i) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa Organaizesheni.
(j) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa Itikadi na Uenezi.
(k) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa.
(l) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa Uchumi na Fedha.
(m) Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa kila Jumuiya ya CCM
(n) Mwenyekiti na Katibu wa Kamati ya Wabunge wa CCM
(o) Mwenyekiti na Katibu wa Kamati ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wa CCM.
(p) Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania anaye tokana na CCM, na Spika wa Baraza la Wawakilishi anayetokana na CCM
(q) Wenyeviti wote wa CCM wa Mikoa.
(r) Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa mmoja kutoka kila mkoa wa Tanzania Bara na wanne kutoka kila mkoa wa Zanzibar waliochaguliwa na Mkutano Mkuu wa Mkoa.
(s) Wajumbe ishirini kutoka Tanzania Bara na Wajumbe ishirini kutoka Zanzibar waliochaguliwa na Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa kutoka Orodha ya Taifa.
(t) Wajumbe watano kutoka kila Jumuiya ya CCM, waliochaguliwa na Mkutano Mkuu wa Jumuiya.
(u) Wajumbe kumi waliochaguliwa na Halmashauri kuu ya Taifa kutokana na mapendekezo ya Mwenyekiti wa CCM.
(v) Wajumbe watano waliochaguliwa na Wabunge wote wa CCM.
(w) Wajumbe watatu waliochaguliwa na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wa CCM kutoka miongoni mwao.
Tujadili sasa.......
Ngoja nianze kulingana na KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI
Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa itakuwa na wajumbe wafuatao:-
(a) Mwenyekiti wa CCM.
(b) Makamu mwenyekiti wa CCM (Zanzibar)
(c) Makamu mwenyekiti wa CCM (Bara)
(d) Katibu Mkuu wa CCM
(e) Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanaotokana na CCM.
(f) Rais wa Zanzibar anayetokana na CCM.
(g) Manaibu wa Katibu Mkuu wa CCM
(h) Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Makamu wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wanaotokana na CCM.
(i) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa Organaizesheni.
(j) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa Itikadi na Uenezi.
(k) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa.
(l) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa Uchumi na Fedha.
(m) Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa kila Jumuiya ya CCM
(n) Mwenyekiti na Katibu wa Kamati ya Wabunge wa CCM
(o) Mwenyekiti na Katibu wa Kamati ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wa CCM.
(p) Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania anaye tokana na CCM, na Spika wa Baraza la Wawakilishi anayetokana na CCM
(q) Wenyeviti wote wa CCM wa Mikoa.
(r) Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa mmoja kutoka kila mkoa wa Tanzania Bara na wanne kutoka kila mkoa wa Zanzibar waliochaguliwa na Mkutano Mkuu wa Mkoa.
(s) Wajumbe ishirini kutoka Tanzania Bara na Wajumbe ishirini kutoka Zanzibar waliochaguliwa na Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa kutoka Orodha ya Taifa.
(t) Wajumbe watano kutoka kila Jumuiya ya CCM, waliochaguliwa na Mkutano Mkuu wa Jumuiya.
(u) Wajumbe kumi waliochaguliwa na Halmashauri kuu ya Taifa kutokana na mapendekezo ya Mwenyekiti wa CCM.
(v) Wajumbe watano waliochaguliwa na Wabunge wote wa CCM.
(w) Wajumbe watatu waliochaguliwa na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wa CCM kutoka miongoni mwao.
Tujadili sasa.......