Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
- #21
(12) Unapofika wakati wa Uchaguzi, Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa itashughulikia mambo yafuatayo:-
(a) Kuteua jina la Mwanachama atakayesimama katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM, na majina mawili ya Wanachama watakaosimama katika uchaguzi wa Makamu wa Mwenyekiti wa CCM.
(b) Kupendekeza kwa Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa majina yasiyozidi matatu ya Wanachama wanaogombea nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuyawasilisha mbele ya Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa.
(c) Kuchagua jina moja la Mwanachama atakayesimama katika uchaguzi wa Rais wa Zanzibar
(d) Kuwachagua Katibu Mkuu wa CCM, Manaibu Katibu Mkuu wa CCM, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa Itikadi na Uenezi, Katibu wa Halmshauri Kuu ya Taifa wa Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa Uchumi na Fedha na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Organaizesheni kutoka miongoni mwa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa.
(e) Kuwachagua Wanachama wasiozidi kumi (10) kuwa Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa kutokana na mapendekezo ya Mwenyekiti wa CCM.
(f) Kuwachagua Wajumbe sita (6) wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa watatu (3) kutoka Tanzania Bara na watatu (3) kutoka Zanzibar, wakiwemo wanawake wasiopungua wawili mmoja kutoka Tanzania Bara na mmoja kutoka Zanzibar.
(g) Kufikiria na kufanya uteuzi wa mwisho wa majina ya Wanachama wanaoomba nafasi ya Ubunge na majina ya Wanachama wanaoomba nafasi ya Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa mujibu wa sheria zilizopo za uchaguzi huo.
(h) Kufikiria na kufanya uteuzi wa mwisho wa majina ya Wanachama wanaoomba nafasi ya Ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa; Uenyekiti wa CCM wa Wilaya na Mikoa.
(i) Kufanya uteuzi wa mwisho wa majina ya Wanachama wa CCM wanaogombea Uenyekiti wa Mkoa, Uenyekiti na Makamu Wenyeviti wa Taifa wa kila Jumuiya ya CCM.
(j) Kuwachagua Wajumbe wanane wa Baraza la Wadhamini kutoka Tanzania Bara na Zanzibar
Inaendelea...
(a) Kuteua jina la Mwanachama atakayesimama katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM, na majina mawili ya Wanachama watakaosimama katika uchaguzi wa Makamu wa Mwenyekiti wa CCM.
(b) Kupendekeza kwa Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa majina yasiyozidi matatu ya Wanachama wanaogombea nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuyawasilisha mbele ya Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa.
(c) Kuchagua jina moja la Mwanachama atakayesimama katika uchaguzi wa Rais wa Zanzibar
(d) Kuwachagua Katibu Mkuu wa CCM, Manaibu Katibu Mkuu wa CCM, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa Itikadi na Uenezi, Katibu wa Halmshauri Kuu ya Taifa wa Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa wa Uchumi na Fedha na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Organaizesheni kutoka miongoni mwa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa.
(e) Kuwachagua Wanachama wasiozidi kumi (10) kuwa Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa kutokana na mapendekezo ya Mwenyekiti wa CCM.
(f) Kuwachagua Wajumbe sita (6) wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa watatu (3) kutoka Tanzania Bara na watatu (3) kutoka Zanzibar, wakiwemo wanawake wasiopungua wawili mmoja kutoka Tanzania Bara na mmoja kutoka Zanzibar.
(g) Kufikiria na kufanya uteuzi wa mwisho wa majina ya Wanachama wanaoomba nafasi ya Ubunge na majina ya Wanachama wanaoomba nafasi ya Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa mujibu wa sheria zilizopo za uchaguzi huo.
(h) Kufikiria na kufanya uteuzi wa mwisho wa majina ya Wanachama wanaoomba nafasi ya Ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa; Uenyekiti wa CCM wa Wilaya na Mikoa.
(i) Kufanya uteuzi wa mwisho wa majina ya Wanachama wa CCM wanaogombea Uenyekiti wa Mkoa, Uenyekiti na Makamu Wenyeviti wa Taifa wa kila Jumuiya ya CCM.
(j) Kuwachagua Wajumbe wanane wa Baraza la Wadhamini kutoka Tanzania Bara na Zanzibar
Inaendelea...