Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Kumbuka Waarabu sio wa kwanza kuingia hapo, na Wamisri hao wa kale walikuwa na vituo vya elimu hasa eneo la Alexadria ambalo watu wa mataifa mbalimbali walikuwa wanakuja kusoma hapo, hivyo Waarabu ni race ya mwisho kuingia hapo Misri baada ya Wayunani-Greeks na kisha Warumi chini ya Alexander the great

Hiyo picha hapo chini inaonyesha watu wa race mbili tofauti, hao wanaotahiri ni watu Weusi ambao ndio wenye huo ujuzi na utamaduni, wakiwapa tohara hao wageni watu weupe? Wagiriki, Warumi, Waarabu?

View attachment 463577
Mkuu upo sahihi kwa upande mmoja na upande mwingine haupo sahihi kuhusu ngozi nyeusi maeneo hayo hizi enzi za kati.
Hayo uliyoongea hapo wewe ni historia ya maelfu ya miaka kabla ya uzao wa Yesu.
Lakini enzi aliyozaliwa Yesu toka kabila la Yuda, tayari hayo unayoongelea yalishapita enzi na enzi.
Hayo makabila 12 ya Wayahudi yanayoongelewa ktk "bible" yapo mpaka leo, moja wapo likiwemo la Yesu.
Pia usome historia inasema, Baba wa uzao wa Israel ni Abrahamu ama Ibrahimu. Huyo mzee Ibrahimu na mkewe Sara, alitokea Babeli(Iraki ya sasa) na kundi lake la ngamia kupitia mji wa Damascus (Syria ya leo) kuelekea upande wa kusini ili kuifuata nchi ya ahadi aliyooteshwa na Mungu.
Alipofika hiyo nchi ya ahadi, hakukuta aridhi tupu isiyokaliwa na watu. Bali alikuta wenyeji ambao ni Wafilisti (Wapalestina wa leo) na wakamuwekea pingamizi. Kwakuwa alikuwa na utajiri wa kutupwa, alinunua kipande cha aridhi, haijulikani ukubwa wa aridhi hiyo ili kuanzisha makazi.
Huo ndiyo ukawa mwanzo wa waisrael kuishi Maeneo ya asili ya wa-Palestina
Tukirudi kwenye mada, tuangalie sasa "nature" ya Waisrael na Wapalestina wa leo kutokana na simulizi za historia niliyoiweka hapo juu kama walikuwa ni ngozi nyeusi kweli!
 
IMG_0988.JPG
Asante sana Secret Star,
AMUN = Hidden
RA = Light
Pia ana symbol ya mnyama Ram kwa sababu ya nguvu zake za uzazi na energy ya kupanda milima, mafarao wengi walijiita watoto wa AMUN RA
 
Secret star ISIS Tim choice asanteni sana kwa kunifungua akili kweli tangu asbh ya Leo nafanya utafiti wangu binafsi kujilidhisha na haya mnayotetea nikaja na suluhuhisho moja tu nalo ni kujua kiini original of black people
Niliyokutananayo yamenishangaza sana Atayebisha aingie hapa ataona yote realyhistoryww.com
Jamii ya kwanza kustarabika walikuwa ni Weusi
Hata binadamu wa kwanza ni mweusi
Kwa hiyo kama Jamii ya kwanza kustarabika walikuwa ni watu Weusi Nina imani hata maendeleo ya kwanza yalikuwa ya watu weusi
Lipo tatizo na tunatakiwa sisi Weusi tupigane kutoka hapo
Binadamu wa kwanza alikua mweusi kwa maana ya adamu au wale waliobadilika kutoka sokwe kua binadamu?
 
Mkuu upo sahihi kwa upande mmoja na upande mwingine haupo sahihi kuhusu ngozi nyeusi maeneo hayo hizi enzi za kati.
Hayo uliyoongea hapo wewe ni historia ya maelfu ya miaka kabla ya uzao wa Yesu.
Lakini enzi aliyozaliwa Yesu toka kabila la Yuda, tayari hayo unayoongelea yalishapita enzi na enzi.
Hayo makabila 12 ya Wayahudi yanayoongelewa ktk "bible" yapo mpaka leo, moja wapo likiwemo la Yesu.
Pia usome historia inasema, Baba wa uzao wa Israel ni Abrahamu ama Ibrahimu. Huyo mzee Ibrahimu na mkewe Sara, alitokea Babeli(Iraki ya sasa) na kundi lake la ngamia kupitia mji wa Damascus (Syria ya leo) kuelekea upande wa kusini ili kuifuata nchi ya ahadi aliyooteshwa na Mungu.
Alipofika hiyo nchi ya ahadi, hakukuta aridhi tupu isiyokaliwa na watu. Bali alikuta wenyeji ambao ni Wafilisti (Wapalestina wa leo) na wakamuwekea pingamizi. Kwakuwa alikuwa na utajiri wa kutupwa, alinunua kipande cha aridhi, haijulikani ukubwa wa aridhi hiyo ili kuanzisha makazi.
Huo ndiyo ukawa mwanzo wa waisrael kuishi Maeneo ya asili ya wa-Palestina
Tukirudi kwenye mada, tuangalie sasa "nature" ya Waisrael na Wapalestina wa leo kutokana na simulizi za historia niliyoiweka hapo juu kama walikuwa ni ngozi nyeusi kweli!

Asante sana mkuu, na wewe uko sahihi upande mmoja na umekosea upande mwingine, Nikuulize tu hiyo Babel kulikuwa hakuna watu weusi?, hivi ulishawahi soma habari za Nimrod? Alikiwa ni mtu wa rangi gani?
 
Kuna swali linanisumbua, hivi kuna tofauti gani kubwa kati ya Miungu wa View attachment 505969Ogdoad of Hermopolis (Khmunu) na Miungu wengine wa Misri?
Ogdoad of Hermopolis ndo kichaka cha miungu Mikubwa zaidi ya Misri hapo ndo alipotokea Amun. Ila Miaka mingi Baadae baada ya Mafarao kukosea masharti Amun na Ra waliwapiga laana Wamisri! Kifupi Waliwalaani na wakahamishia baraka zao kwa Taifa la waisrael na ndugu zao wa asili (Wazungu)!
hapo ndo ikawa mwisho wa habari za Weusi! Kifupi mtu mweusi wa Leo hawezi kuomba Amun Ra akajibiwa! sababu hao ndo waliolaani mababu zetu na kizazi chote!
Amun na Ra hapo kale walikuwa ni kipenzi cha Taifa la wamisri ila kwa sasa Ndio Maadui wakuu wa Taifa la Misri! sijui unanielewa?. But Ogdoad alipotokea Amun kuna Miungu wengine watatu mmoja wao anaitwa "Heh" au Huh Huyu ndiye Tegemezi letu waafrika wa leo sababu yeye ndiye Muda, Mlinzi wa Taifa la Misri kwa miaka milioni na milioni! kifupi huyu ni endlessnes! Nadhani huu ni muda wa kupanga mipango mipya juu ya taifa la letu/Misri sababu' Wale tunaowaona waliwasaidia Mababu zetu wa kale! Amun, Ra, Isis, kina Osiris Ndiyo waliotupatia mapigo saba! na huwezi amini nikikwambia kuwa bado tupo kwenye mapigo hayo mpaka leo! So Kazi kwetu! Tukiwaza kwa kina tutapata majibu nini Tufanye.
 
Ogdoad of Hermopolis ndo kichaka cha miungu Mikubwa zaidi ya Misri hapo ndo alipotokea Amun. Ila Miaka mingi Baadae baada ya Mafarao kukosea masharti Amun na Ra waliwapiga laana Wamisri! Kifupi Waliwalaani na wakahamishia baraka zao kwa Taifa la waisrael na ndugu zao wa asili (Wazungu)!
hapo ndo ikawa mwisho wa habari za Weusi! Kifupi mtu mweusi wa Leo hawezi kuomba Amun Ra akajibiwa! sababu hao ndo waliolaani mababu zetu na kizazi chote!
Amun na Ra hapo kale walikuwa ni kipenzi cha Taifa la wamisri ila kwa sasa Ndio Maadui wakuu wa Taifa la Misri! sijui unanielewa?. But Ogdoad alipotokea Amun kuna Miungu wengine watatu mmoja wao anaitwa "Heh" au Huh Huyu ndiye Tegemezi letu waafrika wa leo sababu yeye ndiye Muda, Mlinzi wa Taifa la Misri kwa miaka milioni na milioni! kifupi huyu ni endlessnes! Nadhani huu ni muda wa kupanga mipango mipya juu ya taifa la letu/Misri sababu' Wale tunaowaona waliwasaidia Mababu zetu wa kale! Amun, Ra, Isis, kina Osiris Ndiyo waliotupatia mapigo saba! na huwezi amini nikikwambia kuwa bado tupo kwenye mapigo hayo mpaka leo! So Kazi kwetu! Tukiwaza kwa kina tutapata majibu nini Tufanye.
Nimesoma naona ndipo alipo Nun, kek, Heh, na Amun. Duh mambo yanachanganya haya si rahisi sana
 
Kuna swali linanisumbua, hivi kuna tofauti gani kubwa kati ya Miungu wa View attachment 505969Ogdoad of Hermopolis (Khmunu) na Miungu wengine wa Misri?
Naona Pharaoh amekujibu vizuri, lakini nitapinga kuwa tuko chini ya laana mpaka sasa hivi! LA HASHA! Kifungo kimeondolewa ndiyo maana tunapata hii insight! Awakening or Returning of the Gods and Goddess ! Ukija kwenye kuwafuatilia kwa karibu hawa ma babu na bibi zetu wa kale, huyu huyu mtu wa pink ameivuruga historia yao sana! Ndiyo maana unaisoma alafu unaona ni kama vurugu flani hivi! Ukienda India utaona watu wa kule wana miungu kibao, kwa hiyo ni sawa na kipindi hicho Misri
. Wamisri na Waisrael walikuwa wote wana rangi moja kama sisi tulivyo, ndiyo maana mtoto Mussa akalelewa na binti Pharaoh kama mmisri bila kujulikana kama alikuwa ni myahudi!
 
Ogdoad of Hermopolis ndo kichaka cha miungu Mikubwa zaidi ya Misri hapo ndo alipotokea Amun. Ila Miaka mingi Baadae baada ya Mafarao kukosea masharti Amun na Ra waliwapiga laana Wamisri! Kifupi Waliwalaani na wakahamishia baraka zao kwa Taifa la waisrael na ndugu zao wa asili (Wazungu)!
hapo ndo ikawa mwisho wa habari za Weusi! Kifupi mtu mweusi wa Leo hawezi kuomba Amun Ra akajibiwa! sababu hao ndo waliolaani mababu zetu na kizazi chote!
Amun na Ra hapo kale walikuwa ni kipenzi cha Taifa la wamisri ila kwa sasa Ndio Maadui wakuu wa Taifa la Misri! sijui unanielewa?. But Ogdoad alipotokea Amun kuna Miungu wengine watatu mmoja wao anaitwa "Heh" au Huh Huyu ndiye Tegemezi letu waafrika wa leo sababu yeye ndiye Muda, Mlinzi wa Taifa la Misri kwa miaka milioni na milioni! kifupi huyu ni endlessnes! Nadhani huu ni muda wa kupanga mipango mipya juu ya taifa la letu/Misri sababu' Wale tunaowaona waliwasaidia Mababu zetu wa kale! Amun, Ra, Isis, kina Osiris Ndiyo waliotupatia mapigo saba! na huwezi amini nikikwambia kuwa bado tupo kwenye mapigo hayo mpaka leo! So Kazi kwetu! Tukiwaza kwa kina tutapata majibu nini Tufanye.
Pharao Asante sana kwa uchambuzi! Kitu cha kufanya ni kujiamini, kuwa na positive mind, iamini intuition and take action! Do not feel guilty au fear kwa past yako! Love your country with all your heart and soul! Everyday kuna jambo jipya chini ya jua! Remain blessed!
 
Ni wazo zuri sana lakini kuanzisha group la whatsapp nafikiri tutawalimit watu sana humu JF ni kisima cha elimu watu wengi zaidi wanafuatilia huu uzi
 
Back
Top Bottom