Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Mungu sio mungu Mwenye Enzi Mkuu uwezi mwita mungu ukitumia herufi ndogo unamaanisha vitu vingine ni kweli uliposema mpka umauti unakukuta ujinga hautakuisha
 
Nimekubali kaka endeleeni kujipendekeza na kuteteana katika kupotoshana sijui hata maslahi gani mnapata mkiambiwa ukweli mnajifanya kususa....

Pole yenuuuu......
Point ya huyo unayemwita dogo ni suala dogo sana vile vile anataka kujua from your source of knowledge pharaoh wakati wa Mussa aliitwa nani kwa sababu secret star amemtaja jina wewe unasema sio jina lake tupe jina lake wewe
 
Hakuna wa kuingia mitini kwa hoja dhaifu kama yako jibu maswali unayoulizwa that's all
 
Point big point
 
Hakuna wa kuingia mitini kwa hoja dhaifu kama yako jibu maswali unayoulizwa that's all

Siwezi kujibu maswali mengine kama mpaka sasa wote mmeshindwa kunijibu swali langu la kwanza au MNAMUOGOPA Secret Star!!? Au!?

Swali ni rahisi tu nilichangia mara yangu ya kwanza, NIKAULIZWA NA HUYO MNAYEMUOGOPA NYINYI (Je ninajua maana ya pharao!?, nikamjib ndio..

Swali langu kwake

LOGIC YAKE YA KUNIULIZA KAMA NAJUA MAANA YA PHARAO!?( Baada ya comment yangu ya kwanza!!!)

Swali ni rahisi sana tena saaanaaa lakini kwa kuwa linaonesha ukurupukaji ndo maana mnakwepakwepa kulijibu

Mbona mnatapatapa mkinijibu tutaendelea...
Vinginevyo endeleeni kupumbazana.......
 
Hahahaha
Haki ya Mola wangu walahi

Siwezi kujibu maswali mengine kama mpaka sasa wote mmeshindwa kunijibu swali langu la kwanza au MNAMUOGOPA Secret Star!!? Au!?

Swali ni rahisi tu nilichangia mara yangu ya kwanza, NIKAULIZWA NA HUYO MNAYEMUOGOPA NYINYI (Je ninajua maana ya pharao!?, nikamjib ndio..

Swali langu kwake

LOGIC YAKE YA KUNIULIZA KAMA NAJUA MAANA YA PHARAO!?( Baada ya comment yangu ya kwanza!!!)

Swali ni rahisi sana tena saaanaaa lakini kwa kuwa linaonesha ukurupukaji ndo maana mnakwepakwepa kulijibu

Mbona mnatapatapa mkinijibu tutaendelea...
Vinginevyo endeleeni kupumbazana.......
 
Nilikuwa nachungulia nini kinaendelea


Siwezi kujibu maswali mengine kama mpaka sasa wote mmeshindwa kunijibu swali langu la kwanza au MNAMUOGOPA Secret Star!!? Au!?

Swali ni rahisi tu nilichangia mara yangu ya kwanza, NIKAULIZWA NA HUYO MNAYEMUOGOPA NYINYI (Je ninajua maana ya pharao!?, nikamjib ndio..

Swali langu kwake

LOGIC YAKE YA KUNIULIZA KAMA NAJUA MAANA YA PHARAO!?( Baada ya comment yangu ya kwanza!!!)

Swali ni rahisi sana tena saaanaaa lakini kwa kuwa linaonesha ukurupukaji ndo maana mnakwepakwepa kulijibu

Mbona mnatapatapa mkinijibu tutaendelea...
Vinginevyo endeleeni kupumbazana.......
 
Hakuna wa kuingia mitini kwa hoja dhaifu kama yako jibu maswali unayoulizwa that's all

Siwezi kujibu maswali mengine kama mpaka sasa wote mmeshindwa kunijibu swali langu la kwanza au MNAMUOGOPA Secret Star!!? Au!?

Swali ni rahisi tu nilichangia mara yangu ya kwanza, NIKAULIZWA NA HUYO MNAYEMUOGOPA NYINYI (Je ninajua maana ya pharao!?, nikamjib ndio..

Swali langu kwake

LOGIC YAKE YA KUNIULIZA KAMA NAJUA MAANA YA PHARAO!?( Baada ya comment yangu ya kwanza!!!)

Swali ni rahisi sana tena saaanaaa lakini kwa kuwa linaonesha ukurupukaji ndo maana mnakwepakwepa kulijibu

Mbona mnatapatapa mkinijibu tutaendelea...
Vinginevyo endeleeni kupumbazana.......
 
Oya Acheni kubishana tunafuatilia historia hiyo msilete mbwembwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…