Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

We donbrasco kwani umetumwa kaka mbona unavuruga somo,toka majuzi unasumbua watu umu?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Heshima yako mkuu mbona mnanionea kuweni wakweli.

Kwani kuniulizia swali langu kwa Secret Star mnashindwa nini duh wabongo kweli tunashida!

Swali rahisi tu yeye alinivaa kichwa kichwa na mi nikamuuliza swali tena baada ya kumjibu swali lake, nikamuuliza swali rahisi tu maanake kama angekuwa ni muelewa na ni mstaarabu kulikuwa hakuna logic ya yeye kuniuliza kama najua maana ya pharaoh.... sasa wote mnaogopa kusema haki mmeona wa kuniliaumu ni mimi, hii inaonesha kuwa tuna upeo mdogo kwenye mijadala na huwa tunapenda kurukia vitu tu,kwa sababu swali langu lilikuwa dogo na rahisi kwa aliyekuwa makini...

Basi mi nawaaga sitochangia lakini mjue kuwa sijatendewa haki na jamaa wengi humu ila kwa maslahi ya umma mi natulia nyie endeleeni

Kwaherini, samahani kwa wote niliowakwaza kwa namna moja ama nyingine....
One Loveee.....
 
Bora uende kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo historia ulisimuliwa au umesoma kitabu au ulikuwepo zama hizo hata uthibitishe kuwa wengine ni waongo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni historia iliyoandikwa kwenye walls na pyramid kule Kemet, Isitoshe historia hiyo imeandikwa kwenye Encyclopedia nyingi sana Duniani kama ni mpenzi wa kutembelea Maktaba huwezi kosa Vitabu vingi vyenye historia hizi.
Mfano kuna "The Oxford Encyclopedia of Ancient Egypt""
Hiyo ni Encyclopedia kutoka chuo kikuu cha England kuhusu historia ya Mababu wa Misri iliyojichukulia Tuzo nyingi Duniani kama vile::

2002 Dartmouth Medal Winner,
2002 Association of American Publishers, Best Multivolume Reference, Humanities.,
2002 ALA/RUSA Outstanding Reference Source.
2001 Library Journal Best Reference,
2001 Choice Outstanding Academic Title,
2002 Dartmouth Medal Winner,
2002 Association of American Publishers, Best Multivolume Reference, Humanities
2002 ALA/RUSA Outstanding Reference Source,
2001 Library Journal Best Reference,
2001 Choice Outstanding Academic Title.

So hizi sio story za Abunuwasi mzee, Ukitaka uhakika zaidi kutoa hivyo vitabu unaweza kutembelea makazi ya kale ya mababu hawa Kemet na Giza Misri.



SM-G955F Samsung galaxy S8+
 
Historia ni kitu kizuri sana. Inashangaza mipuuzi mingine akina Taliban kazi yao ni kuharibu. Kulikuwa na mpango wa "kulipoteza" kaburi la Mtume; itakuwa kosa kubwa sana wakifanya hivyo.
 
...
So hizi sio story za Abunuwasi mzee, Ukitaka uhakika zaidi kutoa hivyo vitabu unaweza kutembelea makazi ya kale ya mababu hawa Kemet na Giza Misri. SM-G955F Samsung galaxy S8+
Asante sana Kiongozi. Umenifumbua macho hasa.
 
Umeanza kwa kushambulia wasomi na imani zao. Ukamaliza kwa kuwasilisha.

Nijibu
Ulikuwepo wakati huo? Maana hujaeleza taarifa umepata wapi. Kama umehadithiwa, hudhani waweza pia danganywa? Kama umesoma hadithi hii, toa rejea zake.

Hapo unahisi umemaliza kuelezea ukweli wa swala hilo? Kwa ushahidi upi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwisho wa siku nilijua tu nitakutana na maneno kama haya.

Yani hii ni sawa na ile "Mange amesema"

Unapinga alichosema Mmasai wa Karatu kwa kutumia alichosema Mmasai wa Longido

Alafu unajiona bonge la mtu mwenye hoja[emoji3] [emoji3] [emoji3]

Kweli uafrika nao tabu. Siku huyo jamaa akisema tena hivi, utakuja na kusema aliyosema. Yani yeye ndio ushahidi wako [emoji3] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuwa nikifuatilia pia uzi huu, kwani mzee nikuulize swali, Ni aina gani ya habari ndiyo huwa unaiamini kuwa ndiyo yenye ukweli kwa asilimia zote? Nafikiri ukijibu tu hili swali Dogo, Secret Star ataweza kukupa unachokitaka bila matata. Mambo ya wamasai na Mange yanatoka wapi kwenye Ancient Egypt mbaba[emoji2]
 
My Queen wapi jamani nakutafuta sehemu zote sikupati
Don't do this to me
Contact me please even pm
 
Ok
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…