Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Nenda kawaulize, halafu kule kwote Dogon sijui wapi kwote unakotupeleka nshakueleza ushahidi upo mpakani na kaburi lake Faraoz kwenyewe/majirani,huko kote unatupeleka ili iweje?
Kwanini nikawaulize wao badala ya kukuuliza wewe uliye hapa karibu na uliyesema kuwa hawakutawaliwa?

Au umeandika kitu usichokijua zaidi?
 
Kwanini nikawaulize wao badala ya kukuuliza wewe uliye hapa karibu na uliyesema kuwa hawakutawaliwa?

Au umeandika kitu usichokijua zaidi?

Kwanza kwa kusema karibu unamaanisha nini,maanake mimi sipo karibu nawe nafikiri.
Ukilitazama ramani ya Afrika,ni jamii zipi zilizoizunguka Misri mpakani kabisa?
 
Mzee mi sibishani kuhusu dini hapa! Usijesababisha uzi wangu kufungwa! Hebu angalia huu uzi upo kwenye jukwaa la Historia na Sio Dini naomba uende zako[emoji57]
Hahaha...nani kakuuliza mahala uzi ulipo?

Nani kakuambia twabishania dini?

Wewe umesema kuwa Biblia na mengine yasemwayo ni UONGO kuhusu Pharaoh Ramesses ila ya kwako uliyoyaandika ni SAHII NA KWELI

Huo UKWELI WAKO unauthibitishaje dhidi ya UONGO unaoaminiwa na wengi?

Hata Moderators hawapendi watu waandikao threads kwa kukurupuka bila kuwa na facts.

Sawa...?
 
Mzee mi sibishani kuhusu dini hapa! Usijesababisha uzi wangu kufungwa! Hebu angalia huu uzi upo kwenye jukwaa la Historia na Sio Dini naomba uende zako[emoji57]
Mkuu hapo kweny hiyo mada yako umethibitisha kabisa kuwa biblia na quran vyote vimesema uongo juu ya firaurii,,mpka unafikia hatua kusma kwamba tumeaminishwa uwongo bimana ulichokiandka wew ndo kweli,,,inamana wew huamini vitab vya dini??nakma huamin basi utakuwa na matatizo ya mental retardation sio buree mungu akusamehee
 
Kweli kabsaa
Dada Nassib huu uzi niliutoa kwa leo la Historia! Tena historia ya Misri sio ya kiislam au kristo kama unataka ubishani wa kidini tafuta threads za dini/imani, Uzi usijefutwa sababu ya kuzozana na dini.
 
Kwanza kwa kusema karibu unamaanisha nini,maanake mimi sipo karibu nawe nafikiri.
Ukilitazama ramani ya Afrika,ni jamii zipi zilizoizunguka Misri mpakani kabisa?
Ahaa...swali lako rahisi sana

Karibu ninamaanisha ukaribu wa wewe kunjibu hapa hapa kabla sijaenda kuwauliza waethiopia.

Halafu kwanini uniulize tena maswali badala ya wewe kujibu kwanza ndipo uulize?

Kwanini Ethiopia haikutawaliwa?
 
Dada Nassib huu uzi niliutoa kwa leo la Historia! Tena historia ya Misri sio ya kiislam au kristo kama unataka ubishani wa kidini tafuta threads za dini/imani, Uzi usijefutwa sababu ya kuzozana na dini.

Kaka hebu fungua uzi mwingine wenye ujumbe tofauti kabisa na mambo ya dini, huu nimeuona tangu mwanzo kuwa utaingia mambo ya kidini
 
Mkuu hapo kweny hiyo mada yako umethibitisha kabisa kuwa biblia na quran vyote vimesema uongo juu ya firaurii,,mpka unafikia hatua kusma kwamba tumeaminishwa uwongo bimana ulichokiandka wew ndo kweli,,,inamana wew huamini vitab vya dini??nakma huamin basi utakuwa na matatizo ya mental retardation sio buree mungu akusamehee

Historia ya Misri ya kale pamoja na maFarao ni ya historia ya kale/jadi ,na ndio mwanzo wa dini zote zenye mpangilio,kabla hata ya hivyo vitabu vyenu dhalimu.
Husitubabaishe hapa kisa uarabu na uzungu uliowapanda kwenye vichwa vyenu pamoja na tamaduni zao potofu!
 
Ahaa...swali lako rahisi sana

Karibu ninamaanisha ukaribu wa wewe kunjibu hapa hapa kabla sijaenda kuwauliza waethiopia.

Halafu kwanini uniulize tena maswali badala ya wewe kujibu kwanza ndipo uulize?

Kwanini Ethiopia haikutawaliwa?

Nimekutajia mfano wa Sudani/Ethiopia kabisa...na huko kwote ndiko watokaka mababu zangu wa jadi...una lingine?
 
Hahaha...nani kakuuliza mahala uzi ulipo?

Nani kakuambia twabishania dini?

Wewe umesema kuwa Biblia na mengine yasemwayo ni UONGO kuhusu Pharaoh Ramesses ila ya kwako uliyoyaandika ni SAHII NA KWELI

Huo UKWELI WAKO unauthibitishaje dhidi ya UONGO unaoaminiwa na wengi?

Hata Moderators hawapendi watu waandikao threads kwa kukurupuka bila kuwa na facts.

Sawa...?
Kundi kubwa la watu waaminio Uongo,
Na wao wote wakaamini ni kweli, ili hali ni Uongo,
Basi huo utakuwa ni ukweli maana Uongo ni kweli[emoji4]
 
IMG_0755.JPG
IMG_0756.JPG
IMG_0757.JPG
IMG_0762.JPG
Ndugu yangu, vitabu kuhusu historia ya wafalme wa misri nimevisoma kwa muda mrefu mpaka sasa.

Yawzekana wewe ulivisoma zaidi Labda nikuulize:-

- Sasa hivi hizo materials za kuuhifadhi maiti kwa miaka yoote bila kuoza ipo? Inafanya kazi?

Vitabu vingi sana vinaelezea kuwa maiti ya Pharao haikuoza kutokana na aina ya kaburi lake lilivyo na jinsi alivyolazwa.

Unajua mchango wa watu wa kabila dogo la "Dogon" wa mali katika miili ya pharaoh kuanzia khufu?
Azarel naomba utafute hichi kitabu alafu ujiiulize IPhone zimetoka wapi?
 
Biblia imebaki na watetezi!, Kifupi ni Dini iliyo hai!
Ila dini ya Ancient Egypt imekufa karibu miaka 2000 iliyopita!, Kwa sasa zimebaki story tu.
Ila kwa yeyote atakayesoma Wamisri wale waliishije, ataanza kupata mashaka na hivi vitabu, sababu mambo mengi yaliyoandikwa humu Asili yake ni Kwenye Dini za wamisri wa kale!
Mababu wa Misri walijua kabisa kuwa huko mbele kutakuja kuwa na shida katika vizazi vyao, kwenye kujitambua, pamoja na asili zao za kale. Ndiyo maana walifanya kampeni kubwa ya kutunza Kumbukumbu! Ili vizazi vije kuamka.

Kifupi Misri ya kale imekosa mtetezi/watu/ huku kizazi chote kilichopo kikiwa kimelewa mambo mapya, Ndo maana Manabii taratibu tunaanza kuzuka na kutetea kingdom ya asili.
Watu kama sisi ilikuwa lazima tuje kutokea!
A total Amen Ra to that one!
 
Mimi sileti habar ya din lakib nmejarib kukuliza tu swali
mbona umeweka ID pic ya mwanamke? Af unasema we mwanaume!? Kuna majina mengi sana ni ya kike na kiume pia? Huyu kaangalia ID pic yako,Au umeweka picha ya Mama?
 
mbona umeweka ID pic ya mwanamke? Au unasema we mwanaume!? Kuna majina mengi sana ni ya kike na kiume pia? Huyu kaangalia ID pic yako,Au umeweka picha ya Mama?
Apana mkuuu mim ni dume,,,ila uswazeee itakue dp ndoimemtatizaa kidogo mkuu
 
mbona umeweka ID pic ya mwanamke? Af unasema we mwanaume!? Kuna majina mengi sana ni ya kike na kiume pia? Huyu kaangalia ID pic yako,Au umeweka picha ya Mama?

Ana uhuru,husimpangie jaman, huu ni mtandao huria.
Wengine wapo wanatumia ID ya kiume kabisa ....😀😀pamoja na majina ila ni wa kike...!
 
Back
Top Bottom