Ijue historia ya kaburi la Sharif Abdushakur Salim Al Attas lililopo Samora, Posta Jijini Dar es Salaam

Ijue historia ya kaburi la Sharif Abdushakur Salim Al Attas lililopo Samora, Posta Jijini Dar es Salaam

Mimi nilisikia kuwa hilo ni jaribio la kutwaa eneo hilo kwa ajili ya matumizi ya nyumba ya ibada ya dini mojawapo hapa tanzania. Nilijuzwa kuwa hakuna kaburi wala nini ni kwamba baada ya watu wa dini hiyo kuona kuwa ni la wazi waliamua wajenge kaburi hilo ili baadaye wawezejenga nyumba yao ya ibada. mwanzoni jiji waliondoa ujenzi huo lakini wenyewe wakarudi kwa kasi na kulijenga na kuwatisha wote watakao jaribu kuzuia mpango huo.

Hivyo hiyo ni mpango mkakati wa muda mrefu ya kutwaa eneo hilo la wazi. Kabla ya mpango huo miaka ya 1999/2000 hakukuwa na kitu hapo. Jamaa mmoja alisema hata ukichimba hapo hakuna kitu kama mabaki ya binadamu wala nini.
Umedanganya lile ni kaburi hakuna ubishi ktk hilo
 
Back
Top Bottom