Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha tafadhaliiKuna baadhi ya vitu aviguswi vitaachwa kama vilivyo mfano ile aya ya quran kwenye mlango wa Ikulu
Kuna Aya ya kuranu kwenye ikulu?? inasemaje..??Kuna baadhi ya vitu aviguswi vitaachwa kama vilivyo mfano ile aya ya quran kwenye mlango wa Ikulu
Kum* la mamaako mjini Kuna makaburi mshamba ww msenge unafirwa na waarabu wa bandariNdio tatizo la kuja mjini ukubwani.
Ikulu ya Magogoni ilikuwa madrasa.. wajerumani wakaiporaKuna Aya ya kuranu kwenye ikulu?? inasemaje..??
Au ndo inasema ccm milele daima??
Nani aliandika hiyo aya hapo?? au ni yule mtume asiye jua kusoma na kuandika aliyekuwa anaowa watoto wa miaka 10 ...
MhhIkulu ya Magogoni ilikuwa madrasa.. wajerumani wakaipora
ccm haikuwepo wakati huo.Au ndo inasema ccm milele daima??
Ungemalizia kwa kumshusia kwenzi kabisa😆😆😆😆JMoo ndo jengo gani? Mi nnavyojua JMoo ni jina la msanii wa HipHop Tanzania. Hilo jengo ni J. Mall. Usichanganye Tui na Maziwa siku nyingine.
Asante kwa kunielewa.
Kumbe kuna aya ya shetani ikulu ndio maana nchi haiendelei na ufisadi umetamalaki.
Unajua maana yake ? Hayo maandishi Kwani ulijenga wewe hiyo ikulu ... Aliyejenga ndiye aliyewekaKumbe kuna aya ya shetani ikulu ndio maana nchi haiendelei na ufisadi umetamalaki.
😂😂😂Ni kwel ukihamisha unakufaKama umechoka kula ugali wako nyumbani, nenda kalihamishe hilo kaburi! Faster utajikuta mikononi mwa Israeli mtoa roho za watu.
Aise ngoja nipitie hapaImamu wa msikiti wakati wa Utawala wa Wajerumani.
Soma hapo
Ijue historia ya kaburi la Sharif Abdushakur Salim Al Attas lililopo Samora, Posta Jijini Dar es Salaam
Kuna bustani moja katikati ya jiji la Dar es salaam (katikati ya barabara ya Samora, India na Mosque) maeneo ya clock tower. Ukifika katika bustani hiyo, kitu cha kwanza utakachokiona pale ni kaburi lililojengewa na marumaru nyeupe na ambalo kwa mujibu wa watu waliozoea kukaa pale mara kwa mara...www.jamiiforums.com