Ijue historia ya kaburi la Sharif Abdushakur Salim Al Attas lililopo Samora, Posta Jijini Dar es Salaam


Nashukuru, umejibu kwa ustaarabu, na nimekuelewa. Hongerasana.
 
Umeona like yangu huko??
 
hilo no kaburi la shekhe mkuu wa msikiti wa kwanza kabisa wa mzizima ambao hapo awali ulikuwa maeneo ya magogoni karibu na ikulu,ukaja kuhamishiwa maeneo hayo ya clock tower nadhani bado upo had Ieo,ni msikiti wa miaka ya 1800,zama za usultani
Basi livunjwe mara moja
 
Asiyekuwa hana jina = Ana jina

(kama ulimaanisha hana jina [emoji777][emoji777][emoji777])

Simply say "Asiyekuwa na jina"

Halafu mara useme amekufa 1862 mara 1860...?? Mara useme wajerumani walipoingia nchini mwaka 1885 alifanya kazi......????? Hueleweki kabisa Kiongozi jaribu kupitia makabrasha vizuri utupie history iliyo makini

 
Nataka kujua zaidi nitapataje hizi taarifa
 
Sasa pale kama ni hapo mjini maeneo ya Posta kuna tofauti gani kati ya usiku na mchana hadi wasubiri usiku ili kwenda hapo kuabudu? Au siku hizi hawaendi tena!?
 
Siku ya kwanza kabisa kuingia posta nikitokea kunduchi nilifik Nikaa kwenye hiyo bustan nikawa nashangaa jinsi palivyo andaliwa watu unakuta nyomi pale wamekula zao pozi hawana time kumbe pale ni kaburini [emoji119] alafu kuna vibaka mateje pale ndio geto kwao wakisha buya dona Jf shikamoo your more than
 
Siku ya kwanza kabisa kuingia posta nikitokea kunduchi nilifik Nikaa kwenye hiyo bustan nikawa nashangaa jinsi palivyo andaliwa watu unakuta nyomi pale wamekula zao pozi hawana time kumbe pale ni kaburini [emoji119] alafu kuna vibaka mateje pale ndio geto kwao wakisha buya dona Jf shikamoo your more than moja ya siri ya nchi ambayo nimeijua ni hii maake kuna watu hupozi pale paspo kujua haya mtoa mada asante
 
Haujui panapoongelewa hapa, sio hapo posta ya zamani unapopafikilia wewe, ni huku mnara wa saa, panapoanzia 0kilomita. ndipo hiyo bustani na kaburi hilo vinapatikana.
 
Nyerere hata angezikwa wapi. Nothing helps.

Kaburi la Nyerere lina mifupa ya Nyerere ndani. Hakuna linakachosaidia nchi hii. Acha kudeal na makaburi.
 
KWAKUANZIA NAOMBA MUMTAFUTE HUYU MJUKUU YUPO FB NA HUWA ANAPOST SANA KUHUSU HUYU BABU YAKE. NA PIA KWENYE GAZETI LA RAIA MWEMA WAMESHAWAHI KUANDIKA MAKALA KUHUSU HUYU MZEE.
 
Mkuu Asante kwa hii clarifications ila historia ina sema Ikulu ya magogoni ilijengwa na Wakoloni wa Kijerumani hapo imekaaje mkuu?
Jengo hilo la sasa ndiyo limejengwa na Mjerumani ila sehemu lilipo, palikuwa na jengo la utawala wa hao waliowatangulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…