Ijue historia ya kaburi la Sharif Abdushakur Salim Al Attas lililopo Samora, Posta Jijini Dar es Salaam

Ijue historia ya kaburi la Sharif Abdushakur Salim Al Attas lililopo Samora, Posta Jijini Dar es Salaam

Sio kushangaza wanahistoria kubwa sana Na nchi hii sema mnajitahidi kuwadhoofisha
Hahahaha.....!

Historia ya uongo ya kina Mohammed Said yenye takwimu za kutunga.

Hizo mtaziamini mnaosikiliza redio Iman na zingine za kiislam.
 
Ikulu imejengwa na Mjerumani,anangalia muundo wake na wa station Kigoma utaona kuna usawa fulani
Hata Ujerumani kwenyewe kuna majengo yako vilevile kabisaa kuna makala ilikuwa inaonesha Architectural science iliyotumika kujenga kule na huku
 
Waislam wa Tanzania huwa wana mambo ya kushangaza. Hahaha,

Na kama usha note, wanataka wakati wote kuonesha historia kuwa waarabu walifanya mambo mengi mazuri yaliyopo au tunayoyaona leo
 
Write your reply...uislam unawatesa Na kuwakondesha watu sana
OK basi tuseme aliezikwa pale ni mjerumani
piga makofi
 
Hilo kaburi liliwahi andikiwa thread humu miaka kadhaa nyuma nimesahau heading yake na mwandishi...
 
nasikia kaburi lina maajabu sana lile, ukikalia usiku unaweza jikuta uko pemba
 
Mimi napata shida kuelewa. Alifanya kazi na wajerumani waliofika 1885 ila alifariki 1860. Hebu pitia vizuri huu waya wako
Huyu jamaa ndiye likuwa naishi pale Magogoni yaani alijenga mjengo wake pale pale baada ya kufariki 1860 miaka michache baada ya kuingi aWajerumani wakaenda kukaa jingo la yule marehemu wakarikarabati likawa kama ofisi yao.
Umeelewa au iongeze sauti.
 
Kuna kaburi la siku nyingi sana mitaa ya clock tower posta dar es salaam. Mwenye historia ya uwepo wa kaburi hilo katikati ya mji atueleze.
FB_IMG_1624627952045.jpg
 
Aliyezikwa hapo anaitwa Posta na ndio mwanzo wa hilo eneo kuitwa Posta.

Unapata faida gani unapoweka footprint mtandaoni wakati unatoa taarifa zisizo sahihi?

Narcissistic Personality Disorder (NPD)

“”A disorder in which a person has an inflated sense of self-importance.””

Narcissistic personality disorder is found more commonly in men. The cause is unknown but likely involves a combination of genetic and environmental factors.
 
Unapata faida gani unapoweka footprint mtandaoni wakati unatoa taarifa zisizo sahihi?

Narcissistic Personality Disorder (NPD)

“”A disorder in which a person has an inflated sense of self-importance.””

Narcissistic personality disorder is found more commonly in men. The cause is unknown but likely involves a combination of genetic and environmental factors.
Matusi haya,
Kwahiyo amuone Tabibu ama? na je akiendelea hivihivi hataokota makopo kweli?
 
Back
Top Bottom