Ijue Jamhuri ya Watu wa SOGODO, Kinondoni

Dar mipango. Unyenyekevu na kujishusha ndio mpango mzima, utaishi popote na yeyote
Hahaha...hiyo mitaa naielewa kuna mwana mmja
Wangu smbdy siwetu.fundi alikuwa natimba naye mitaa hiyo
Unajua ukiwa sehemu,kuna namna fulani ya kujiwekea,kujitafutia ulinzi so unajichanganya na wahuni ishi nao kimtindo....dar utapeta tu

Ova
 
[emoji3][emoji3][emoji3] kuna mdau muhimu mzee wa Pachoto anapaswa kufika hapa! mrangi

Baadhi ya wanachama wake tishio ambao hawatanisahau huko kuzimu walipo ni
#Tito
#Kumbwiga
#Morroco
#Jumanne
#Pembe
Baada ya kufa hawa washenzi hata kijiwe chao cha VIDA PALAVIDA kilikufa
 
Hahaha vida lapavida kijiwe kile kilikuwa siyoo

Hivi nigga mchecheto yupo 😂😂😂
Au naye sahv kajichokea

Ova
 
Wewe na mrangi ni watoto wamwananyamala sana,na kwa stori zenu nina uhakika 100% nawajua,stori zenu nikizisoma nasema ihiiiiii..

Nimekulia na kuishi huko mpaka leo,kumbwige mtoto wa bihamisi hapa msisiri bi ni jirani yetu,morocco alivouliwa pale kwao nilikuepo..yaani hua mkipiga story za mwananyamala hua nafurahi sana..Sogodo kumepoa sana hata uchawi umepungua.usela mavi umepungua pia ila sasa hivi mvua kidogo tu kote mimaji hakupitiki
 
Dah.. Msisiri. Hebu nione weekend hii kama naweza fika huko... Naona Kamanyola haipo tena

 
Hahaha...kamanyola bar pale nna kisa fulani
Nkikumbukaga nachekaga sana

Ova
 
Kuna mwizi mmoja,mkabaji alikuwaga maarufu sana mitaa ya mwananyamala kisiwani alikuwa anakaa bonding kule unapotekea tsndale
Alikuwa anaitwa mashkurumbwe
Alimkabaga jamaa yetu mmja alikuwa ofisa,tukasema ngoja mabaharia tukirudi tutamfanyia operation maalum
Tukamuandalia team ya wahuni wa Moscow,kinondoni wagumu,na wahuni wa msisiri...tukamwinda sana,sasa kuna siku tukamgumia gheto, ebwana si tikamkuta ananyonyoa kunguru anataka kumfanyia mafekeche ampike amle😂😂😂
Tukabaki hoiii...ila kipondo alikula

Ova
 
Haaaaa haaaaaa noma saana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bangi mbaya sana .hebu nipe kisa cha kamanyola kaka
 
Black yupi mkuu? Au superbkack jambazi sugu aliyejiua kwa bahati mbaya wakati wa jaribio la kupora gari la tanesco?

Mambo ni mengi kwa kweli.
 
Wale watoto wa fundikira walikuwaga wanangu
Msisiri nlikuwa natamba kwa ajili yao
Mm nmekulia kino stereo,ila kino yote nlikuwa naishi tukienda tmk fresh,wanangu wa ilala safi

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…