mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Ntakuja kupa,ila nlirukiwaga pale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bangi mbaya sana .hebu nipe kisa cha kamanyola kaka
Sema ilikuwa vichekesho 😂
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntakuja kupa,ila nlirukiwaga pale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bangi mbaya sana .hebu nipe kisa cha kamanyola kaka
Msisiri kuna vituko, hadi lile kqnisa la monravian sjui ilikuwa haipiti siku 3,4 ngumi znapigwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bangi mbaya sana .hebu nipe kisa cha kamanyola kaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msisiri kuna vituko, hadi lile kqnisa la monravian sjui ilikuwa haipiti siku 3,4 ngumi znapigwa
Wanagombea sadaka na uongz wa kanisa
Ova
Aliyekua anafanya naye hizo ishu alikua DJ Paul naye alikua ana mwili kama mzee wake kipindi hicho alikua anasuka.Mwanae power si ndy yule dj irvan mnyoa kiduku
Ova
Noma noma noma.Unaipata mitaa ya Chideo? Vipi hatari za huko?
Haha hahaha Chideo noma sana, kule mijigongo inaliwa hadharaniNoma noma noma.
Mademu wa chideo anamwambia mwenzake "Malaya gani hauphirwi?"
Kuna demu niligewa namba yake anatokea chideo yaani nimemuuliza tu 'Kesho uko free?' akajibu ndiyo. Nikamuambia 'Nakucheki jioni'
Jioni ilivyofika demu kanicheki mwenyewe ananiuliza 'So tunakutana au?'
Hapana, ni wa hapa kota karibu na kontena bar maarufu kwa Ligu.Black yupi mkuu? Au superbkack jambazi sugu aliyejiua kwa bahati mbaya wakati wa jaribio la kupora gari la tanesco?
Mambo ni mengi kwa kweli.
Kuna kitaa kimoja niliishi na Wana fresh tu tukaenda Sawa sana. Nikawa mtu wa kuvizia mitoko nafanya mambo yangu narudi kitaa naendeleza libeneke kama Kawa.Hahaha...hiyo mitaa naielewa kuna mwana mmja
Wangu smbdy siwetu.fundi alikuwa natimba naye mitaa hiyo
Unajua ukiwa sehemu,kuna namna fulani ya kujiwekea,kujitafutia ulinzi so unajichanganya na wahuni ishi nao kimtindo....dar utapeta tu
Ova
Paulo na dingi wanfyongondoa mademu pamojaAliyekua anafanya naye hizo ishu alikua DJ Paul naye alikua ana mwili kama mzee wake kipindi hicho alikua anasuka.
Moravian noma sanaMsisiri kuna vituko, hadi lile kqnisa la monravian sjui ilikuwa haipiti siku 3,4 ngumi znapigwa
Wanagombea sadaka na uongz wa kanisa
Ova
Hahaha...kuna watu wamekaa kinondoni
Na sehemu zingine lkn ukiwapambia
Sogodo ushawahi fika ama kupajua,hawajawahi
Segodo iko msufini,msisiri huko kuna watu wamepinda wahuni balaa,pombe,bangi
Etc vinafanyika huko,polisi wenyewe kwenda
Huko ni mtihani
Kama Huna connection mtu wa kawaida
Ukienda huko utaishia kufanyiwa umafia
Muda sana nlishawahi ku comment kwa Mshana Jr kuhusu sogodo [emoji23][emoji23]
Binafsi mm nishatimba sana maeneo hayo
Ova
😂😂😂😂😂😂 Hi konkiGesti ya chabo. Kuna mwamba alijikuta anampiga chabo maza ake! Halafu alikuwa analiwa jicho
Sogodo empire bado ipo, ila siku hizi kuna nuru kidogo tofauti na zamani.
Hata Pawa kazeeka Sasa. Ila bado polisi wanakuheshimu Sana Sogodo.
Sogodo Empire ni sawa na Nonde enzi za Mwasimba, Chiba, Santaiga, Kajole nk. Enzi hizo Eluka akiitwa Rah Tee, Ramsey Thomas
Ndio ilikuwa mwisho wa kupiga chabo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hi konki
Pale moravian pana ule uchochoro mfupi umetokea pale uwanjani, ukipita usiku mwingi kama hujulikani lazima ukabwe.Moravian noma sana
Nilikuwa nakaa mtaa wa dunga kipindi Niko mdogo kwenda bwawani ni kwenda kuvua samaki [emoji16][emoji16][emoji16] siku moja nikaona kitu Cha ajabu kwa hapa Tanzania ni kuona wanavyo ruka sarakasi aisee nilishangaa Sana.Ha
Hakika
Sogodo empire bado ipo, ila siku hizi kuna nuru kidogo tofauti na zamani.
Hata Pawa kazeeka Sasa. Ila bado polisi wanakuheshimu Sana Sogodo.
Sogodo Empire ni sawa na Nonde enzi za Mwasimba, Chiba, Santaiga, Kajole nk. Enzi hizo Eluka akiitwa Rah Tee, Ramsey Thomas
Kama wewe mwenyeji mwenyeji mitaa ile lazima uwe unamjua demu mwenyewe.Haha hahaha Chideo noma sana, kule mijigongo inaliwa hadharani