Ijue Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Fursa za Mtangamano

Ijue Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Fursa za Mtangamano

Natamani uchaguliwe na chama, Ili UENDE bungeni kwenye interview, pale nitajua kama wewe unaweza kujieleza vizuri kama unavyoandika?? Uandishi ni kipaji, kujieleza pia ni kipaji kingine, i.e Ruto wa Kenya aneweza kujieleza kuliko mkongwe Odinga. Pascal Mayalla
 
Mchakato wa Ubunge unaendeleaje mheshimiwa? Sisi ndugu zako wengine tuko mbali na vyombo vya habari.
Mchakato unaendelea fresh, tumeisha itwa Dodoma kuhakikiwa na kuhojiwa, kwa bahati mbaya baada ya mahojiano hayo, mimi nilikutana na a shock of my life!, kuna mdada nilimtenda ndivyo sivyo enzi za ujana kwa kutaka kumbananisha kwenye yale mambo yetu yale!, nilipo kataliwa nika muwasha kwa kumlipua kwenye media!. Kumbe sasa huyu mdada ndio boss kule, amenisalimu vizuri tuu na kunikumbusha!. A shock of my life, furaha yageuka shubiri. Be good to people on your way up, you might meet them on your way down, mwenzenu leo yamenikuta!
Hivyo ikitokea mimi nikawa na sifa na kukidhi vigezo, lakini za kujikuta ni huyu mdada hajanisamehe kwa nilicho mtenda!, panga likinishukia ni panga la halali kabisa la uovu wangu nilio mtendea na hiyo ndio malipo halali ya karma yangu kwa matendo yangu, hivyo mimi sasa najitumia kama shamba darasa, kufundisha wengine, usimtendee binaadamu yoyote ubaya, maana huijui kesho yako.
huyu unayemtendea ubaya leo, hujui kesho atakuwa nani hivyo ukitokea ukakutana nae uso kwa uso, yeye ndio determinant ya hatima yako, unaweza kujikuta ni wewe mwenyewe unatangulia motoni hata kabla ya kuhukumiwa!.
p
 
Pambana japo Chama hakiangalii Sana haya mambo ya maandiko
Its true, mimi kazi yangu all my life ni mwandishi wa habari na mtangazaji, nitapambana vipo zaidi ya kuitumia kalamu yangu?. Naendelea tuu kuandika na kuelimisha umma hata kama hawasomi lakini umma unafaidika.
P
 
Jumuiya Langu la EAC duuu Mungu akubariki!!

Mayalla SADACC! huko sisi ni wana chama hai mnoo! kuliko hata Malawi! tangu zama za FRONT LINE STATE,tulikuwa makao makuu, hao ndg zetu wa damu, wakituhitaji!! itakuwaje

make tuliwatoa mbali! heee!...na huku south wanatuheshimu! sana ujue! ile kukujua tu Bongo land wanapiga salute! itakuwaje...au tunaziunganisha SADCC na EAC! = SEADC! ...itakuwa Bomba hebu turirika Mkuu!!
 
usimtendee binaadamu yoyote ubaya, maana huijui kesho yako.
Wkt mwingine ina bidi weye pale, ulikuwa kazini??...lkn pia usipende saana kuhurumiwa au kuona aibu wkt ukiwa kazini utaharibu kazi!!....na usilipize kisasi hiyo iwe ni mwiko kwakoo!!

fanya/tenda haki popote! km akiamua kukukaanga! atakukaanga tu hata umfanyeje! Yesu alikaangwa na Yuda Mwana wa Escariote tena bila kosa,....... Yuda akatubu mpaka akafa lkn wapi !! sembuse mtu??
 
Mahali sahihi pa kuwa makao makuu ya EAC ni Kigoma au Kigali.
EAC jua bado ina panuka hii ni mbegu tu bado zipo Ethiopia na somalia! Eritrea, tunasubiri wamalize tofauti zao za mapigano kwanza! waje huku!...Malawi kesha tuma maombi!
 
Lini wanasheria waTanzania wanaweza kuruhusiwa kuwa mawakili wa mahakama kuu za Kenya, nini tatizo mawakili wetu hawawezi kuruhusiwa kuingia 'Bar' Kenya

A Conversation with the Legal Titans
Amb. Mwanaidi Sinare Maajar on mentorship and networking to be able to survive in the digital revolution era using AI


Virtual law firms that work remotely with no borders bottleneck because of AI ...
Source : East Africa Law Society
 
Back
Top Bottom