Ijue KADCO, kampuni hewa iliyokuwa ikiendesha uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airport

Niliiangalia ule mjadala bungeni Hadi Mwanasheria Mkuu akawa na evassive answers.

Nikajua hapa tayari Pana shida
Mimi nilizima TV sikuamini kama eti Tanzania hakuna wanasheria mpaka tukaangukia kwa kile kiazi kwa kweli
 
Shetani mkubwa ni CCM yaani chama cha mashetani huyu hatoki kwa kumkemea toka huyu unamng'oa kama nduli Idd Amin Dadaa.
 
Wewe ndio umenifungua macho

Nilikua najiuliza, inakuaje Magufuli akaacha KADCO ikaendelea kuwepo kumbe ni kampuni ya mzee wake.

Watu wa kadco walitakiw akichinjwa hadharani mchana kweupe jua limewaka uwanja wa taifa pale.
 
Hata kandarasi za mamia ya bilioni yaliyopewa makampuni bila ushindani yawezekana yalihusisha ufisadi mkubwa.
 
Usalama wa Taifa hawakunusa hii kitu muda wote huo?
Huu ndo ulikuwa uchochoro wa kupakia wanyama pori rejea wale waliosafirisha twiga enzi ya JK wafanyakazi karibia wote waliokamatwa walikuwa niwa KADICO.
Hivyo hata Kama walinusa kulikuwa na wakubwa wanahusika hapo
 
Kuna quatation yako toka kwenye Biblia kitabu cha Mhubiri 1:17...."Yote ni kujilisha upepo" imenifurahisha lakini, je unaelewa maana yake ktk context ya maisha haya tunayoishi leo hapa duniani?

Pls, don't get offended kwa kukuliza swali hilo. It's just ktk kujaribu kukuleta karibu nami tujadiliane haya mambo. Nishee nawe kile ninachokijua mimi na mimi pia nipate kutoka kwako kile ujuacho.

Hopefully, twaweza kukutana mahali na tukaelewana..
Mimi ni mjinga wa kiroho mkuu.
Ok. Natambua kuwa umekwoti toka ktk jibu langu kwako kule ☝️juu ile jana. Yaonekana ulikwazika kwa sentesi hiyo. Pole sana. Halikuwa kusudi langu kukukwaza..

Lakini ndivyo nilivyooona baada ya kusoma maandishi yako na kuona wazi kuwa ni kama hauko aware kabisa kuwa maisha yetu hapa duniani yako controlled na mojawapo ya mifumo miwili; wa aidha wa mabaya (tusiyoyapenda, tusiyoyataka) au mazuri (tuyatakayo, tuyapendayo). Kila mtu ukiwemo wewe na mimi tuko ktk moja ya hiyo mifumo. Hakuna aliye katikati..!!

Na ni uchaguzi (choice) ya mtu mwenyewe kuamua kuishi ktk moja ya mifumo hiyo. Unaweza kuwa uchaguzi wa hiari au wa kulazimishwa na hali au mazingira...

Mantiki ya kuibua mjadala huu ni hoja hiyo ☝️.

Kwamba, Tanzania kama nchi/taifa tunalazimishwa kuishi katikati ya mfumo wa ubaya kwa sababu tu kuna watu wachache tuliowaamini na kuwapa dhamana ya uongozi ili kutuongoza lakini wakaitumia vibaya dhamana na mamlaka yao ya kiutawala na kimaamuzi kwa kufanya maamuzi ya kujiungamanisha na mifumo hatari na angamizi duniani na kuliingiza taifa lote ktk taabu na shida..

Swali kubwa ambalo tunajiuliza wote ni: Haya mambo chanzo chake ni nini? Tufanye nini tutoke hapa tulipo?

Hakuna mtu achaguaye kuishi katikati ya ubaya kama ufisadi, ulevi, uasherati, ujambazi, wizi na yafananayo na hayo. Isipokuwa hulazimishwa au hujikuta anaishi maisha ya hivyo pasipo kujua anawezaje kujitoa huko unless amepata ufahamu wa namna ya kutoka..
Nitasema nini sasa kwa mlokole aliyeiva katika ulimwengu wa kiroho na Neno + utakatifu kama wewe?
"Mlokole" ndio kitu gani, ndiyo nini? Mimi si kitu nisichokijua. Mimi ni Mkristo ninayeelewa na kujitambua...
Hata mjadala utafanyikaje wakati hakuna mahali pa kukutania panapotuunganisha (common ground)?
Una maana gani kusema "hakuna common ground" ya kukutana ktk mjadala? Je, mada iliyo mezani sio common ground?
Ulimwengu wa kiroho...ulimwengu wa kiroho! Ukiuliza huko ulimwengu wa kiroho ni wapi? Panafikikaje kwa mtu wa kawaida kama mimi? Pakoje?
Ili ujue kuwa ulimwengu wa roho upo na ni halisi jiulize tu maswali kadhaa kama vile: Maovu kama ufisadi, wizi, uzinzi, uasherati, masengenyo nk chanzo chake nini? Yanatoka wapi? Kwanini yanaumiza watu?
Majibu yake sasa kama siyo kutukanwa na kubezwa na wakazi wa huko utashangaa.
Unajishitukia tu. Acha hizi, jiamini. Na ilitokea umetukanwa, potezea na focus kwenye unachokihitaji..
Hata sijui ni kwa nini huwa mnapenda kupaleta huku kwenye ulimwengu wa kawaida kama huko kwenu ulimwengu wa roho ni mahali pa siri na wanaofika huko ni watakatifu wachache na wateule (walokole!) 😬😬😬
Ni Kwa sababu hujui tu. Unadhani hizi ulimwengu mbili hazikuhusu wewe na zinawahusu wengine tu...

Nikuambie kitu kimoja tu ndugu Shimba ya Buyenze, kwamba, katika kila unachokiona ktk ulimwengu huu wa damu na mwili kiwe kizuri au kibaya; unakipenda au hukipendi, basi tambua kuwa yupo asiyeonekana kwa macho haya (unless otherwise) aliyesababisha hicho kitu kutokea..!

Kikiwa ni kizuri na ni kile unachokitaka ktk maisha yako basi iamini, itambue na i - embrace hiyo nguvu iendelee kukuongoza kukupa utakacho...

Kikiwa ni kibaya, usichokitaka au kukipenda ktk maisha yako, basi hakikisha unapigana na nguvu hiyo ili isiendelee kukuharibu.
Kwa heshima tu tuufunge huu mjadala mtumishi mwema wa Bwana.
Hapana, haufungiki. Ila mtu anaweza kuamua mwenyewe kukaa kimya tu..
Mara moja moja ukipata muda usisite kutuombea sisi wajinga wa kiroho ili nasi siku moja tuwe watakatifu kama wewe & Co.
Unapaswa kwenda mwenyewe mbele za Mungu na kumuomba utakacho. Mlango uko wazi kwa kila mtu ukiwemo wewe..

Ninachoweza kukusaidia mimi ni kukuonesha njia ya kwenda huko kama huifahamu. Na njia yenyewe ni hii👇👇👇👇
Yohana 14:6
"...Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na Kweli na uzima. Mtu haki Kwa Baba, ila Kwa njia ya mimi...."
Bila shaka tutakutana mbinguni mtumishi. Tuombeane 🙏🏿😁😁🖐🖐🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️
Literally, there's no place called "mbinguni" mzee Shimba ya Buyenze na kwamba tutakuja kukutana huko siku moja mimi na wewe...

Mbingu yako ni wewe mwenyewe, iko ndani yako na ukimruhusu Mungu - Yehova Kwa njia ya roho wake mtakatifu kuishi ndani yako unakuwa umeifanya mbingu yako kuwa salama na takatifu..

Karibu Tena..
 
Wewe ndio umenifungua macho

Nilikua najiuliza, inakuaje Magufuli akaacha KADCO ikaendelea kuwepo kumbe ni kampuni ya mzee wake.

Watu wa kadco walitakiw akichinjwa hadharani mchana kweupe jua limewaka uwanja wa taifa pale.
Kadco Ni Hawa jamaa hapa chini shares za uko South Ni zao
 

Attachments

  • Screenshot_20231111-002601.png
    159.5 KB · Views: 5
  • Screenshot_20231111-002843.png
    100.2 KB · Views: 4
  • Screenshot_20231111-003227.png
    80.2 KB · Views: 3
  • Screenshot_20231111-002317.png
    123.2 KB · Views: 5
  • Screenshot_20231111-003646.png
    155.6 KB · Views: 3
Enhee,,kelele za November zimefikia wapi?
Watu wako palepale--hakuna cha TAA wala nini.
 
So after 14 years, the 'Government (100% shareholder) handed-over the KIA operations to the 'government' (TAA). This is ubsurb!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…