PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,175
wakati mwingine unaweza ukafikiria hivi sisi waafrica nani katuroga?
Rathili mali zipo tena za kutosha, ila nchi zetu zinakosa viongozi wazuri wakuzisimamia na kuwaletea Maendeleo watu wake.
Tukilinganisha Tanzania na nchi tajwa Tanzania ni Mara mia ya taifa hilo.
Lakini kwa miaka zaidi ya 50 tumeshindwa kuondoa umaskini kabisa.
Mungu Atusaidie sana yumkini tumemwacha Mungu na kuviandama Vinyago.
Rathili mali zipo tena za kutosha, ila nchi zetu zinakosa viongozi wazuri wakuzisimamia na kuwaletea Maendeleo watu wake.
Tukilinganisha Tanzania na nchi tajwa Tanzania ni Mara mia ya taifa hilo.
Lakini kwa miaka zaidi ya 50 tumeshindwa kuondoa umaskini kabisa.
Mungu Atusaidie sana yumkini tumemwacha Mungu na kuviandama Vinyago.