Ijue kwa undani nchi ya Brunei ambako Raia hawalipi kodi ni kula bata tu

Ijue kwa undani nchi ya Brunei ambako Raia hawalipi kodi ni kula bata tu

Unachanganya mambo.

Jinni ni kiumbe ambae wapo wengine wao ni mashetani. Kama ilivyo kwa binaadam, wapo wengine ni mashetani.

Shetani si lazima awe ni katika majinni, wapo binaadam mashetani, mfano huyu mchungaji:

nigeria-abus-pasteur.jpg
Mchungaji mwenyewe ndiye yupi hapo? Au ni huyu hapa karibu uliyemfunika mbunye?
 
Mi Mchagga bwana,kama hakuna pombe wala NOA huko hakunifai bora nibaki kwa SIZONJE!!!!
 
Prof Jay aliwahi kuimba kwenye Bongo Dar Es Salaaam, Wabongo wanaombea wangwezaliwa Brunei wamwage radhi.
 
79f7f58663a088142e9daea071a94169.jpg



1. Brunei ukipenda iite 'Darusalaam' ama nyumba ya amani ni nchi ambayo raia wake hawalipi kodi yeyote (All citizens in Brunei, including expats, do not have to pay for taxes, for it is absolutely free.), Hata maisha ya wananchi wake ni mazuri na mshahara wa chini kabisa ni dola 25 kwa saa (Tshs 50,000) huku ukosefu wa ajira ukiwa ni wastani wa 5% tu.

Serikali inalipa gharama zote muhimu, mpaka chakula kinalipiwa ruzuku. ukifanya kazi kule hakuna income tax (There is no personal income tax or capital gains tax). Sultani anasimamia vizuri sana export ya mafuta na gesi na wanachi wanakula bata watakavyo.

GDP ya Brunei imepanda hadi 56% kuwa nchi ya tano duniani (16.11 billion USD in 2013) na IMF wanasema nchi hiyo haidaiwi HATA MIA....

2. Sultan wa Brunei Mohammad Hassan Bolkiah ndiye Raisi tajiri kuliko maraisi wote duniani, Maarufu kwa utumiaji wa dhahabu kwa kila kitu, hali ila na vijiko vya dhahabu, na nguo anazo vaa zimepambwa kwa dhahabu na fedha. Huyu anamiliki Jumla ya MAGARI 5000 YA KIFAHARI (tazama kasri na moja ya gari lake lake la dhahabu tupu pichani).

Sultan huyu anamiliki pia ndege aina ya Boing 747 thamani yake ikiwa ni dola milion 100 ambamo pia nakshi pekee ni dola milioni 120 humo utakuta vyoo na vyumba vya dhahabu, pia anamiliki ndege ndogo sita na helicopta moja. Arusi ya mtoto wa Sultan wa Brunei ilifanyika kwa muda wa siku 14 kwa gharama ya 5 milion dolla huku watu wote walioalikwa wakila na kunywa na kusaza, na kuhudhuriwa na zaidi ya maraisi 25.

3. Elimu ni Bure kabisa na watoto chini ya miaka 12 HUTIBIWA BURE huku watu wazima wakilipia dola 1 tu kwa Matibabu. Kadhalika ukioa tu unapewa na gari. Ni nchi mojawapo ambayo ina uwiano mkubwa wa watu na magari (1:209)-Ikiwa hakuna tiba ya ugonjwa wako Brunei unapelekwa nje ya nchi hasa Malaysia na Singapore kwa gharama za serikali

4. Pombe imepigwa marufuku kabisa kisiwani Brunei ingawa wageni wanaweza kuagiza kiwango chenye ukomo na Hakuna NOA/NGURUWE hata mmoja nchi nzima....................

5. . Ukiwa Brunei marufuku kupoint kutumia kidole cha shahada kuonesha kitu. Kidole gumba tu hutumika kupoint kitu na ni Lazima kuvua viatu unapoingia nyumba yeyote ndani ya Brunei

6. Hii inatumia mfumo wa SHARIA ambapo 'Wezi hukatwa mikono na wazinifu kupigwa mawe'. Mwaka 2014 ilipitisha sheria ya kupigwa kwa mawe hadi kufa yeyote atakayebainika anafanya USHOGA (Homosexual) lakini kwa uthibitisho wa mashahidi WANNE.....Unaweza kusherehekea Noeli (X-mass) lakini si kwa kuweka mapambo yake kama vilemti wa Xmass nk..........

7. Ingawa Kisiwa cha Brunei Kina BUNGE lakini nchi hiyo HAINA UCHAGUZI......Uchaguzi wa mwisho ulifanyika mwaka 1962, kuna chombo kimoja tu cha habari kinachomilikiwa na Serikali...ni aghalabu sana kwa media kuipinga serikali

8. 93% YA WATU WOTE WAMEENDA SHULE KWA KIWANGO CHA LAMI (Degree)
Ndio tunaelekea hukooo!
 
Wabongo wanapenda sana starehe kuliko kazi wanatamani wangezaliwa Brunei wamwage radhi.
Prof J song bongo dar es salaam

Yap, huu mstari ulinijia kichwani ghafla baada ya kuiona hii Brunei, kumbe jamaa alikuwa anaijua hii nchi toka kitambo!

7.5% of the population are obese, the highest prevalence rate in ASEAN.[142][143] Also, studies by the Ministry of Health show that at least 20% of schoolchildren in Brunei are either overweight or obese.[144]
 
Wabongo hawajachungulia hiyo dili?
Najua wanigeria huko patakuwa pachungu
 
Wewe mbongo unataka kwenda huko wakati michepuko kibao? Mawe yatakuua bila sababu. Bongo wakati wa Ramadhani mabaa yanakosa wateja sasa nani atakubali kwenda kunywa gahawa tu mwaka mzima? Kumbuka Money is not everything. Mmegundua kuna watu vijijini wanakula mlo mmoja lakini wanavyosmile kila wakati na kupendana na kulinda ndoa zao na kulea watoto wao kuliko watu wenye uwezo? Unapewa kila kitu lakini huruhusiwi kuuliza hiki kinaendaje? Najua hata hapa tunadhani tuna uhuru lakini tumefungwa kuliko nchi nyingine nyingi tu, ila wenzetu mhu. Mimi sitaki tiketi yenu aku siendi nitafia bongo nauza samaki na mboga zangu.
Rasilimali zote za nchi ni mali ya mfalme, hakuna anaeruhusiwa kuuliza mapato yatokonayo na mafuta, kutolipa kodi na huduma za bure ni kama asante tu mfalme anatoa kwa raia wake.
 
It is quite possible for Tanzania, due to the natural resources we have.
 
It is quite possible for Tanzania, due to the natural resources we have.
Mind you their population is 0.4 million comparing to 46 million of our population.
Brunei Population 1960-2016 | Data | Chart | Calendar | Forecast | News
The total population in Brunei was estimated at 0.4 million people in 2015, according to the latest census figures. Looking back, in the year of 1960, Brunei had a population of 0.1 million people.
 
Wameniudhi sehemu moja tu hakuna bia? Kitimoto nayo hakuna sasa Raha iko wapi nchi hiyo...!? Haijanivutia hata nusu ya robo
 
Mind you their population is 0.4 million comparing to 46 million of our population.
Brunei Population 1960-2016 | Data | Chart | Calendar | Forecast | News
The total population in Brunei was estimated at 0.4 million people in 2015, according to the latest census figures. Looking back, in the year of 1960, Brunei had a population of 0.1 million people.
But, what I know in Tanzania, our natural resources are almost proportional to the population growth. At least they can be used to give the relief of her citizens, rather than making the life too hard.
 
Back
Top Bottom