Ijue kwa undani nchi ya Brunei ambako Raia hawalipi kodi ni kula bata tu

Ijue kwa undani nchi ya Brunei ambako Raia hawalipi kodi ni kula bata tu

Rasilimali zote za nchi ni mali ya mfalme, hakuna anaeruhusiwa kuuliza mapato yatokonayo na mafuta, kutolipa kodi na huduma za bure ni kama asante tu mfalme anatoa kwa raia wake.
Si mara mia mkuu,kama maisha mengine yanakwenda kuna shida gani? hapa bongo rasilimali za ''kwetu'' wote ila zinaliwa na wachache na hata ahsante hupewi
 
Viza yake vipi nataka kuzamia nikajenge kanisa huko
 
wanakula bata daily halafu beer hamna daah,napata ukakasi kuelewa hapo au wao ni ngono mwanzo mwisho..kibongo bongo mtu ukisema anakula bata ujue ni kitungi na mademu kwa kwendraaa mbeleee
 
Ila hapo pa kupigwa mawe duuuh pagumu sana
Hakuna ugumu, muhimu owa usizini, sharia ya kukata mkono na kupigwa mawe ipo kwenye katiba ila wanao hukumiwa hamna maana hakuna anayefikiria kuzini wakati ukiowa unapewa gari na serikali mbali na facilities nyingine muhimu.
 
Hakuna ugumu, muhimu owa usizini, sharia ya kukata mkono na kupigwa mawe ipo kwenye katiba ila wanao hukumiwa hamna maana hakuna anayefikiria kuzini wakati ukiowa unapewa gari na serikali mbali na facilities nyingine muhimu.
Naona unaongea kinadharia zaidi mkuu..
Ila ukifikiria zaidi katika ulimwengu wa kawaida utaona ugumu ninauongelea hapo.
 
Ushasema ni kisiwa .means idadi ya wakazi wake haizidi 10milions,hivyo si jambo la ajabu sana
 
Unachanganya mambo.

Jinni ni kiumbe ambae wapo wengine wao ni mashetani. Kama ilivyo kwa binaadam, wapo wengine ni mashetani.

Shetani si lazima awe ni katika majinni, wapo binaadam mashetani, mfano huyu mchungaji:

nigeria-abus-pasteur.jpg
Mchungaji anafaidi!!
Nimejikuta nataman ningekuw ndo huyo mchungaji na sio kuwa huyo mfalme
 
Unachanganya mambo.

Jinni ni kiumbe ambae wapo wengine wao ni mashetani. Kama ilivyo kwa binaadam, wapo wengine ni mashetani.

Shetani si lazima awe ni katika majinni, wapo binaadam mashetani, mfano huyu mchungaji:

nigeria-abus-pasteur.jpg
Innal llah waina ilaih rajjiun aisee
 
hapo sasa wazamiaji kazi kwenu location zote ziko hapo
 
Back
Top Bottom