Ijue minara kumi ya kuvutia mirefu zaidi duniani

Ijue minara kumi ya kuvutia mirefu zaidi duniani

TPA Port tower- Kigamboni, Dar Es Salaam.
450px-Control_tower_in_Dar_es_salaam.jpg



New_Dar_es_Salaam_tower.JPG
Huu wa bongo ni wa ngapi.
 
Hili wazo limeshamfikia jiwe, ngoja atajenga mkubwa kuliko yote Duniani. Wachina watakuja kusaini mikataba
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jamani msichanganye futi na meter. Akisema futi 1,300 siyo kwamba ni kilometer 1.3. Jamani Meter 1 ni sawa na futi 3.3...
Kwa hiyo hapo ni kama meter 400 hivi
 
4/Ostankino Tower
f7b8f04b25860aff03bdfde92852593b.jpg
eb823cad267903b595e1694b8de5cae7.jpg

Huu ndo mnara mrefu zaidi barani Ulaya
Upo kule kwa "Kumsamehe gaidi ni kazi ya Mungu ila kumpeleka gaidi kwa Mungu ni kazi ya Putin" .......Sasa ole wao ISIS wakaulipue kitakachowapata watajua wenyewe tunaweza tukaokota hadi bongo vichwa vilivyojaa ndevu kama kambale

Upo jijini Moscnow nchini Urusi
Ulianza kujengwa mwaka 1963 na kukamilika ujenzi wake mwaka 1967
Unatumika kwa ajili ya kurushia matangazo ya luninga na radio,kutizama jiji la Moscow na utalii
Pia ndo jengo refu zaidi barani Ulayaa na kwa dunia unakamata # 11 kwa urefu wa jengo ukipambanishwa na majengo yote

Mnara huu una urefu wa mita 1,772
Aisee umechemka hizi mita
 
Jamani msichanganye futi na meter. Akisema futi 1,300 siyo kwamba ni kilometer 1.3. Jamani Meter 1 ni sawa na futi 3.3...
Kwa hiyo hapo ni kama meter 400 hivi
Mita 1 = Futi 3.3
Km 1 = Mita 1000
Hivyo Km 1 ni sawa na futi 3300

Kuna mtu uliyemwona anachanganya mkuu ungemquote ingekuwa rahisi kueleweka
 
Hizo ni futi
Hivyovni typing error....ungekuwa unasoma kwa umakini ungegundua minara yote nimetumia kipimo cha futi
Nilielewa sana ila kuna mwingine ulitaja na mita zake ndio maana hata huu nikahisi umemaanisha
 
Nilielewa sana ila kuna mwingine ulitaja na mita zake ndio maana hata huu nikahisi umemaanisha
Upo sahihi mkuu
Lilikuwa ni kosa dogo ila linaloweza kumchanganya mtu nimeisharekebisha
Shukrani mkuu
 
Yaani wwe jamaa na audience wako mnaniacha hoi sana
Mkuu Jf ya sasa hivi inaboa sanawatu wanaangalia nani kaandika madabadala ya kufocus mada mfano hapa intelligence kuna thread nyingi tu mbovu ila kwavile zimeandikwa na "watu fulani" huwezi kukuta wanakosoa zaidi ya kusogeza mapeji na kupongeza

Ila akina sisi kila thread ni kukosolewa na kushambuliwa tu utafikiri tunaandika pumba

Mtu usipokuwa mvumilivu unaweza kutukana
 
Back
Top Bottom