Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ulipo umepangwa ?
Hahaa mkuu hapa hulipwi fanya kile unaona wewe ni sahihi as your signature say..Mkuu Jf ya sasa hivi inaboa sanawatu wanaangalia nani kaandika madabadala ya kufocus mada mfano hapa intelligence kuna thread nyingi tu mbovu ila kwavile zimeandikwa na "watu fulani" huwezi kukuta wanakosoa zaidi ya kusogeza mapeji na kupongeza
Ila akina sisi kila thread ni kukosolewa na kushambuliwa tu utafikiri tunaandika pumba
Mtu usipokuwa mvumilivu unaweza kutukana
'Shetani' Mtanashati na Amri Kuu 10 - JamiiForumsBoss ule uzi wa yule jamaa tapeli aliyetapeli kupitia mnara wa ufaransa meutafuta kwa kitambo bila mafanikio ukiwa unaweza upata nisaidie link
'Shetani' Mtanashati na Amri Kuu 10 - JamiiForumsMkuu hapa intelligence sijawahi kuliona andiko linalomwelezea yeye kama yeye zaidi ni orodha tu ya matapeli(hata mimi ninayo ipo siku nitaweka)