Ijue mipaka ya kimamlaka kwenye video ya mzozo wa mwanajeshi na trafiki wa usalama barabarani inayosambaa mitandaoni

Tukiweka sheria pembeni. Umewahi kusikia Jeshi la Polisi limechukua nchi?
 
kwahiyo wajumbe mnasemaje?
Kwamba hili jina la mapaka tulipitoshe?
 
Subiri siku ukiingia kwenye kumi na nane za hao wanajeshi ndio utajua ama hujui,tantalila nyingi kama paka
 
[emoji115][emoji115][emoji115] usilolijua litakusumbua sana akilini mwako bora usome na kupita zako kuliko kuandika yasiyo julikana
 
Kuwa muungwana basi Kwa kutumia tafsida, kwani maneno makali hayajengi bali yanabomoa. Halafu kumbuka JWTZ ni taasisi kwa hiyo tabia ya mtu mmoja usiifananishe na taasisi mzima.
 

Mjeda wa wapi huyo apigwe na polisi kizembe hivyo? Tena kama ukijichanganya kwa MP's kipigo utakachopewa hautosahau.
 
Video yq zaman sijui kwa nn imerudi kutrend tena mm niliiona 2013 kwa mara ya kwanza.
 
fine ya bila sababu usikubali omba kwenda mahakamani.

otherways hiyo ni halali,na umeiona ila unataka kurushiwa shuka.
Watanzania maisha haya magumu, bado upate muda, wa kwenda mahakamani kumlalamikia trafiki.
 
Zama za uhuru,walifaulu miaka hiyo Ghana ila walishindwa mara 3 Tanzania,Leo hii ndio hawawezi kabisaaa
Issue ya urais baada ya mwenda zake.. bila baba mwenye nyota nyingi kukaza alikuwa anapitaa mtu mwingine... hapo hiyo ni prove nzuri kabisaa ya Jeshi kuwa lina nguvu
 
Issue ya urais baada ya mwenda zake.. bila baba mwenye nyota nyingi kukaza alikuwa anapitaa mtu mwingine... hapo hiyo ni prove nzuri kabisaa ya Jeshi kuwa lina nguvu
Kazi ya Jeshi ni kulinda uhuru wa raia na ndicho walisimamia sio wao kujigeuza watawala..

Hata wangefanya hivyo wangeshika Kwa mda kuweka order na kurudisha utawala Kwa raia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…