Ijue MTAKUWWA Awamu ya 2

Ijue MTAKUWWA Awamu ya 2

Muheshimiwa Kwan wanaume Hawafanyiwi ukati? Mbona huo mpango umekaa kibaguzi kuhusisha jinsia moja?
 
Muheshimiwa Kwan wanaume Hawafanyiwi ukati? Mbona huo mpango umekaa kibaguzi kuhusisha jinsia moja?
Mkakat unaendana na ukubwa wa tatizo na makali ya matendo husika. Ushwahi kusikia mwanaume kapeleka mahakamani mkewe anataka urithi?.

Kwa swali hilo hapo juu ushajua kwa nn hii kesi mwanwake ndo mlengwa?

Wanaume watakuwa kwenye utekelezaji kwan muitiko wa kupinga ukatili wa kijinsia ni wa jamii nzima!.
 
Usipofanya ufuatiliaji wa jambo lako, litalala. Ufuatiliaji ni sehemu ya utekelezaji wa sekta zote ndiyo maana unaona viongozi mbalimbali wanafuatilia na kuelimisha na kutoa moyo na kupokea maoni na changamoto... Kwa hiyo ni shughuli ya sekta zote tu na taasisi zote Tanzania na duniani yaani ni component ya utekelezaji. Hata huku kwenye familia unagawa kazi na unafuatilia, unatibu mgonjwa na unamfuatilia.... Unalima shamba na unafuatilia maendeleo kwa kwenda shambani.

Ahsante Sana kwa maoni yako
Kwani Mheshimiwa ukitupatia link ya hiyo document utapungukiwa na nini?
 
mheshimiwa Dkt. Gwajima D vipi hizi habari za watoto kutekwa na kupotea na kwenda kutolewa viungo zinazoenea uku mitaani, mnazifanyia kazi hizi taarifa?

zimenifanya sasa mpaka naenda kumpokea mwanangu muda wa kutoka shule,

naogopa.
 
Andaeni mpango wa kukomesha UKATILI miongoni mwa wanawake na sio dhidi ya wanawake.
Wanawake wamekua wakijiua,wakidhuru waume zao na watoto wao,kukata hata nyeti za waume au wapenzi wao
.
Mnaposema dhidi ya wanawake mnakua hapo sahihi sana. Tengenezeni mpango mkakati wa kudhibiti miongoni mwao( not against it must be within)
 
Andaeni mpango wa kukomesha UKATILI miongoni mwa wanawake na sio dhidi ya wanawake.
Wanawake wamekua wakijiua,wakidhuru waume zao na watoto wao,kukata hata nyeti za waume au wapenzi wao
.
Mnaposema dhidi ya wanawake mnakua hapo sahihi sana. Tengenezeni mpango mkakati wa kudhibiti miongoni mwao( not against it must be within)
Ahsante kwa maoni. Wiki iliyopita REPOA wamezindua utafiti uliofanywa kuhusu eneo la hoja yako. Utafiti ndiyo hujenga msingi wa mipango, tafadhali pita ukurasa wao utaona tafadhali. Hivyo, tafiti zote zinazingatiwa katika kusukuma maendeleo na ustawi wa jamii.
 
Jamii ya kipuuzi Sana kuamini ya kuwa Mwanaume ndio anahitaji teseka Acha Upuuzi kaka
 
Taarifa ya tathmini ya utekelezaji wa Awamu ya kwanza ipo, ndiyo imeunda mpango wa Awamu ya pili. Tusichanganye matarajio ya ziara ya kesho na mafanikio ya utekelezaji wa MTAKUWWA Awamu ya kwanza tafadhali
Ungetuwekea sasa taarifa ya awamu ya kwanza tukawa na wigo mpana wa kushauri na kuchangia maoni ni nini kiende kufanyika kwenye awamu ya pili.Sasa tutatoaje maoni ya awamu inayofuata kama yale ya awamu iliyoanza ni siri yako/yenu tu??!!!
 
Jamii ya kipuuzi Sana kuamini ya kuwa Mwanaume ndio anahitaji teseka Acha Upuuzi kaka
Haya mambo yana maelezo mazuri kabisa ya kisayansi. Kwa nn usikubal kama mfumo unafeva upande wa me?. Kinachofanyika ni equity tu.. na sio kama sisi tunateseka may be idea yetu wenyew inatudanganya.

Wewe mara ya mwisho kulia au kuhuzunika mpaka machozi yakatoka ilikua lini? Unadhan kwa nn?
 
Haya mambo yana maelezo mazuri kabisa ya kisayansi. Kwa nn usikubal kama mfumo unafeva upande wa me?. Kinachofanyika ni equity tu.. na sio kama sisi tunateseka may be idea yetu wenyew inatudanganya.

Wewe mara ya mwisho kulia au kuhuzunika mpaka machozi yakatoka ilikua lini? Unadhan kwa nn

Haya mambo yana maelezo mazuri kabisa ya kisayansi. Kwa nn usikubal kama mfumo unafeva upande wa me?. Kinachofanyika ni equity tu.. na sio kama sisi tunateseka may be idea yetu wenyew inatudanganya.

Wewe mara ya mwisho kulia au kuhuzunika mpaka machozi yakatoka ilikua lini? Unadhan kwa nn?
Kama ni hivyo Basi na wao wanastahili hayo ndio mifumo pia
 
Ahsante mheshimiwa kwa bandiko lako,
Niko ngazi ya kata kama CDO, changamoto ya kamati za MTAKUWWA ngazi ya kata ni hakuna posho kwa wajumbe. Inaathiri sana ufanisi wa hizi kamati katika kutekeleza majukumu yake katika kutoa taarifa za ukatili na kukaa vikao vya kila robo. Wajumbe wanatoka mbali sana, mtu anatumia nauli zaidi ya 6000 kufika ofisi ya kata kwa ajili ya vikao vya MTAKUWWA.

Agiza kila halmshauri kuelekeza idara ya Maendeleo ya Jamii kuwa na posho kidogo kuwezesha wajumbe nauli.

Tupambanie tupate usafiri wa pikipiki ili kuweza kuleta matokeo makubwa kwenye ngazi za Vijiji.
 
Hakuna waziri anayeweza kudhibiti maadili. Hayupo.

Maadili yanadhibitiwa na familia peke yake

Waziri kazi yake ni kudhibiti matokeo ya hayo maadili

Sio kazi ya dr. Gwajima kulea watoto wenu
Kwa hiyo hii wizara ina faida ipi kuwepo?

"Nini maana wa ustawi wa jamii"? Kustawisha jamii yenye maadili mabovu?
 
Back
Top Bottom