Ijue Nguvu ya majina yanayoanza na herufi J, K na M

Ijue Nguvu ya majina yanayoanza na herufi J, K na M

Habari Wana JF

Kuna ukweli usio pingika kuhusu Nguvu ya majina yanayo anza na herufi J,K na M.

Tuanze na hapa kwetu Tanzania,Rais wa Kwanza jina lake ni Julius Kambarage Nyerere,yeye alibahatika kwenye jina lake Kuna herufi mbili za Nguvu yaani J na K

JF Kennedy alikuwa Rais wa Marekani pia jina lake Lina herufi mbili za Nguvu yaani J na K.

Jomo Kenyatta Rais wa Kwanza wa Kenya naye Ana herufi mbili J na K.

J P M alikuwa Rais wa Tanzania awamu ya tano naye ana herufi mbili J na M.

J M K (Kikwete) huyu ndio funga kazi ana herufi zote tatu yaani J, K na M.

Benjamini Mkapa.Ni Rais wa Tanzania kwa awamu ya tatu. Yeye ana herufi moja ya Nguvu Yaani M.

Samora Machel alikuwa Rais wa Kwanza wa Msumbiji(Mozambique) yeye ana M.

Ally H Mwinyi.Ni Raisi wa pili wa Tanzania yeye ana M.

Mobutu Seseseko Kuku Mbendu wa Zabanga(Rais wa Zaire /kwa Sasa Congo) yeye ana M.

Kenneth Kaunda alikuwa Rais wa Zambia yeye ana K.

Bingu wa Mutharika alikuwa Rais wa Malawi.Yeye ana M.

Miltoni Obote ,alikuwa Rais wa Uganda.yeye ana M.

Nelson Mandela alikuwa Rais wa Afrika Kusini.Yeye ana M.

Mwai Kibaki , alikuwa Rais wa Kenya . Yeye ana herufi mbili za Nguvu yaani M na K.

Kwame Nkuruma alikuwa Rais wa Ghana yeye ana K.

Jonas Savimbi alikuwa ni kongozi wa waasi Angola. Yeye ana J.

Paul Kagame, Rwanda yeye ana K.

Yoweri K Museven Uganda yeye ana K na M.

Nimeonesha mifano michache Sana kuhusiana na Nguvu ya hizi herufi J,K na M. Wapo viongozi wengi wenye majina yanayoumbwa kwa herufi hizo,.

Unaweza kuongezea viongozi wengine wenye majina yenye herufi J ,K na M.
Mbona hujazungumzia akina
Barack Obama B na O
Vladimyr Putin V na P
Donald Trump D na T
Angela Merkel A na K
etc?
 
Habari Wana JF

Kuna ukweli usio pingika kuhusu Nguvu ya majina yanayo anza na herufi J,K na M.

Tuanze na hapa kwetu Tanzania,Rais wa Kwanza jina lake ni Julius Kambarage Nyerere,yeye alibahatika kwenye jina lake Kuna herufi mbili za Nguvu yaani J na K

JF Kennedy alikuwa Rais wa Marekani pia jina lake Lina herufi mbili za Nguvu yaani J na K.

Jomo Kenyatta Rais wa Kwanza wa Kenya naye Ana herufi mbili J na K.

J P M alikuwa Rais wa Tanzania awamu ya tano naye ana herufi mbili J na M.

J M K (Kikwete) huyu ndio funga kazi ana herufi zote tatu yaani J, K na M.

Benjamini Mkapa.Ni Rais wa Tanzania kwa awamu ya tatu. Yeye ana herufi moja ya Nguvu Yaani M.

Samora Machel alikuwa Rais wa Kwanza wa Msumbiji(Mozambique) yeye ana M.

Ally H Mwinyi.Ni Raisi wa pili wa Tanzania yeye ana M.

Mobutu Seseseko Kuku Mbendu wa Zabanga(Rais wa Zaire /kwa Sasa Congo) yeye ana M.

Kenneth Kaunda alikuwa Rais wa Zambia yeye ana K.

Bingu wa Mutharika alikuwa Rais wa Malawi.Yeye ana M.

Miltoni Obote ,alikuwa Rais wa Uganda.yeye ana M.

Nelson Mandela alikuwa Rais wa Afrika Kusini.Yeye ana M.

Mwai Kibaki , alikuwa Rais wa Kenya . Yeye ana herufi mbili za Nguvu yaani M na K.

Kwame Nkuruma alikuwa Rais wa Ghana yeye ana K.

Jonas Savimbi alikuwa ni kongozi wa waasi Angola. Yeye ana J.

Paul Kagame, Rwanda yeye ana K.

Yoweri K Museven Uganda yeye ana K na M.

Nimeonesha mifano michache Sana kuhusiana na Nguvu ya hizi herufi J,K na M. Wapo viongozi wengi wenye majina yanayoumbwa kwa herufi hizo,.

Unaweza kuongezea viongozi wengine wenye majina yenye herufi J ,K na M.
Uku mtaani kwetu kuna jamaa anaitwa Jerome Katungwa Mamia ni mwizi balaa. Jamaa anaiba hadi kuku za bimkubwa wake anauza. 🤣🤣
 
Nikadhani Muhammad, Abdulkareem, Said, Saleh n.k. kumbe akina pombe, nyerere na mkapa 😁 haya mkuu hongera kwayo
 
Vipi "yesu yosefu" vipi na yehova yahwe" wa mwisho mwisho "sheteni ibiliss maana hawa ndio binadamu wenye majina makubwa ulimwenguni😂😂😂😂 mtoa mada aibu nimeona mm 🏃🏃🏃
 
Hakuna kitu.. ukweli ni kwamba majina ya ukoo yanayoongoza kwa wingi ni M... unaweza kuta hata wewe hapo jina lako la ukoo linaanza M, na linafatiwa kwa wingi ni K kwa waafrika wengi.
 
Habari Wana JF

Kuna ukweli usio pingika kuhusu Nguvu ya majina yanayo anza na herufi J,K na M.

Tuanze na hapa kwetu Tanzania,Rais wa Kwanza jina lake ni Julius Kambarage Nyerere,yeye alibahatika kwenye jina lake Kuna herufi mbili za Nguvu yaani J na K

JF Kennedy alikuwa Rais wa Marekani pia jina lake Lina herufi mbili za Nguvu yaani J na K.

Jomo Kenyatta Rais wa Kwanza wa Kenya naye Ana herufi mbili J na K.

J P M alikuwa Rais wa Tanzania awamu ya tano naye ana herufi mbili J na M.

J M K (Kikwete) huyu ndio funga kazi ana herufi zote tatu yaani J, K na M.

Benjamini Mkapa.Ni Rais wa Tanzania kwa awamu ya tatu. Yeye ana herufi moja ya Nguvu Yaani M.

Samora Machel alikuwa Rais wa Kwanza wa Msumbiji(Mozambique) yeye ana M.

Ally H Mwinyi.Ni Raisi wa pili wa Tanzania yeye ana M.

Mobutu Seseseko Kuku Mbendu wa Zabanga(Rais wa Zaire /kwa Sasa Congo) yeye ana M.

Kenneth Kaunda alikuwa Rais wa Zambia yeye ana K.

Bingu wa Mutharika alikuwa Rais wa Malawi.Yeye ana M.

Miltoni Obote ,alikuwa Rais wa Uganda.yeye ana M.

Nelson Mandela alikuwa Rais wa Afrika Kusini.Yeye ana M.

Mwai Kibaki , alikuwa Rais wa Kenya . Yeye ana herufi mbili za Nguvu yaani M na K.

Kwame Nkuruma alikuwa Rais wa Ghana yeye ana K.

Jonas Savimbi alikuwa ni kongozi wa waasi Angola. Yeye ana J.

Paul Kagame, Rwanda yeye ana K.

Yoweri K Museven Uganda yeye ana K na M.

Nimeonesha mifano michache Sana kuhusiana na Nguvu ya hizi herufi J,K na M. Wapo viongozi wengi wenye majina yanayoumbwa kwa herufi hizo,.

Unaweza kuongezea viongozi wengine wenye majina yenye herufi J ,K na M.
majina ya k mwengi wanakua matapeli tapeli
 
Ila kwenye j kuna kitu. Asilimia kubwa ya watu maarufu huangukia katika majina hayo ama wake zao. Hata mi mpango wangu nikuoa mwanamke mwenye jina linaloanza na j

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Habari Wana JF

Kuna ukweli usio pingika kuhusu Nguvu ya majina yanayo anza na herufi J,K na M.

Tuanze na hapa kwetu Tanzania,Rais wa Kwanza jina lake ni Julius Kambarage Nyerere,yeye alibahatika kwenye jina lake Kuna herufi mbili za Nguvu yaani J na K

JF Kennedy alikuwa Rais wa Marekani pia jina lake Lina herufi mbili za Nguvu yaani J na K.

Jomo Kenyatta Rais wa Kwanza wa Kenya naye Ana herufi mbili J na K.

J P M alikuwa Rais wa Tanzania awamu ya tano naye ana herufi mbili J na M.

J M K (Kikwete) huyu ndio funga kazi ana herufi zote tatu yaani J, K na M.

Benjamini Mkapa.Ni Rais wa Tanzania kwa awamu ya tatu. Yeye ana herufi moja ya Nguvu Yaani M.

Samora Machel alikuwa Rais wa Kwanza wa Msumbiji(Mozambique) yeye ana M.

Ally H Mwinyi.Ni Raisi wa pili wa Tanzania yeye ana M.

Mobutu Seseseko Kuku Mbendu wa Zabanga(Rais wa Zaire /kwa Sasa Congo) yeye ana M.

Kenneth Kaunda alikuwa Rais wa Zambia yeye ana K.

Bingu wa Mutharika alikuwa Rais wa Malawi.Yeye ana M.

Miltoni Obote ,alikuwa Rais wa Uganda.yeye ana M.

Nelson Mandela alikuwa Rais wa Afrika Kusini.Yeye ana M.

Mwai Kibaki , alikuwa Rais wa Kenya . Yeye ana herufi mbili za Nguvu yaani M na K.

Kwame Nkuruma alikuwa Rais wa Ghana yeye ana K.

Jonas Savimbi alikuwa ni kongozi wa waasi Angola. Yeye ana J.

Paul Kagame, Rwanda yeye ana K.

Yoweri K Museven Uganda yeye ana K na M.

Nimeonesha mifano michache Sana kuhusiana na Nguvu ya hizi herufi J,K na M. Wapo viongozi wengi wenye majina yanayoumbwa kwa herufi hizo,.

Unaweza kuongezea viongozi wengine wenye majina yenye herufi J ,K na M.
Bora huku mention kwa namba....maana wangesema huyo namba{....} AONDOLEWE

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Mbona hujazungumzia akina
Barack Obama B na O
Vladimyr Putin V na P
Donald Trump D na T
Angela Merkel A na K
etc?
Kama Putin kwenye hayo majina hayumo basi huo ni uongo na huu uzi ufungwe rasmi.
 
Habari Wana JF

Kuna ukweli usio pingika kuhusu Nguvu ya majina yanayo anza na herufi J,K na M.

Tuanze na hapa kwetu Tanzania,Rais wa Kwanza jina lake ni Julius Kambarage Nyerere,yeye alibahatika kwenye jina lake Kuna herufi mbili za Nguvu yaani J na K

JF Kennedy alikuwa Rais wa Marekani pia jina lake Lina herufi mbili za Nguvu yaani J na K.

Jomo Kenyatta Rais wa Kwanza wa Kenya naye Ana herufi mbili J na K.

J P M alikuwa Rais wa Tanzania awamu ya tano naye ana herufi mbili J na M.

J M K (Kikwete) huyu ndio funga kazi ana herufi zote tatu yaani J, K na M.

Benjamini Mkapa.Ni Rais wa Tanzania kwa awamu ya tatu. Yeye ana herufi moja ya Nguvu Yaani M.

Samora Machel alikuwa Rais wa Kwanza wa Msumbiji(Mozambique) yeye ana M.

Ally H Mwinyi.Ni Raisi wa pili wa Tanzania yeye ana M.

Mobutu Seseseko Kuku Mbendu wa Zabanga(Rais wa Zaire /kwa Sasa Congo) yeye ana M.

Kenneth Kaunda alikuwa Rais wa Zambia yeye ana K.

Bingu wa Mutharika alikuwa Rais wa Malawi.Yeye ana M.

Miltoni Obote ,alikuwa Rais wa Uganda.yeye ana M.

Nelson Mandela alikuwa Rais wa Afrika Kusini.Yeye ana M.

Mwai Kibaki , alikuwa Rais wa Kenya . Yeye ana herufi mbili za Nguvu yaani M na K.

Kwame Nkuruma alikuwa Rais wa Ghana yeye ana K.

Jonas Savimbi alikuwa ni kongozi wa waasi Angola. Yeye ana J.

Paul Kagame, Rwanda yeye ana K.

Yoweri K Museven Uganda yeye ana K na M.

Nimeonesha mifano michache Sana kuhusiana na Nguvu ya hizi herufi J,K na M. Wapo viongozi wengi wenye majina yanayoumbwa kwa herufi hizo,.

Unaweza kuongezea viongozi wengine wenye majina yenye herufi J ,K na M.
Joka jeusi
 
Back
Top Bottom