Sophoghani
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 395
- 622
Untaka kusemaje mkuuHakuna S wala H humo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Untaka kusemaje mkuuHakuna S wala H humo?
Vipi Putin?Habari Wana JF
Kuna ukweli usio pingika kuhusu Nguvu ya majina yanayo anza na herufi J,K na M.
Tuanze na hapa kwetu Tanzania,Rais wa Kwanza jina lake ni Julius Kambarage Nyerere,yeye alibahatika kwenye jina lake Kuna herufi mbili za Nguvu yaani J na K
JF Kennedy alikuwa Rais wa Marekani pia jina lake Lina herufi mbili za Nguvu yaani J na K.
Jomo Kenyatta Rais wa Kwanza wa Kenya naye Ana herufi mbili J na K.
J P M alikuwa Rais wa Tanzania awamu ya tano naye ana herufi mbili J na M.
J M K (Kikwete) huyu ndio funga kazi ana herufi zote tatu yaani J, K na M.
Benjamini Mkapa.Ni Rais wa Tanzania kwa awamu ya tatu. Yeye ana herufi moja ya Nguvu Yaani M.
Samora Machel alikuwa Rais wa Kwanza wa Msumbiji(Mozambique) yeye ana M.
Ally H Mwinyi.Ni Raisi wa pili wa Tanzania yeye ana M.
Mobutu Seseseko Kuku Mbendu wa Zabanga(Rais wa Zaire /kwa Sasa Congo) yeye ana M.
Kenneth Kaunda alikuwa Rais wa Zambia yeye ana K.
Bingu wa Mutharika alikuwa Rais wa Malawi.Yeye ana M.
Miltoni Obote ,alikuwa Rais wa Uganda.yeye ana M.
Nelson Mandela alikuwa Rais wa Afrika Kusini.Yeye ana M.
Mwai Kibaki , alikuwa Rais wa Kenya . Yeye ana herufi mbili za Nguvu yaani M na K.
Kwame Nkuruma alikuwa Rais wa Ghana yeye ana K.
Jonas Savimbi alikuwa ni kongozi wa waasi Angola. Yeye ana J.
Paul Kagame, Rwanda yeye ana K.
Yoweri K Museven Uganda yeye ana K na M.
Nimeonesha mifano michache Sana kuhusiana na Nguvu ya hizi herufi J,K na M. Wapo viongozi wengi wenye majina yanayoumbwa kwa herufi hizo,.
Unaweza kuongezea viongozi wengine wenye majina yenye herufi J ,K na M.
ja-mila kuna ndoa hukuIla kwenye j kuna kitu. Asilimia kubwa ya watu maarufu huangukia katika majina hayo ama wake zao. Hata mi mpango wangu nikuoa mwanamke mwenye jina linaloanza na j
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
rais wa china anaitwa yowel musevenKama ndo hivo herufi yenye nguvu zaid duniani ni "A" hamna Raisi wa Africa asie kua na hiyo helufi.
kisarawe ameshahama .....saiv yuko nchinija-mila kuna ndoa huku
kidotiiiiiiIla kwenye j kuna kitu. Asilimia kubwa ya watu maarufu huangukia katika majina hayo ama wake zao. Hata mi mpango wangu nikuoa mwanamke mwenye jina linaloanza na j
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Majina ya waAfrika 90% huanza na M au K, sasa sijui ulitegemea niniHabari Wana JF
Kuna ukweli usio pingika kuhusu Nguvu ya majina yanayo anza na herufi J,K na M.
Tuanze na hapa kwetu Tanzania,Rais wa Kwanza jina lake ni Julius Kambarage Nyerere,yeye alibahatika kwenye jina lake Kuna herufi mbili za Nguvu yaani J na K
JF Kennedy alikuwa Rais wa Marekani pia jina lake Lina herufi mbili za Nguvu yaani J na K.
Jomo Kenyatta Rais wa Kwanza wa Kenya naye Ana herufi mbili J na K.
J P M alikuwa Rais wa Tanzania awamu ya tano naye ana herufi mbili J na M.
J M K (Kikwete) huyu ndio funga kazi ana herufi zote tatu yaani J, K na M.
Benjamini Mkapa.Ni Rais wa Tanzania kwa awamu ya tatu. Yeye ana herufi moja ya Nguvu Yaani M.
Samora Machel alikuwa Rais wa Kwanza wa Msumbiji(Mozambique) yeye ana M.
Ally H Mwinyi.Ni Raisi wa pili wa Tanzania yeye ana M.
Mobutu Seseseko Kuku Mbendu wa Zabanga(Rais wa Zaire /kwa Sasa Congo) yeye ana M.
Kenneth Kaunda alikuwa Rais wa Zambia yeye ana K.
Bingu wa Mutharika alikuwa Rais wa Malawi.Yeye ana M.
Miltoni Obote ,alikuwa Rais wa Uganda.yeye ana M.
Nelson Mandela alikuwa Rais wa Afrika Kusini.Yeye ana M.
Mwai Kibaki , alikuwa Rais wa Kenya . Yeye ana herufi mbili za Nguvu yaani M na K.
Kwame Nkuruma alikuwa Rais wa Ghana yeye ana K.
Jonas Savimbi alikuwa ni kongozi wa waasi Angola. Yeye ana J.
Paul Kagame, Rwanda yeye ana K.
Yoweri K Museven Uganda yeye ana K na M.
Nimeonesha mifano michache Sana kuhusiana na Nguvu ya hizi herufi J,K na M. Wapo viongozi wengi wenye majina yanayoumbwa kwa herufi hizo,.
Unaweza kuongezea viongozi wengine wenye majina yenye herufi J ,K na M.
Umechemka. Kama ni hivyo wanyaki wote wana majina yanayoanzia M. Pia na wahaya wengi akina Mtashobwa pia wote wana herufi MHabari Wana JF
Kuna ukweli usio pingika kuhusu Nguvu ya majina yanayo anza na herufi J,K na M.
Tuanze na hapa kwetu Tanzania,Rais wa Kwanza jina lake ni Julius Kambarage Nyerere,yeye alibahatika kwenye jina lake Kuna herufi mbili za Nguvu yaani J na K
JF Kennedy alikuwa Rais wa Marekani pia jina lake Lina herufi mbili za Nguvu yaani J na K.
Jomo Kenyatta Rais wa Kwanza wa Kenya naye Ana herufi mbili J na K.
J P M alikuwa Rais wa Tanzania awamu ya tano naye ana herufi mbili J na M.
J M K (Kikwete) huyu ndio funga kazi ana herufi zote tatu yaani J, K na M.
Benjamini Mkapa.Ni Rais wa Tanzania kwa awamu ya tatu. Yeye ana herufi moja ya Nguvu Yaani M.
Samora Machel alikuwa Rais wa Kwanza wa Msumbiji(Mozambique) yeye ana M.
Ally H Mwinyi.Ni Raisi wa pili wa Tanzania yeye ana M.
Mobutu Seseseko Kuku Mbendu wa Zabanga(Rais wa Zaire /kwa Sasa Congo) yeye ana M.
Kenneth Kaunda alikuwa Rais wa Zambia yeye ana K.
Bingu wa Mutharika alikuwa Rais wa Malawi.Yeye ana M.
Miltoni Obote ,alikuwa Rais wa Uganda.yeye ana M.
Nelson Mandela alikuwa Rais wa Afrika Kusini.Yeye ana M.
Mwai Kibaki , alikuwa Rais wa Kenya . Yeye ana herufi mbili za Nguvu yaani M na K.
Kwame Nkuruma alikuwa Rais wa Ghana yeye ana K.
Jonas Savimbi alikuwa ni kongozi wa waasi Angola. Yeye ana J.
Paul Kagame, Rwanda yeye ana K.
Yoweri K Museven Uganda yeye ana K na M.
Nimeonesha mifano michache Sana kuhusiana na Nguvu ya hizi herufi J,K na M. Wapo viongozi wengi wenye majina yanayoumbwa kwa herufi hizo,.
Unaweza kuongezea viongozi wengine wenye majina yenye herufi J ,K na M.
Job Yustino Ndugai yeye ana J. Mtamjua vizuri 2025 na mtajua kwanini mleta mada kaleta J, K na M.Habari Wana JF
Kuna ukweli usio pingika kuhusu Nguvu ya majina yanayo anza na herufi J,K na M.
Tuanze na hapa kwetu Tanzania,Rais wa Kwanza jina lake ni Julius Kambarage Nyerere,yeye alibahatika kwenye jina lake Kuna herufi mbili za Nguvu yaani J na K
JF Kennedy alikuwa Rais wa Marekani pia jina lake Lina herufi mbili za Nguvu yaani J na K.
Jomo Kenyatta Rais wa Kwanza wa Kenya naye Ana herufi mbili J na K.
J P M alikuwa Rais wa Tanzania awamu ya tano naye ana herufi mbili J na M.
J M K (Kikwete) huyu ndio funga kazi ana herufi zote tatu yaani J, K na M.
Benjamini Mkapa.Ni Rais wa Tanzania kwa awamu ya tatu. Yeye ana herufi moja ya Nguvu Yaani M.
Samora Machel alikuwa Rais wa Kwanza wa Msumbiji(Mozambique) yeye ana M.
Ally H Mwinyi.Ni Raisi wa pili wa Tanzania yeye ana M.
Mobutu Seseseko Kuku Mbendu wa Zabanga(Rais wa Zaire /kwa Sasa Congo) yeye ana M.
Kenneth Kaunda alikuwa Rais wa Zambia yeye ana K.
Bingu wa Mutharika alikuwa Rais wa Malawi.Yeye ana M.
Miltoni Obote ,alikuwa Rais wa Uganda.yeye ana M.
Nelson Mandela alikuwa Rais wa Afrika Kusini.Yeye ana M.
Mwai Kibaki , alikuwa Rais wa Kenya . Yeye ana herufi mbili za Nguvu yaani M na K.
Kwame Nkuruma alikuwa Rais wa Ghana yeye ana K.
Jonas Savimbi alikuwa ni kongozi wa waasi Angola. Yeye ana J.
Paul Kagame, Rwanda yeye ana K.
Yoweri K Museven Uganda yeye ana K na M.
Nimeonesha mifano michache Sana kuhusiana na Nguvu ya hizi herufi J,K na M. Wapo viongozi wengi wenye majina yanayoumbwa kwa herufi hizo,.
Unaweza kuongezea viongozi wengine wenye majina yenye herufi J ,K na M.