Ijue Nguvu ya majina yanayoanza na herufi J, K na M

Vipi Putin?
 
Kama ndo hivo herufi yenye nguvu zaid duniani ni "A" hamna Raisi wa Africa asie kua na hiyo helufi.
rais wa china anaitwa yowel museven

Pia kuna mwenzake wa denmark anaitwa husein mwinyii

Achana na yule wa congolese anaitwa innoss b ...aka yope
 
Mimi mbona ndiyo Funga Kazi nnayo yote J, K, M. Na bado 'Ngoma Ngumu'.
 
Majina ya waAfrika 90% huanza na M au K, sasa sijui ulitegemea nini
 
Umechemka. Kama ni hivyo wanyaki wote wana majina yanayoanzia M. Pia na wahaya wengi akina Mtashobwa pia wote wana herufi M
 
Herufi zenye nguvu ya kumuinua mtu kimaisha ya kwanza ni (R &W )mtu Huyu Ndio mtu mwenye bahati kuliko wote. Anafuatiwa na J Huyu ni kiongozi japo misukosuko ya hapa na pale itamkumba inafuatiwa na B then k.(maarufu)
 
K sio mchezo, haijai kwenye kisahani Cha chai lkn Mambo yake utachoka. Diwani Tena mrithi tajiri kapotea miezi mitatu kumbe yupo hapo jirani tu Tabata kisa hiyo herufi.
 
Job Yustino Ndugai yeye ana J. Mtamjua vizuri 2025 na mtajua kwanini mleta mada kaleta J, K na M.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…