Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbon Nasiki et zimebadilika? View attachment 1107989
Mwaka huu nduguMwaka upi mkuu, toa details zote ukiona mtu hajajibiwa jua thread hajaisoma vema,
Rakims
Ungefungua uzi wako ukayaeleza hayo ningekuona wa maana sana. Maisha haya ni huru, kila mtu anachagua njia yake, ndo mana tunaamini kuna moto, kuna Pepo. Kufanya unayofanya ni kuingilia uhuru wa watu wengine ndio maana munaonekana hamna akili kabisa.Hapa haukumiwi mtu,pia nakupa faismda Allah alileta na kuweka waja wake ardhini kusimamia sheria zake na hukumu zake,ndio maana unakuta mzinifu anapigwa mawe,mwizi ana katwa mkono.
Hili mnatakiwa kuelewa si mnasema tu tusihukumu pindi yanapoguswa maslahi ya watu.
Haya yanatakiwa yasemwe huku yalikosemwa.
Ungefungua uzi wako ukayaeleza hayo ningekuona wa maana sana. Maisha haya ni huru, kila mtu anachagua njia yake, ndo mana tunaamini kuna moto, kuna Pepo. Kufanya unayofanya ni kuingilia uhuru wa watu wengi ndio maana munaonekana hamna akili.
Ungeanza kuwa na adabu wewe ingependeza zaidi, kwani dini watu hawana uhuru wa kuchagua, ovu gani ambalo umeliona kwa mtoa mada ambalo umelikemea. Pengine umekuwa msafi sana hadi kuanza kukemea maovu ya watu wengine. Kuheshimiana ni jambo la msingi sana. Kama kitu hauko na interest nacho ni vema kupita kimya kuliko kujifanya unajua.Nakupa faida,na inaonekana hujui nini kinachozungumziwa hapa. Hii sio siasa na hii ni dini,na katika adabu za kuondoa uovu ni kama hivi nilivyofanya.
Alichokifanya mtoa mada ni kuichafua dini na uovu unapotokea unatakiwa kukemewa pale pale. Hii ndio hekima na nilianza na mtoa mada mwenyewe. Kazi yangu nilimaliza na ujumbe niliufikisha.
Na siku nyingine uwe na adabu.
Uhuru bila mipaka ni utumwa wa kupigiwa mfano.
Nimemaliza ....
Because it always there,Mmmh mbona kam achawi vile , sjawahi kuamin hivi vitu ila kuhusu hii nyota ya punda aisee nimeduwaa baada ya kuisoma
Yaaan maelezo ni right mwanzo mwisho na nilivyo hadi mke wangu nilienae ana heruf" S " ya jina lake na mm nikiwa na herufi "M" kama ilivyoeleza hapo nyota ya punda aisee kila kitu kipo right na tulivyo
How can this be possible ???????
How ??
Kumuelewesha MNAFIKI itakupa tabu mkuu,Ungeanza kuwa na adhabu wewe ingependeza zaidi, kwani dini watu hawana uhuru wa kuchagua, ovu gani ambalo umeliona kwa mtoa mada ambalo umelikemea. Pengine umekuwa msafi sana hadi kuanza kukemea maovu ya watu wengine. Kuheshimiana ni jambo la msingi sana. Kama kitu hauko na interest nacho ni vema kupita kimya kuliko kujifanya unajua.
Dar es salaamKazaliwa mkoa gani tuone longitude na latitude
Rakims
Hawa jamaa ni kuachana nao tu, mana kila jambo wao kazi yao kuweka mihemko ya dini tu. Sijaona sehemu ulipo ingiza dini, ila wao wanaona kila sehemu inafaa kueneza ujinga wao.Kumuelewesha MNAFIKI itakupa tabu mkuu,
Wewe binafsi umeona hapo nimetaja dini?
Rakims
Mkuu uhusiano uliopo katika vitu vitano ulivyo vitaja mimi naona ulikuwa na maana ya nyota 2 tu yaani kuna uhusiano gani baina ya nyota ya mtu na jina la mtu na majina ya watu hili ni jambo moja unalizungumzia kwamba kuna uhusiano gani Nyota ya mtu na nyota ya (nyota zinazoonekana angani na tarehe na ya kuzaliwa hiki ni kitu kimoja mkuu) hivyo tutasema nyota za Angani,
Sasa jibu:
Uhusiano uliopo kati ya nyota za angani na binadamu ni kwamba nyota za angani kuna mtindo huwa zikikaa mfano kwenye picha hapa:
View attachment 1104479
Kila mwaka nyota hizi kati ya tarehe 21 march hadi 20 April humo katikati tukio la nyota hizi kujipanga hivyo huwa haligeuki fuatilia utajua na huwa zinatoa miale zaidi kuliko nyota za pembeni yake tukio hili ndio wakaamua kuliita Punda/Kondoo tukio hili kwa sababu mnyama tajwa hapa alikuwa akikaa kila mara kwenye mtindo huu na kutokea kupewa jina hilo kama una kondoo au Punda muweke nje usiku wa Aries Sign utaona ishara atakayo kuwa kakaa. kwa hiyo uhusiano uliopo hapo ni wa kufananisha matukio ya chini na alama za juu kama ilivyo dalili ya mvua mawingu basi na Aries hivyo hivyo ndio watoto jinsia kubwa waliokuwa wanatunga mimba humo walikuwa wa kiume na pia majina mengi yaliyokuwa yakitolewa humo yanathamani ya helufi hizo na yanaendana hivyo mkuu. Nyota ni muendelezo wa matukio yaliyopita yaliyopo na yanayoonekana kutokea kutokana na historia
View attachment 1104493
Ikiwa nimekujibu tofauti na ambavyo hukutegemea, basi jitahidi kusoma na wewe I'm sure jibu utalipata
Rakims
Ndio, mkuu lakini sio ujinga sema ni matumizi mabaya ya akili na mazingira.Hawa jamaa ni kuachana nao tu, mana kila jambo wao kazi yao kuweka mihemko ya dini tu. Sijaona sehemu ulipo ingiza dini, ila wao wanaona kila sehemu inafaa kueneza ujinga wao.