Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

kwenye nyota yangu 95% ulivyosema ni kweli nashukuru... je naomba unisaide hapo kwenye no ya bahati 2, 7 na siku ya bahati j3 je ntafaidika vipi direct kwenye real life au nazitumiaje?
 
Aisee mtaalam kwa mara ya kwanza kabisa naanza kuamini haya mambo ya nyota.

Hivi mwanaume akiwa ndoo alafu mwanamke simba wanaweza kuoana na kuishi kwa furaha ..maana mimi nna mpenzi wangu yeye simba alafu tuna migogoro sasa hivi?
 
mi nashindwa kuelewa huyo kaa watu ambao haelewani nao ni mbuzi ila mbuzi huyo huyo ni mzuri kwenye mahusiano/ mapenzi na ndoa, which is which sasa?

alafu unaposema wenye nyota ya kaa ni viongozi/leaders na huwa wanajiamini sana mbona kama inamchecheto, maana hata mimi nina nyota hiyo ila sina hizo mambo za kujiamini sana na sijawahi kuongoza au kupewa uongozi wowote.
Sasa wewe Si ni maitu mkuu..utamuongoza nan wakati uhakuwa Maiti
 
Mkuu Rakims kwenye nyota ya SIMBA izo nchi ulizotaja mbona kama ndo hazifai kuishi watu kama sisi?? Yani Bombay?? sijui morocco ..me nlidhani ntakuta USA uko, Vancuva Cuba, Jamaica ..kwa iyo nikieñda labd USA au Munich au Australia sitatoboa kilife adi niende Bombay????

Mkuu Rakims
 
kwenye nyota yangu 95% ulivyosema ni kweli nashukuru... je naomba unisaide hapo kwenye no ya bahati 2, 7 na siku ya bahati j3 je ntafaidika vipi direct kwenye real life au nazitumiaje?

Hizi namba unaweza kuzitumia kwenye michezo ya bahati nasibu au hata namba za simu au nyumba au gari au idadi na kila jambo ambalo unahitaji kubahatika hata muda zinaweza kutumika kwenye saa za matukio pia,

Siku ya bahati jumatatu unaweza kutumia kwa kutafuta kazi kuomba mkopo, kuanza safari chochote mkuu, hadi hivi vitu vidogo unauliza swali?

Rakims
 
Aisee mtaalam kwa mara ya kwanza kabisa naanza kuamini haya mambo ya nyota.

Hivi mwanaume akiwa ndoo alafu mwanamke simba wanaweza kuoana na kuishi kwa furaha ..maana mimi nna mpenzi wangu yeye simba alafu tuna migogoro sasa hivi?
Karibu mkuu, ndoo na simba ipo hivi:
Simba hupendezewa zaidi na matendo ya Ndoo kingono. Na ndoo huvutika zaidi kwa moto wa simba kimaisha hizi ni nyota mbili fahamu ya kuwa zina asili tofauti Moto wa mkaa kwa upepo wa kimbunga, lakini pia hali inaweza kuwa sawa ikiwa ndoo hawezi kuwa mkali kwa simba maana atavurugua maisha ya simba imagine umeweka jiko la mkaa ukaja upepo wa kimbunga, moto utawaka ikiwa upepo utakuwa wa kawaida na utawaka zaidi ikiwa utaongeza nguvu kidogo, lakini ukizidisha. Dunia itajua wameshindwana
Basically Simba huwa ni physical na Ndoo huwa ni mental simba hawezi kushilikiana na kutamani matakwa ya ndoo kwa sababu huona anamuharibia mipango na ndoo hapendi mabavu ya simba kupelekeshwa.
Wote ni wapenda ukubwa kwa sababu Ndoo ni King Jumamosi na Simba ni King jumapili sasa wafalme wawili hawawezi kukubali kuwa chini ya mwenzie
Ufalme wa Ndoo ni Uhuru na Mambo mapya ndio principle zake. Sasa simba ni Kupelekesha, ufahari na mabadiliko ya mitindo ya maisha pamoja na starehe,
Ndoo hupendelea watu wote.
Simba hujipendelea mwenyewe.

Hakuna maendeleo hapo ya ndoa zaidi ya baadae kusikia kila mtu ashike njia yake na hakuna ndoa hapa.
Labda muwe wachamungu na mwenyezi Mungu awanusurie. Lakini kama ibada za kudokoa na imani haba na uvumilivu hakuna, usijisumbue

Rakims
 
Mkuu Rakims kwenye nyota ya SIMBA izo nchi ulizotaja mbona kama ndo hazifai kuishi watu kama sisi?? Yani Bombay?? sijui morocco ..me nlidhani ntakuta USA uko, Vancuva Cuba, Jamaica ..kwa iyo nikieñda labd USA au Munich au Australia sitatoboa kilife adi niende Bombay????

Mkuu Rakims
Ndio mkuu,

Rakims
 
Back
Top Bottom