Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

Sawa, Nliuliz alozaliwa tar 30 April SAA 12 asubuhi nyota ilochomoza ni IPI? Hujanijibu ndugu
Mwaka upi mkuu, toa details zote ukiona mtu hajajibiwa jua thread hajaisoma vema,

Rakims
 
Mmmh mbona kam achawi vile , sjawahi kuamin hivi vitu ila kuhusu hii nyota ya punda aisee nimeduwaa baada ya kuisoma

Yaaan maelezo ni right mwanzo mwisho na nilivyo hadi mke wangu nilienae ana heruf" S " ya jina lake na mm nikiwa na herufi "M" kama ilivyoeleza hapo nyota ya punda aisee kila kitu kipo right na tulivyo

How can this be possible ???????

How ??
 
Ungefungua uzi wako ukayaeleza hayo ningekuona wa maana sana. Maisha haya ni huru, kila mtu anachagua njia yake, ndo mana tunaamini kuna moto, kuna Pepo. Kufanya unayofanya ni kuingilia uhuru wa watu wengine ndio maana munaonekana hamna akili kabisa.
 
Ungefungua uzi wako ukayaeleza hayo ningekuona wa maana sana. Maisha haya ni huru, kila mtu anachagua njia yake, ndo mana tunaamini kuna moto, kuna Pepo. Kufanya unayofanya ni kuingilia uhuru wa watu wengi ndio maana munaonekana hamna akili.

Nakupa faida,na inaonekana hujui nini kinachozungumziwa hapa. Hii sio siasa na hii ni dini,na katika adabu za kuondoa uovu ni kama hivi nilivyofanya.

Alichokifanya mtoa mada ni kuichafua dini na uovu unapotokea unatakiwa kukemewa pale pale. Hii ndio hekima na nilianza na mtoa mada mwenyewe. Kazi yangu nilimaliza na ujumbe niliufikisha.

Na siku nyingine uwe na adabu.

Uhuru bila mipaka ni utumwa wa kupigiwa mfano.

Nimemaliza ....
 
Ungeanza kuwa na adabu wewe ingependeza zaidi, kwani dini watu hawana uhuru wa kuchagua, ovu gani ambalo umeliona kwa mtoa mada ambalo umelikemea. Pengine umekuwa msafi sana hadi kuanza kukemea maovu ya watu wengine. Kuheshimiana ni jambo la msingi sana. Kama kitu hauko na interest nacho ni vema kupita kimya kuliko kujifanya unajua.
 
Because it always there,
You need time to reach it

Rakims
 
Kumuelewesha MNAFIKI itakupa tabu mkuu,
Wewe binafsi umeona hapo nimetaja dini?

Rakims
 
Mkuu nakubaliana na wewe Hivi Mwanaume wa Kaa anaweza Kupendana na Samaki (Mwanamke)
 
Kumuelewesha MNAFIKI itakupa tabu mkuu,
Wewe binafsi umeona hapo nimetaja dini?

Rakims
Hawa jamaa ni kuachana nao tu, mana kila jambo wao kazi yao kuweka mihemko ya dini tu. Sijaona sehemu ulipo ingiza dini, ila wao wanaona kila sehemu inafaa kueneza ujinga wao.
 

Kwahiyo watu wa hizo aries wana tabia gani na utobokaji wao ukoje?
 
Hahah wewe hautaki kusema yako
mbona wengine wao wanataja zao
wala hawaoni shida?
sasa Kama wewe tu hausemi yako
Duh
acha tubaki kimya hivyo hivyo wote!
Hahah tusimwage mtama/ mchele
kwenye kuku wengi kuna shida
Ndio mkuu

Rakims
 
Hawa jamaa ni kuachana nao tu, mana kila jambo wao kazi yao kuweka mihemko ya dini tu. Sijaona sehemu ulipo ingiza dini, ila wao wanaona kila sehemu inafaa kueneza ujinga wao.
Ndio, mkuu lakini sio ujinga sema ni matumizi mabaya ya akili na mazingira.

Rakims
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…