billionea alpha
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,443
- 1,656
Nitarudi kusoma vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂 😂Kwanini nyota yangu inahusishwa na samaki, lakini haihusishwe na kitimoto, au panya?
Nilitaka kuuliza hili swali uliloulizwa bahati nzuri likaulizwa mapema.Mkuu nimelieleza hili mwanzoni mwa thread ya kwamba ili uweze kujua nyota yako lazima ufahamu mambo manne na kuweza kuyalinganisha ndio unapata nyota yako sahihi sio wewe tu wengine huona hata maelezo yake ni batili na walivyo kwa sababu mtu unakuta anaangalia nyota ya mwezi wakati inakinzana na nyota iliyochomoza saa na siku anayozaliwa. narudia ili kuweza kujua nyota yako sahhi hivi details lazima uwe nazo kama hauna kuna njia za kutumia ukazipata
Rakims
Nyota haipo vizuri mkuu ikiwa vizuri utakuwa mwenye raha na hisia sana kichwaniYaani hiyo nyota ya punda umenipatia kabisa
Ugonjwa mimi huwa ni kichwa tu hata leo nimetoka hospital kujitibu kichwa lakini maumivu yake nayo sikia ni balaa.!
Hapo inachohitajika ni kujua jina la mhusika na mama yake, kisha unapiga hesabu baada ya hapo unaitafuta kwenye mwezi kisha mwaka kisha siku kisha majira kisha saa kisha unapata uwiano kamili kama saa huifahamu basi ujue ilikuwa usiku au mchanaRakims ebu dadafua vizuri jinsi ya kujua nyote yako kama tarehe ya kuzaliwa na jina zipo makundi tofauti, dafafua kuwezesha mtu kucalculate na kupata nyota hasa ni ipi.
Karibu mkuu
Rakims
pole mkuu lakini haina shida ni details zipi unazozifahamu kuhusu wewe? mwaka wa kuzaliwa? jina lako na mama yako? mwezi wa kuzaliwa ukitaja hivyo nitakurudisha kwenye nyota yako sahihiNilitaka kuuliza hili swali uliloulizwa bahati nzuri likaulizwa mapema.
Naomba kufahamu namna ya kutambua nyota yangu kwa usahihi japo sijui tarehe yangu ya kuzaliwa
Tayari nimeusoma Uzi wako lakini ningependa kujua zaidi kwa mtu aliye zaliwa tarehe 10 mwezi wa 6haya umeelewa nini mkuu?
Rakims
mkuu shida huja pale ambapo unazaliwa ilikuwa mchana au usiku na ilichomoza nyota gani hiyo ndio shida zaidiMimi nyota yangu nimeijua kupitia tarh na mwezi niliozaliwa. Lkn herufi ya jina langu ni tofauti na ulivyoandika. Hii inaweza kuleta shida gani? Mimi ni simba lkn jina langu limeanzia herufi M
hapana mkuu hamna ushetani hapo ni ukweli ndio upo hapo kwa sababu hii imeanzia siku unazaliwa hadi leo inatunza recordHivi vitu sio vya kishetani? Yaani nimeangalia yangu na ya mr wangu yaani ni kama vile wametustudy sisi kuandika waliyoandika