Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umri wako bado mdogo Sana kuwa kigagula,achana na hayo mambo ebu komaa Kwenye mambo ya msingi.Mfano mm naitwa "Alex"
Mama yangu anaitwa "Grace"
Tarehe ya kuzaliwa 3/1/2000
Fanya mahesabu hayo bc alaf niambie nyota yangu
Mkuu hapa hakuna mifano ni maelezo yaliyo thabiti, sio mifano kama ni mfano watakufanyia walioelewa hapoMfano mm naitwa "Alex"
Mama yangu anaitwa "Grace"
Tarehe ya kuzaliwa 3/1/2000
Fanya mahesabu hayo bc alaf niambie nyota yangu
Maana hizo Sifa wanazo Wangoni wengi.Kwa nini mkuu
Hapana mkuu sema ni kutokuolodhesha zote tu lakini kila jina linasimama kwenye nyota au nyota iliyochomoza,Hizi nyota nafikiri zinalenga sana majina yenye imani ya kiislam,kwa sababu nimeangalia tarehe na mwezi niliyozaliwa pamoja na jina sijaona katika mtililiko mzima wa nyota hzi,
Hii sijui imekaaje wanazengo?
Sawa basi kama ndio hivyo alitakiwa kujaza kila kitu kama unamwelesha mtu anakuwa anakuelewaHapana mkuu sema ni kutokuolodhesha zote tu lakini kila jina linasimama kwenye nyota au nyota iliyochomoza,
Wacha kusema elimu ya nyota ipo kidini hapana ni kama elimu za maarifa mengine tu
Rakims
Hapa longitude na latitude ziligoma? Mana hukunipa tena!Dar es salaam
Mkuu huyu ni mtoto mchanga sio ana siku 28 leo?Nilikuuluza mtu alozaliwa April 30 saa 12 asubuhi mwaka huu Dar es salaam nyota yake ilochomoza ni IPI? Ukanambia ngoja ucheki longitude na latitude
ShukranMkuu huyu ni mtoto mchanga sio ana siku 28 leo?
Nyota yake iliyochomoza ni Ng'ombe
Nyota yake ya terehe ni ng'ombe
Nyota yake ya siri au usiri wake ni Samaki
Rakims
Real kabsa aisee.... Thanks mkuuUtamaduni wa kaa huwa ni wa kupuuzwa na shauku kubwa ya ng'e na kaa huwa muaminifu zaidi, wivu wa ng'e ni wa hasira, ustahamilivu wa kaa humfanya ng'e kujihisi yupo kwenye mikono salama. Kaa hupenda nguvu alizonazo Ng'e na Ng'e hujihisi yupo kileleni kwa mapenzi ya kaa muda wote, zote ni nyota zenye hisia zinazohitajika kwa mwingine pamoja hawa wanaweza kujenga maisha mazuri katika mapenzi yao. Mahusiano haya ni mazuri na humo ndani utakuta ni upendo,furaha na amani na kila jambo linalotokea huwazidishia mapenzi
Rakims
Mkuu mimi ni me na nyota yangu ni ng'ombe lakini mtu wangu yeye ni simba hapa inakuaje na umesema simba hapatani na ng'ombe na huwa tunagombana sana nifanyeje sasa?Mkuu huyu ni mtoto mchanga sio ana siku 28 leo?
Nyota yake iliyochomoza ni Ng'ombe
Nyota yake ya terehe ni ng'ombe
Nyota yake ya siri au usiri wake ni Samaki
Rakims