Ijue Rwanda, Kagame, Museveni na Uvamizi wao katika Ardhi ya Congo

Ijue Rwanda, Kagame, Museveni na Uvamizi wao katika Ardhi ya Congo

Hakuna ukweli mr,na wewe naona unataka kama story kamaunavyo itaka,haya mambo ya tutsi empire ni story za wahutu tu wanaotaka kuhalalisha mauaji ya watutsi,ninacho kubali nikwamba kabla ya ujio wa koloni watusi walikua watawala wa eneo kubwa la east afrika na congo mashariki,sasa hayayote niuoga wa watu wakifikiri watusi wanataka kurudisha himaya zao,kuhusu mauaji ya watusi ni ukweli mtupu,tatizo wahutu hawataki kusikia hiyo habari kwani inawafanya wenye hatia.

Dah!

Kweli mmeamua kudanganya Mchana Kweupe, Yani Watusi watawale Afrika Mshariki ?
Wacheni kujiongopea, Hawa Rwanda yenyewe ni kwa Kubebwa na Kanisa, watu wenyewe Wakuja hawa leo ndio watawale afrika mashariki?

Idadi yao Rwanda pekee ambapo ndipo wapo wengi ni 10 to 15 Percent ya population. Leo watawale Africa mashariki ?
 
Hakuna ukweli mr,na wewe naona unataka kama story kamaunavyo itaka,haya mambo ya tutsi empire ni story za wahutu tu wanaotaka kuhalalisha mauaji ya watutsi,ninacho kubali nikwamba kabla ya ujio wa koloni watusi walikua watawala wa eneo kubwa la east afrika na congo mashariki,sasa hayayote niuoga wa watu wakifikiri watusi wanataka kurudisha himaya zao,kuhusu mauaji ya watusi ni ukweli mtupu,tatizo wahutu hawataki kusikia hiyo habari kwani inawafanya wenye hatia.

Juu ya himaya za Watusi(wakulima) na Wahutu (wafuja), tunaweza kurejea nyuma sana na tukaanzia karne 16 baada ya kuzaliwa kristu na tukarudi nyuma zaidi hadi karne ya 8, hapa tunaweza kuona kuingia kwa himaya hizo kutoka Ethiopia katika uzao wa Kiyunani > Israel
 
Juu ya himaya za Watusi(wakulima) na Wahutu (wafuja), tunaweza kurejea nyuma sana na tukaanzia karne 16 baada ya kuzaliwa kristu na tukarudi nyuma zaidi hadi karne ya 8, hapa tunaweza kuona kuingia kwa himaya hizo kutoka Ethiopia katika uzao wa Kiyunani > Israel

Ndio maana nasema hawa ni wakuja kutoka Kaskazini na Wahutu ni wa kuja kutoka West maeneo ya NIGER.

Nakushangaa kwanini Hujawazungumzia Wenyeji waq Rwanda kabila la TWA.
 
Yericko Nyerere

Sasa nimeamini kuwa UKOO wa NYERERE ni WATUSI.

Umepotosha sana historia Ndugu yangu sijuhi kwanini.Ila Historia haiwezi kukamilika bila kuzungumzia yafuatayo:-

1. Uhusiano wa Kanisa Katoliki katika kuchochea chuki za Watusi na wahutu.

2. Mauji ya Wahutu zaidi ya 200,000. Miaaka ya 60. Maana wewe makala yako yote unaonyesha ni watusi tu ndio waliouwawa lakini wahutu hapana, Hii ni chuki ya moja kwa moja kwa wahutu.

3. Utunguaji wa ndege uwezi kuuzungumzia bila kutuambia kuwa na Raisi wa Burundi aliuwawa pia.

4. Huwezi kuzungumzia the Rise of Museven na Kagame bila kuzungumzia Vita vya Kagera zidi ya Idd amini, Pia kutukumbusha kuwa hawa Museven na Kagame Nyerere aliwafundisha mwenyewe Monduli na kuwatumia vita vya Kagera. Kumbuka Vita vya kagera vilitokana nqa Nyerere kufuga vikundi vya waasi wa Kitusi huko Kagera na Amin kuamua kuja vichakaza, Kifupi sisi ndio tuliwachokoza na tulitumika kama Proxy tu, ila nia ilikuwa ni Kagame na Museven watawale Uganda na Rwanda.

Hehee Mkuu,

Kwanza nikueleze sio kweli kama unavyodai juu ya Ukoo wa Nyerere,

Pili naamini wazi chimbuko la vita vya Kagera mkuu hulijui na unahitaji kufunzwa ipasavyo bila papara,

Nikirudi kwenye mada, nakubaliana na wewe kuwa historia ya nchi na jamii kubwa kama Watutsi na Wahutu haiwezi kukaa kwenye bandiko moja tu la jf,

Nimeweka kifungua kinywa tu kuangazia Rwanda na Kagame, lakini lengo kuu ni kuelekea Kongo hasaaa!
 
Last edited by a moderator:
mkuu kibanga ampiga mkoloni, sielewi ulikuwa na umli gani wakati wa vita ya kagera na pia sijui kama unafahamu madai ya awali ya Idd Amin kuwa kagera ni sehemu yake simply because kiganda na kihaya vinashabihina. A simiral case kwa madai ya Banda wa muyaya kuwa mbeya yake, kisa wanyakyusa wako pia kipande ile, tatizo mnaongopewa na mnaamini!
 
Kibanga Ampiga Mkoloni;=Yericko NyerereSasa nimeamini kuwa UKOO wa NYERERE ni WATUSI.Umepotosha sana historia Ndugu yangu sijuhi kwanini.Ila Historia haiwezi kukamilika bila kuzungumzia yafuatayo:-1. Uhusiano wa Kanisa Katoliki katika kuchochea chuki za Watusi na wahutu.2. Mauji ya Wahutu zaidi ya 200,000. Miaaka ya 60. Maana wewe makala yako yote unaonyesha ni watusi tu ndio waliouwawa lakini wahutu hapana, Hii ni chuki ya moja kwa moja kwa wahutu.3. Utunguaji wa ndege uwezi kuuzungumzia bila kutuambia kuwa na Raisi wa Burundi aliuwawa pia.4. Huwezi kuzungumzia the Rise of Museven na Kagame bila kuzungumzia Vita vya Kagera zidi ya Idd amini, Pia kutukumbusha kuwa hawa Museven na Kagame Nyerere aliwafundisha mwenyewe Monduli na kuwatumia vita vya Kagera. Kumbuka Vita vya kagera vilitokana nqa Nyerere kufuga vikundi vya waasi wa Kitusi huko Kagera na Amin kuamua kuja vichakaza, Kifupi sisi ndio tuliwachokoza na tulitumika kama Proxy tu, ila nia ilikuwa ni Kagame na Museven watawale Uganda na Rwanda.Mkuu funguka zaidi basi,..kwahiyo unamaanisha Nyerere alitutumia Watanzania as his Pawns na vita ya vya Kagera ndiyo ilikuwa scape goat ya kuanzisha the HIMA EMPIRE?Na hapo kwenye KANISA LA KATOLIKI naomba utujuze vizuri kuhusu mahusiano yao na NYERERE maana inaonesha kuna vitu vingi vya siri Watanzania tumefichwa saaaaana,please bro tuelimishe.
 
Ndio maana nasema hawa ni wakuja kutoka Kaskazini na Wahutu ni wa kuja kutoka West maeneo ya NIGER.

Nakushangaa kwanini Hujawazungumzia Wenyeji waq Rwanda kabila la TWA.

Kabila hili ambalo limemezwa na makabila haya ya wahamiaji nimelizungumza hapo japo kwa ufupi, nimeta wazi kuwa ni kabila la WAWINDAJI,

Sehemu ya mgogoro mkuu unaounda historia ya Rwanda ni Wahutu na Watutsi ndiomaana nimewaeleza sana!
 
Yericko Nyerere

Sasa nimeamini kuwa UKOO wa NYERERE ni WATUSI.


Kumbuka Vita vya kagera vilitokana nqa Nyerere kufuga vikundi vya waasi wa Kitusi huko Kagera na Amin kuamua kuja vichakaza, Kifupi sisi ndio tuliwachokoza na tulitumika kama Proxy tu, ila nia ilikuwa ni Kagame na Museven watawale Uganda na Rwanda.

Mkuu Kibanga, kwenye red unaonyesha chuki binafsi na familia ya Nyerere. Kwa nini unataka kupotosha maksudi sababu ya vita vya Uganda (1978 - 79)? Kama sababu ya Idd Amin kuivamia Tz ilikuwa ni vikundi vya waasi wa kitutsi mbona hakuanza na watutsi waliokuwa Uganda ambao nao walimuunga mkono Mseveni kwa namna tofauti..?
 
Yericko Nyerere;Juu ya himaya za Watusi(wakulima) na Wahutu (wafuja), tunaweza kurejea nyuma sana na tukaanzia karne 16 baada ya kuzaliwa kristu na tukarudi nyuma zaidi hadi karne ya 8, hapa tunaweza kuona kuingia kwa himaya hizo kutoka Ethiopia katika uzao wa Kiyunani > Israel.Sasa mkuu Yericko naona sasa wewe una fascist elements ambazo zilimsumbua saana kichwa Hitler na Wanazi,hivi unadhani kwamba watutsi ni Jewish blood on the other hand the black Jews or Falashas?be reasonable bwana,basi hata hivyo tuseme Maasai are Jewish kwasababu nao walitoka Ethiopia,no wonder unatetea ujinga ambao unaendelea Rwanda na Congo
 
1. Naomba umhusishe nyerere na kusimikwa kwa laurent kabila na ukane au ukubali kuwa joseph kabila ni puppet wa kagame!
2.unafikiri waraka wa mtikila kwa jk ulikuwa umepotosha juu ya mauaji ya rwanda?
3.inabidi utuambie nani aliyemuua pr. Mwakyusa wakiri mtetezi wa wahutu ICTR kama kweli uko upande wa watusi zaidi.ila mm ninachosimuliwa na mama yangu mtusi ni kuwa wao walihamia tu rwanda walitokea ethiopia na watusi wenyewe wamegawnyika katika makundi mawili yaani wafugaji na wakulima! Come again yericko
 
Yericko Nyerere;Juu ya himaya za Watusi(wakulima) na Wahutu (wafuja), tunaweza kurejea nyuma sana na tukaanzia karne 16 baada ya kuzaliwa kristu na tukarudi nyuma zaidi hadi karne ya 8, hapa tunaweza kuona kuingia kwa himaya hizo kutoka Ethiopia katika uzao wa Kiyunani > Israel.Sasa mkuu Yericko naona sasa wewe una fascist elements ambazo zilimsumbua saana kichwa Hitler na Wanazi,hivi unadhani kwamba watutsi ni Jewish blood on the other hand the black Jews or Falashas?be reasonable bwana,basi hata hivyo tuseme Maasai are Jewish kwasababu nao walitoka Ethiopia,no wonder unatetea ujinga ambao unaendelea Rwanda na Congo

Tatizo mkuu tayari wewe una dhana yako uliyoipa jibu la ndio,

Inaaminika kuwa baadhi ya masai ni asili hiyo hiyo,

Vile mkuu nikukumbushe tu kuwa Watutsi, Wahutu na waTwa wanapatikana Burudi, Uganda, Tanzania, na Kongo, hivyo historia inaweza kueleza hivyo,

Kama unayo mapya juu ya haya ni vema ukayaweka hapa ili watu wote tufaidi mkuu wangu!
 
ngunhila ng'ombe;. Naomba umhusishe nyerere na kusimikwa kwa laurent kabila na ukane au ukubali kuwa joseph kabila ni puppet wa kagame!
2.unafikiri waraka wa mtikila kwa jk ulikuwa umepotosha juu ya mauaji ya rwanda?
3.inabidi utuambie nani aliyemuua pr. Mwakyusa wakiri mtetezi wa wahutu ICTR kama kweli uko upande wa watusi zaidi.ila mm ninachosimuliwa na mama yangu mtusi ni kuwa wao walihamia tu rwanda walitokea ethiopia na watusi wenyewe wamegawnyika katika makundi mawili yaani wafugaji na wakulima! Come again yericko.
He is too bookish
 
Kweli Yericko Nyerere ungeweka Source ingependeza zaidi !!

Unataka chakula au unataka jiko?

Hivi mpaka leo watu wanauliza chanzo cha wakipewa historia za nchi?

Inamaana kweli hujui vyanzo vya habari za aina hii duniani?

Haya nakuacha hapo mkuu, endelea kusubiri chanzo huku unacho na kipo hapa hapa!
 
Dah!

Kweli mmeamua kudanganya Mchana Kweupe, Yani Watusi watawale Afrika Mshariki ?
Wacheni kujiongopea, Hawa Rwanda yenyewe ni kwa Kubebwa na Kanisa, watu wenyewe Wakuja hawa leo ndio watawale afrika mashariki?

Idadi yao Rwanda pekee ambapo ndipo wapo wengi ni 10 to 15 Percent ya population. Leo watawale Africa mashariki ?
Huwezi kujadili hoja bila kuleta udini???
 
Yericko Nyerere;Tatizo mkuu tayari wewe una dhana yako uliyoipa jibu la ndio,

Inaaminika kuwa baadhi ya masai ni asili hiyo hiyo,

Vile mkuu nikukumbushe tu kuwa Watutsi, Wahutu na waTwa wanapatikana Burudi, Uganda, Tanzania, na Kongo, hivyo historia inaweza kueleza hivyo,

Kama unayo mapya juu ya haya ni vema ukayaweka hapa ili watu wote tufaidi mkuu wangu!

Kaka yangu Yericko my intention siyo containment of your point of views ila kuna vitu lazima tuwekane sawa,Watutsi kinachowasumbua ni kile ambacho waafrika wengi kinatusumbua WE ARE THE ORPHANS OF THOUGHTS,chanzo cha ugomvi ule siyo RACIAL SUPREMACY ila ni COLONIAL LEGACY,.nakupa mfano mzuri kwa wale waliowahi kusoma physics utakuta an object can never be moved from a surface unless there is external force.John F Kennedy wa Marekani alishawahi kusema ili kuwepo na amani ya kudumu Mashariki ya kati ni lazima coldwar tension iwe neutralized pale kwa maaana hiyo basi both USA and USSR wasitoe msaada wowote wa kijeshi kwa Israel na PLO respectively na baada ya hapo hapo kweli conlficts zilipungua mpaka pale alivyouawa Kennedy raisi Johnson akaanza kupeleke missada tena israel akaaharibu balance of power within the conflict zone,haya kwenye chapisho lako kumbuka ulisema both Tutsis{wafugaji}and Hutus{wakulima}lived in peace until the coming of colonialists,sasa mkuu hivi huoni ukweli ni kwamba momentum yote hii ya kina Kagame na RPF,M23 na waasi wengine ni ECHOES OF COLONIAL LEGACY HAUNTING THE LAKE ZONE COUNTRIES?sitaki kutoka nje ya mada ila brother wangu i do not believe kwamba watusi wala wahutu ni watu wabaya ila tu kwasababu kuna mataifa ambayo yako busy kuchuma rasilimali za huko Congo they delude us into believing in there is racial problem in Rwanda ili tuwachukie waafrika wenzetu bila kuijua chanzo kabisa cha ugomvi,even today hata kama Kagame atapinduliwa Rwanda we still be haunted by the ghost of her own past provided that she is a strategic area for some countries to protect their interests within the Congo...thats why Nyerere saved us from colonialism but he couldn't take colonialism out of us,..watutsi na wahutu wote wanatumika kama unabisha leo wazungu waache kutoa misaada ya kijeshi kote africa au tu by any means Congo liwe taifa kubwa the white men will gradually forget about that RWANDA even existed na kutakuwa na amani kuu tena RWANDA
 
Hakuna ukweli mr,na wewe naona unataka kama story kamaunavyo itaka,haya mambo ya tutsi empire ni story za wahutu tu wanaotaka kuhalalisha mauaji ya watutsi,ninacho kubali nikwamba kabla ya ujio wa koloni watusi walikua watawala wa eneo kubwa la east afrika na congo mashariki,sasa hayayote niuoga wa watu wakifikiri watusi wanataka kurudisha himaya zao,kuhusu mauaji ya watusi ni ukweli mtupu,tatizo wahutu hawataki kusikia hiyo habari kwani inawafanya wenye hatia.
uongo hujitenga ukweli IKO SIKU UTAJILIKANA mtoa Mada ameeleza vizuri nia ya watutsi ni kupanua Himaya yao
Hawa watu tatizo lao hawataki kushirikiana na wenzao na ni janga kwa maziwa makuu. Mwl Nyerere alijaribu sana kuwatetea na kuficha alichokijua na mpaka Habyarimana anatunguliwa hatukusikia Watutsi wakilaaniwa.
Lakini kwa hili imefika sasa Walaaniwe na waondolewe kila kona kwani nia yao sio nzuri
soma hapa
Lakini leo yale mabaki ya vikundi vile vya Interahamwe vilivyokimbilia uhamishoni kaskazini mwa Kongo mji wa Goma na Kivu si vikundi vya uasi dhidi ya Rwanda tena bali ni vitendea kazi muhimu dhidi ya upanuzi wa miliki mpya ya Watusi,
Mpango huo ulikuwa ni kusimika dola imara la Watutsi barani Afrika hasa nchini Kongo katika Goma-Kivu ya Kasiskani mpango siri walioupa jina la "Nchi mpya ya ahadi ya Watutsi". Ni mpango endelevu ulio na lengo la kuwakusanya Watutsi duniani kote na kuwaweka pamoja wakimiliki ardhi na rasilimali zake!
Hili linathibitika katika kile walicho "Mkataba wa kuigawa Kongo" ulisainiwa na Yoweri Mseveni, Paul Kagame na Laurent Kabila akiomba msaada wa kuingia madarakani kwa mtutu wa bunduki,
Naam baada ya Laurent Kabila kuingia madarakani kwamsaada wa Kagame na Mseveni kupitia ule mkataba, Kabila alikataa kuheshimu mkataba ule nakusema yale yalikuwa ni maneno ya porini tu hivyo hawezi kuiuza nchi kwa karatasi za mstuni!
Hapo sasa ndipo tunapoingia kwenye madhila ya Kongo tuliyoyaona tangu mauaji ya L. Kabila na
tunayoyashuhudia hii leo chini ya J. Kabila, M23, Kagame na Mseveni
Mnaweza kudhani watu wote wanaounga mkono Wanyarwanda waondoke (hasa Watutsi) mkadhani ni Wahutu lakini ukweli haujifichi hawa jamaa ni vigumu kuishi nao kwa karne hizi, bado wanatamani kutawala binadamu wenzao
 
Mauji ya watusi yaliasisiwa na wabeligiji katika ujio wao, waliegemea sana kuwasomesha watusi kwani waliwapenda kwa sura zao pamoja na pua zao na kuwaona kama wenzao yaani wazungu, na hapo ndipo waliwasomesha na watusi kuanza kuwasimamia wenzao wahutu waliowatangulia kuingia rwanda, hii wahutu iliwapa hasira sana kutumikishwa na watu waliokuja tu na kufikia kuwaita wavurugaji wa amani na maisha yao, ndipo hapo jina la cockroach lilitokea kuitwa kwao watusi! Historia ni ndefu sana sema tu niko mvivu kuchapa au kama mnahitaji zaidi nitatengeneza audio ya mama yangu mtusi anavyosimulia vizuri bila kupotosha chembe maana anaijua sana historia kuacha upotoshaji huu wa yeriko nyerere! Naomba mod uufunge huu uzi maana unapotosha sana!
 
Dah!

Kweli mmeamua kudanganya Mchana Kweupe, Yani Watusi watawale Afrika Mshariki ?
Wacheni kujiongopea, Hawa Rwanda yenyewe ni kwa Kubebwa na Kanisa, watu wenyewe Wakuja hawa leo ndio watawale afrika mashariki?

Idadi yao Rwanda pekee ambapo ndipo wapo wengi ni 10 to 15 Percent ya population. Leo watawale Africa mashariki ?

Huo ndio ukweli,rudi kwa history uangalie tawala za kihima east afrika hata humu tanzania walikuwepo,fanya research,udogo wa watu hauhalalishi kutokua mtawala,hii ndio inaonyesha jinsi watutsi walivyo kua wakipendwa na watu,najua wengi jamvini ni wasomi please fanya research on tutsi kingdom in eastafrika mutaona ukweli wake.
 
Back
Top Bottom