MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
ngunhila ng'ombe,Mauji ya watusi yaliasisiwa na wabeligiji katika ujio wao, waliegemea sana kuwasomesha watusi kwani waliwapenda kwa sura zao pamoja na pua zao na kuwaona kama wenzao yaani wazungu, na hapo ndipo waliwasomesha na watusi kuanza kuwasimamia wenzao wahutu waliowatangulia kuingia rwanda, hii wahutu iliwapa hasira sana kutumikishwa na watu waliokuja tu na kufikia kuwaita wavurugaji wa amani na maisha yao, ndipo hapo jina la cockroach lilitokea kuitwa kwao watusi! Historia ni ndefu sana sema tu niko mvivu kuchapa au kama mnahitaji zaidi nitatengeneza audio ya mama yangu mtusi anavyosimulia vizuri bila kupotosha chembe maana anaijua sana historia kuacha upotoshaji huu wa yeriko nyerere! Naomba mod uufunge huu uzi maana unapotosha sana!
mkuu umenenaaaa watu wanapandikiza chuki kumbe mambo yote yaliratibiwa BRUSSELS.
mkuu umenenaaaa watu wanapandikiza chuki kumbe mambo yote yaliratibiwa BRUSSELS.