Ijue Rwanda, Kagame, Museveni na Uvamizi wao katika Ardhi ya Congo

Ijue Rwanda, Kagame, Museveni na Uvamizi wao katika Ardhi ya Congo

ngunhila ng'ombe,Mauji ya watusi yaliasisiwa na wabeligiji katika ujio wao, waliegemea sana kuwasomesha watusi kwani waliwapenda kwa sura zao pamoja na pua zao na kuwaona kama wenzao yaani wazungu, na hapo ndipo waliwasomesha na watusi kuanza kuwasimamia wenzao wahutu waliowatangulia kuingia rwanda, hii wahutu iliwapa hasira sana kutumikishwa na watu waliokuja tu na kufikia kuwaita wavurugaji wa amani na maisha yao, ndipo hapo jina la cockroach lilitokea kuitwa kwao watusi! Historia ni ndefu sana sema tu niko mvivu kuchapa au kama mnahitaji zaidi nitatengeneza audio ya mama yangu mtusi anavyosimulia vizuri bila kupotosha chembe maana anaijua sana historia kuacha upotoshaji huu wa yeriko nyerere! Naomba mod uufunge huu uzi maana unapotosha sana!
mkuu umenenaaaa watu wanapandikiza chuki kumbe mambo yote yaliratibiwa BRUSSELS.
 
uzuri wako huwa unarudi kujibu hoja. tuletee na ya drc,uganda na burundi tuweze kujua tatizo la mgogoro wa nchi za maziwa makuu.hongera sana kaka
 
duh, kumbe kagame naye alishapitia monduli enzi hizo!
 
Mauji ya watusi yaliasisiwa na wabeligiji katika ujio wao, waliegemea sana kuwasomesha watusi kwani waliwapenda kwa sura zao pamoja na pua zao na kuwaona kama wenzao yaani wazungu, na hapo ndipo waliwasomesha na watusi kuanza kuwasimamia wenzao wahutu waliowatangulia kuingia rwanda, hii wahutu iliwapa hasira sana kutumikishwa na watu waliokuja tu na kufikia kuwaita wavurugaji wa amani na maisha yao, ndipo hapo jina la cockroach lilitokea kuitwa kwao watusi! Historia ni ndefu sana sema tu niko mvivu kuchapa au kama mnahitaji zaidi nitatengeneza audio ya mama yangu mtusi anavyosimulia vizuri bila kupotosha chembe maana anaijua sana historia kuacha upotoshaji huu wa yeriko nyerere! Naomba mod uufunge huu uzi maana unapotosha sana!

Nimefurahi sana kuona unachopinga katika maandiko yangu hapa ndicho unachokisimulia hapa tena,

Katika uzi huu nimesema kuwa Utawala mpya wa Kibeligiji ndio uliobadili sura na kupanda chuki miongoni mwa jamii hizo tatu nchini Rwanda kwa kuwapendelea Watutsi

Sasa sioni unacholalama mkuu, au huwa husomi makala yote?

Tuliza murkari kisha tuliza moyo na ukae usome kisha tafakuri
 
duh, kumbe kagame naye alishapitia monduli enzi hizo!

Ndio alipita Tanzania akiwa muambata wa Yoweri Kaguta Mseveni, na alishiriki vema vita ya Kagera akiwa kama waganda wengine walivyoshiriki
 
Tatizo sio kuelezea, mimi nilikuwa nauliza mbona hujaweka reference au hata source ya hiyo habari yako

hapo kwenye Nyekundu wewe una uhakika gani huo ndio uhalisia? Historia haiandikwi kama Propaganda ya kuetetea watu au kukandamiza watu, Historia huwa inajieleza yenyewe tu na huwa inajisimamia

kamezaliwa kanaijua historia ya watutsi ngojea kesho atakuja na ya wazanaki.
Acknowledgement ni muhimu sana kwa mwanazuoni yeyote aache umuch know.
 
uzuri wako huwa unarudi kujibu hoja. tuletee na ya drc,uganda na burundi tuweze kujua tatizo la mgogoro wa nchi za maziwa makuu.hongera sana kaka

Ninakushukuru sana na nimepokea ombi lako mkuu wangu!
 
Yericko Nyerere

Sasa nimeamini kuwa UKOO wa NYERERE ni WATUSI.

Umepotosha sana historia Ndugu yangu sijuhi kwanini.Ila Historia haiwezi kukamilika bila kuzungumzia yafuatayo:-

1. Uhusiano wa Kanisa Katoliki katika kuchochea chuki za Watusi na wahutu.

2. Mauji ya Wahutu zaidi ya 200,000. Miaaka ya 60. Maana wewe makala yako yote unaonyesha ni watusi tu ndio waliouwawa lakini wahutu hapana, Hii ni chuki ya moja kwa moja kwa wahutu.

3. Utunguaji wa ndege uwezi kuuzungumzia bila kutuambia kuwa na Raisi wa Burundi aliuwawa pia.

4. Huwezi kuzungumzia the Rise of Museven na Kagame bila kuzungumzia Vita vya Kagera zidi ya Idd amini, Pia kutukumbusha kuwa hawa Museven na Kagame Nyerere aliwafundisha mwenyewe Monduli na kuwatumia vita vya Kagera. Kumbuka Vita vya kagera vilitokana nqa Nyerere kufuga vikundi vya waasi wa Kitusi huko Kagera na Amin kuamua kuja vichakaza, Kifupi sisi ndio tuliwachokoza na tulitumika kama Proxy tu, ila nia ilikuwa ni Kagame na Museven watawale Uganda na Rwanda.

Napenda ifahamike kuwa huyu anaejiita Yericko Nyerere hana ukoo kabisa na kina Nyerere orijino, alijipachika tu hilo jina. Ushahidi huu hapa chini, wa mtoto wa kwanza wa Marehemu Mzee Julius Nyerere:

@Andrew Nyerere
Nilikuwa naongea na Joseph Butiku sasa hivi,na Mama Maria. Nimewauliza kuhusu huyu Yericko Nyerere. Hawamfahamu...
 
Oooohoo SHABIKI wangu wa ukweli Zomba upo?

Niliwasahau, lakini msiseme nimewatenga FANSI vichaa/matahira wangu maalumbu wote,

Wape hai wenzio akini Hamy D, MwanaDiwani, Ritz, Said Mohamed, Boko Haram, Speek Lee aka mfyonza sumu, Sadeeq, na GombeSugu ambae kwenu angalau ameanza kunielewa na kuniheshimu,

Waambie nawapenda sana, na huwa siwakosi kila uzi ninaouweka, tatizi vibwagizo ni vile vile hamna ubunifu,

Lakini nawapenda sana, Jah awape nguvu!
 
Hakuna ukweli mr,na wewe naona unataka kama story kamaunavyo itaka,haya mambo ya tutsi empire ni story za wahutu tu wanaotaka kuhalalisha mauaji ya watutsi,ninacho kubali nikwamba kabla ya ujio wa koloni watusi walikua watawala wa eneo kubwa la east afrika na congo mashariki,sasa hayayote niuoga wa watu wakifikiri watusi wanataka kurudisha himaya zao,kuhusu mauaji ya watusi ni ukweli mtupu,tatizo wahutu hawataki kusikia hiyo habari kwani inawafanya wenye hatia.

Ukifuatilia michango yako yote, wewe ni mtetezi wa watutsi kwa maana hiyo wewe ni mtutsi hivyo huwezi kusema lolote kinyume na hawa watutsi. Ni kweli tunafahamu kuna mpango kabambe na wa siri wa kujenga Tutsi Empire katika eneo la maziwa makuu. M7 NA PK walianza na nchi dhaifu ya DRC lakini ni kwamba wakishajisimika pale kuna uwezekano wakuja kudai maeneo ya mpakani yenye watutsi wengi hususan ngara, manyovu ya kigoma, biharamulo, karagwe, kibonda kuwa ni yao. Mbinu za kuyadai zilianza muda mrefu kwa kupenyeza wahamiaji haramu na mifugo yao ili baadae wakilianzisha wapate uungwaji mkono kutoka kwa watutsi wetu wa ndani. Si hilo, by nature watutsi ni wafugaji lakini watutsi wanaoishi hapa TZ wanapewa mitaji na watutsi kutoka nchi jirani wafanye biashara kwa lengo la kuwa na uchumi mkubwa na waweze kuchangia kwenye strategic plan yao ya kujenga 'Tutsi Empire. Nenda Sokoni Kigoma utakuta watutsi ndio wenye maduka makubwa, nenda Tandika Sokoni wao wanawfuatia wapemba lakini ni wapi wamepata mtaji utashangaa, Hali kama hii ipo pia Mkoani Mwanza. Watutsi ni Janga katika nchi za maziwa Makuu
 
Ukifuatilia michango yako yote, wewe ni mtetezi wa watutsi kwa maana hiyo wewe ni mtutsi hivyo huwezi kusema lolote kinyume na hawa watutsi. Ni kweli tunafahamu kuna mpango kabambe na wa siri wa kujenga Tutsi Empire katika eneo la maziwa makuu. M7 NA PK walianza na nchi dhaifu ya DRC lakini ni kwamba wakishajisimika pale kuna uwezekano wakuja kudai maeneo ya mpakani yenye watutsi wengi hususan ngara, manyovu ya kigoma, biharamulo, karagwe, kibonda kuwa ni yao. Mbinu za kuyadai zilianza muda mrefu kwa kupenyeza wahamiaji haramu na mifugo yao ili baadae wakilianzisha wapate uungwaji mkono kutoka kwa watutsi wetu wa ndani. Si hilo, by nature watutsi ni wafugaji lakini watutsi wanaoishi hapa TZ wanapewa mitaji na watutsi kutoka nchi jirani wafanye biashara kwa lengo la kuwa na uchumi mkubwa na waweze kuchangia kwenye strategic plan yao ya kujenga 'Tutsi Empire. Nenda Sokoni Kigoma utakuta watutsi ndio wenye maduka makubwa, nenda Tandika Sokoni wao wanawfuatia wapemba lakini ni wapi wamepata mtaji utashangaa, Hali kama hii ipo pia Mkoani Mwanza. Watutsi ni Janga katika nchi za maziwa Makuu

Jambo lakufurahisha nikuwa dunia sasa imefumbuka macho na tumeamua kuwatuliza hawa ndugu zetu!
 
.Mkuu funguka zaidi basi,..kwahiyo unamaanisha Nyerere alitutumia Watanzania as his Pawns na vita ya vya Kagera ndiyo ilikuwa scape goat ya kuanzisha the HIMA EMPIRE?Na hapo kwenye KANISA LA KATOLIKI naomba utujuze vizuri kuhusu mahusiano yao na NYERERE maana inaonesha kuna vitu vingi vya siri Watanzania tumefichwa saaaaana,please bro tuelimishe.
asigwa

Huo ndio ukweli, Nadhani ndio maana JK huwa amkubali Nyerere hata sikumoja kwa sababu ya huu ukibaraka wake kwa KaANISA(RC) na WATUSI.
Huoni JUHUDI za WAGANDA kumtangaza Mwenye heri eti NYERERE naye MTAKATIFU.
 
Last edited by a moderator:
[h=2]History[edit source | editbeta][/h][h=3]Colonial period[edit source | editbeta][/h]Although the ethnic divisions and tensions between Hutu and Tutsi predate the colonial era, the Organization of African Unity (OAU) report on the genocide states,
In the colonial era, under German and then Belgian rule, Roman Catholic missionaries, inspired by the overtly racist theories of 19th century Europe, concocted a destructive ideology of ethnic cleavage and racial ranking that attributed superior qualities to the country's Tutsi minority, since the missionaries ran the colonial-era schools, these pernicious values were systematically transmitted to several generations of Rwandans…[SUP][2][/SUP]
When the Roman Catholic missionaries came to Rwanda in the late 1880s, they contributed to the "Hamitic" theory of race origins, which taught that the Tutsi were a superior race. The Church has been considered to have played a significant role in fomenting racial divisions between Hutu and Tutsi, in part because they found more willing converts among the majority Hutu.[SUP][3]

Source: [/SUP]Religion in Rwanda - Wikipedia, the free encyclopedia
 
asigwa

Huo ndio ukweli, Nadhani ndio maana JK huwa amkubali Nyerere hata sikumoja kwa sababu ya huu ukibaraka wake kwa KaANISA(RC) na WATUSI.
Huoni JUHUDI za WAGANDA kumtangaza Mwenye heri eti NYERERE naye MTAKATIFU.

Mkuu kuna weza kua na ukweli kwani inasemekana kikwete ni muhutu wa burundi,wazazi wake walikuja wakati wa kilimo cha mkonge tanga,sasa tusije kua tuko katika mgogoro wa wahutu na watutsi bila kujifahamu.
 
Last edited by a moderator:
Jambo lakufurahisha nikuwa dunia sasa imefumbuka macho na tumeamua kuwatuliza hawa ndugu zetu!

Kumbe wanamaduka makubwa? Mnawaoneagere? sasa wakati umefika wakula mali zao,kumbuka jasho la mtu haliliwi,nanyie chapeni kazi mtajirika kama wao.
 
Back
Top Bottom