Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Sioni shida ya upara hasa kwa mwanaume, ila kwa mwanamke kua na upara lazma imsumbue.
Mwanaume unaanzaje kutafta madawa kutibu upara aisee, unapoteza ela zako tu.
Mwanaume unaanzaje kutafta madawa kutibu upara aisee, unapoteza ela zako tu.