Ijue sayansi ya upara na uwezekano mkubwa wa kuutibu kwake

Ijue sayansi ya upara na uwezekano mkubwa wa kuutibu kwake

3BC3B47D-5D60-4AAD-A585-30BE6719A63D.png
 
Haina haja ya kutumia dawa, mwili wenyewe unapeleka virutubisho ukianza kuponyesha hizo micro tears, damu nyingi inapelekwa hapo na hivyo kuweza kurutubisha nywele.

Androgenetic alopecia (upara) unatokana na mwili kuzuia damu (ambayo ina virutubisho vyote) kwenda kwenye nywele. Baadae nywele zinanyauka na kupotea (ila shina la nywele linakuwepo). Microneeddling inachofanya ni kulazimisha mwili kupeleka virutubisho kwenye shina la nywele kama ilivyokuwa zamani, na hivyo kuzihuisha.

Kingine kinachofanyika kwenye ngozi ikianza kupona ni kutengeneza collagen, hizi ni protini zinazojenga mwili. Mfano ngozi ili inawiri, inatakiwa kuwe na collagen. Watoto huwa wanatengeneza collagens nyingi sana, ndiyo maana ngozi zo ni laini. Mtu akianza kuzeeka utengenezaji wa collagen unapungua, ndiyo maana ngozi inakuwa na mikunjo (pamoja na nywele kulainika, na viungo kuuma).
Mimi nimekuwa nikiamini kwamba upara wa kurithi unatibika.

Je una maoni gani katika hili mkuu ?
 
Androgenetic alopecia (upara) unatokana na mwili kuzuia damu (ambayo ina virutubisho vyote) kwenda kwenye nywele. Baadae nywele zinanyauka na kupotea (ila shina la nywele linakuwepo). Derma roller inafanya zoezi la Microneeddling inachofanya ni kulazimisha mwili kupeleka virutubisho kwenye shina la nywele kama ilivyokuwa zamani, na hivyo nywele kuanza kuota
Inatumikaje na matokeo ni siku ngapi ?
 
Naweka video jinsi ya kutumia, matokeo kuanzia wiki mbili nywele zinaanza kuota mpaka miezi mitatu nywele zinakuwa zimejaa utumiaji wake ni endelevu kati ya miezi 6 mpaka mwaka upara unafutika kabisa
Hii naweza kuamini aisee.

Maana inafanya kama vidonda then mwili unatuma taarifa za kuponya hayo maeneo kisha kinachofuata na nywele zinapata virutubisho.
 
Hii naweza kuamini aisee.

Maana inafanya kama vidonda then mwili unatuma taarifa za kuponya hayo maeneo kisha kinachofuata na nywele zinapata virutubisho.
Ndiyo 💯, video inagoma, kama hutojali njoo WhatsApp nikutumie video
 
Inatumikaje na matokeo ni siku ngapi ?
Kwa kuwa hii ni natural process, inachukua muda kuona matokeo na pia inategemea na umri na muda gani umeshakuwa na kipara.

Hata hivyo, ukianza leo, matokeo utaanza kuyaona baada ya miezi mitatu hivi, kwa mbali utaona vinywele vidogo sana vikiota (piga picha kabla ya kuanza zoezi na baadae kila baada ya wiki mbili, kulinganisha). Kwa matokeo chanya zaidi endelea kufanya kila baada ya wiki mbili, kwa mwaka mmoja.

Collagens baada ya kutengenezwa kwenye ngozi zinadumu miaka 5 hadi 7. Hivyo nywele zitakuwa zinapata "busti" kwa muda wote huo.
 
Kwa kuwa hii ni natural process, inachukua muda kuona matokeo na pia inategemea na umri na muda gani umeshakuwa na kipara.

Hata hivyo, ukianza leo, matokeo utaanza kuyaona baada ya miezi mitatu hivi, kwa mbali utaona vinywele vidogo sana vikiota (piga picha kabla ya kuanza zoezi na baadae kila baada ya wiki mbili, kulinganisha). Kwa matokeo chanya zaidi endelea kufanya kila baada ya wiki mbili, kwa mwaka mmoja.

Collagens baada ya kutengenezwa kwenye ngozi zinadumu miaka 5 hadi 7. Hivyo nywele zitakuwa zinapata "busti" kwa muda wote huo.
Asante sana.

So after 7 years upara unarudi au sijaelewa miimi ?
 
Asante sana.

So after 7 years upara unarudi au sijaelewa miimi ?

Kama utaacha kabisa kufanya microneedling kwa miaka 7, nywele zitaanza kupotea, collagens zikiisha. Unatakiwa kuendelea kufanya zoezi hilo baada ya ule mwaka mmoja, kwa kupunguza frequency yake, badala ya kila wiki mbili unafanya kila miezi mitatu hivi.
 
Back
Top Bottom