Ijue sayansi ya upara na uwezekano mkubwa wa kuutibu kwake

Ijue sayansi ya upara na uwezekano mkubwa wa kuutibu kwake

Ndiyo 💯, video inagoma, kama hutojali njoo WhatsApp nikutumie video
Mkuu naomba kama hutojali uni pm namba ya whatsap ili naminipate hiyo video ya jinsi ya kudeal na upala. Nimehanagaika nao sana. Msaada wako tafadhari
 
Mkuu naomba kama hutojali uni pm namba ya whatsap ili naminipate hiyo video ya jinsi ya kudeal na upala. Nimehanagaika nao sana. Msaada wako tafadhari

Namba ya WhatsApp +255 621 142 409
Instagram @beauty_tips_tz
 
ADC9DE58-AD28-462B-8453-1A746297118A.jpeg
 
Mi nashangaa kitu kimoja, kwanini Nywele ziote kote ila katis zisiote ikiwa kuna kitu kazi yake ni kuotesha Nywele..... au kinachagua pa kuotesha
 
Mi nashangaa kitu kimoja, kwanini Nywele ziote kote ila katis zisiote ikiwa kuna kitu kazi yake ni kuotesha Nywele..... au kinachagua pa kuotesha
HIli swali huwa najiuliza sana kila siku why ?

Kama inshu ni horomene mbona sehemu zingine inafanya kazi ?

Huwenda dawa ya upara ni ndogo ila tunafichwa
 
HIli swali huwa najiuliza sana kila siku why ?

Kama inshu ni horomene mbona sehemu zingine inafanya kazi ?

Huwenda dawa ya upara ni ndogo ila tunafichwa
Kweli Mkuu Maana wengine wanaota upara na unapona vizuri
 
Kweli Mkuu Maana wengine wanaota upara na unapona vizuri
Nani alipona mkuu...?

Mimi bado nsumiza kichwa how nawez kutibu upara,maana siamini kama genetic disorders hazitibiki mimi akili yangu inaniambia kwamba tatizo sio genetic bali kuna shida sehemu ambayo ikiwa fixed tatizo linaisha.

UNaeeza kutupa shuhuda ambao wamepona mkuu ?
 
Upara ambao ndo unaanza ndo nimeona watu wanautibu kwa kula Sana parachichi na kutumia mnyonyo hiyo ndo Ushuhuda lakini upara ambao umeshakubali unaowaka huo bado Mkuu.
Nani alipona mkuu...?

Mimi bado nsumiza kichwa how nawez kutibu upara,maana siamini kama genetic disorders hazitibiki mimi akili yangu inaniambia kwamba tatizo sio genetic bali kuna shida sehemu ambayo ikiwa fixed tatizo linaisha.

UNaeeza kutupa shuhuda ambao wamepona mkuu ?
 
Upara ambao ndo unaanza ndo nimeona watu wanautibu kwa kula Sana parachichi na kutumia mnyonyo hiyo ndo Ushuhuda lakini upara ambao umeshakubali unaowaka huo bado Mkuu.
Kuna issue ya blood flow katika scalp ambayo huwa naifikiria kwamba inaweza kuwa ni miongoni mwa sababu za watu kutoa upara.


Yaani huwenda damu haifiki vyema pale juu ya utosi na kufanya nywele zisipate nutrients za kutosha,ila bado nina doubt kwamba why ni kwa wanaume tu ? Na sio kwa wanawake sasa...?

Kuna njia pia ya kuifanyia microneedling kwa kutumia visindano vidogo vidogo kama kifaa cha dermaroller ambacho husadikika kinatengeneza vidonda vidogovidogo ambavyo vinafanya issue ya healing kutokea.

Na kukitokea issue ya healing maana yake all the nutrients ambazo ni za muhimu zitakuja hapo na uponyaji unaanza.

By the way hii issue ni mtambuka sana.
 
lakini upara ambao umeshakubali unaowaka huo bado Mkuu.
Huweda ni kama cancer tu kwamba ikiwa katika stage kubwa ni vigumu kuiponya.

Ama necrosis ikishatokea ni kukata sehemu athiriwa tu.

So I second you kwamba na higo upara ukishakuwa wa kitambo ni ngumu kureverse nywele.
 
Kuna issue ya blood flow katika scalp ambayo huwa naifikiria kwamba inaweza kuwa ni miongoni mwa sababu za watu kutoa upara.


Yaani huwenda damu haifiki vyema pale juu ya utosi na kufanya nywele zisipate nutrients za kutosha,ila bado nina doubt kwamba why ni kwa wanaume tu ? Na sio kwa wanawake sasa...?

Kuna njia pia ya kuifanyia microneedling kwa kutumia visindano vidogo vidogo kama kifaa cha dermaroller ambacho husadikika kinatengeneza vidonda vidogovidogo ambavyo vinafanya issue ya healing kutokea.

Na kukitokea issue ya healing maana yake all the nutrients ambazo ni za muhimu zitakuja hapo na uponyaji unaanza.

By the way hii issue ni mtambuka sana.

Wayne Rooney -alifanikiwa I think to heal something ni kuharakisha jambo likia at the early stage .

Wapo watu wamefanikiwa kuondoa Bald Ila ktk early stage.
 
Back
Top Bottom