Ijue sayari ya Jupiter kwa uchache

Ijue sayari ya Jupiter kwa uchache

...Inachukua Muda Gani ili Kuifikis Kutoka Duniani???
Kutoka Duniani kwenda Jupiter ni km 968 Million
Kwa Speed ya mwanza (Light speed) ni 300,000 km/s
FB_IMG_1664286657814.jpg
 
Jupiter imeundwa na vipengele sawa na Vya Nyota Jua ( Hydrogen na Helium ) Lakini hazipo kwa wingi sana na Hazina Uwezo wa Kufanya mchakato ambao huzalisha pressure na Joto ambalo ni la lazima na kupelekea kusababisha Hydrogen to Fuse Helium ili iweze kuwaka , ambapo mchakato huo hufanyika kwa wingi sana kwenye Nyota Jua na mpaka kusababisha kuwaka .
Kwahyo kumbe Jupiter ni gesi tu hizo ambazo haziwaki...kwahyo unaweza kupita katikati
 
Issue ni mifano yake ya 100kg na 240kg. Hizo ni mass. Zinabadilika vipi wakati kitu ni hicho hicho?
Mkuu Uko sawa! Ingawa nilisoma Physics zamani(KAMA SIKUSAHAU),
Mass haibadiliki,ila Weight ndiyo ina badilika kutokana na acceleration of gravity g.
Weight,F=mg, dunian,g=9.8m/second/second.
Kama kule g ni mara 2.4 ya earth,then g ya Jupiter =9.8x2.4=23.52m/s/s.
Weight kwenye Jupiter,F=100kg x 23.52m/s/s=235.2N approx=240N
Hata hivyo nilishasahau!!
 
Jupiter imeundwa na vipengele sawa na Vya Nyota Jua ( Hydrogen na Helium ) Lakini hazipo kwa wingi sana na Hazina Uwezo wa Kufanya mchakato ambao huzalisha pressure na Joto ambalo ni la lazima na kupelekea kusababisha Hydrogen to Fuse Helium ili iweze kuwaka , ambapo mchakato huo hufanyika kwa wingi sana kwenye Nyota Jua na mpaka kusababisha kuwaka .

Kwahiyo uwezi kufika kwenye Mwezi
 
Mkuu Uko sawa! Ingawa nilisoma Physics zamani(KAMA SIKUSAHAU),
Mass haibadiliki,ila Weight ndiyo ina badilika kutokana na acceleration of gravity g.
Weight,F=mg, dunian,g=9.8m/second/second.
Kama kule g ni mara 2.4 ya earth,then g ya Jupiter =9.8x2.4=23.52m/s/s.
Weight kwenye Jupiter,F=100kg x 23.52m/s/s=235.2N approx=240N
Hata hivyo nilishasahau!!

Dah naona mapicha tu
 
Ufafanuzi kuhusu hizo sayari zilipo tafadhali.
1.Je, ni juu, chini au pembeni ya dunia?
2.Je hizo kubwa kuliko dunia nikumaanisha kuwa dunia imo ndani ya hizo?
3.Kuna mchangiaji alisema ukiwa ukitaka kwenda kwenye mwezi unapanda juu lakini tena ukiwa mwezini ukitaka kwenda duniani unapanda juu...,hii iko vipi?
 
Siku hizi Kuna sayari naiona inawaka kiasi Huwa inaanza kuoneka usiku upande wa mashariki na asubuhi Huwa inazama magharibi hi ni sayari gani
 
Wanafikaje huko kwenye anga za mbali kama mwezini na wanatua vipi huko Ahsante.
kutoka duniani mpaka mwenzini ni almost 300,000km kwahiyo spaceship zinafika kwa muda wa siku tatu ,na ilikutua ni kwamba wakifika kwenye anga la mwezi ile lander inachomoka kwenye spaceship inatua kwenye uso wa mwezi kwa gravity
 
Back
Top Bottom