NDENENGO_88
New Member
- Jul 25, 2017
- 4
- 4
Asante, umesema dhamana hutolewa bure
maswali:-
1) Kama mtu hana kazi na hana watu wakumdhamini, umesema anaweza kujidhamini mwenyewe, vitu gani itabidi avitoe ili aruhusiwe kujidhamini?
2) Kama mtu alipewa dhamana akakimbia, (kosa lilikuwa dogo kama labda kutukunana), akikamatwa bado anaweza kupewa dhamana ya pili?
3) Unayo List ya makosa watu wanaweza kupewa dhamana na makosa ambayo watu hawawezi kupewa dhamana? iyo itawasaidia watu,
4. Unaweza kuonyesha kuweka website ya government na vifungu vinavyo onyesha rights za mtu aliyekamatwa?
Jiongeze mtoto wa kiume usipende kutafuniwa kila kitu.....na hili ndio tatizo letu vijana sisi siku hizi hatutaki kusumbua akili zetu kabisa jamaa amekupa elimu kiasi basi nawe sumbua akili basi hata kidogo. TAFUTA KATIBA YA TANZANIA SOMA