IJUE SHERIA: Namna ya kumsaidia ndugu yako kupata dhamana Polisi

Shukulani Mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwanza napenda nikueleze kuwa kutukana mtu siyo kosa ndogo ni kosa kama makosa mengine tu ya jinai

Sio muhimu unieleze, it is obvious to every human being in this world. It a common knowledge. Hata mtoto wa miaka mitano anajua kama kutukana ni kosa.

Kutukana na kuua, kutukana na kumpiga mtu, kutukana na kumwibia mtu, kutukana na kuiba nyumba ya mtu, all is relative. Adhabu ya kutukana na kuua ni tofauti kubwa. Hope you catch my drift.

By the way it is not that i don't understand laws, i have decent understand of the laws, i was trying to advance the discussion and help others.

Ninaposema kosa dogo nalinganisha na makosa mengine makubwa. It should obvious and clear to you and to any right thinking person. All is relative.

Kama serikali ikiamua kuchukulia kutukana very serious half of people on this forums (Jamii forum) will be sitting in prison right now.
 
Polisi wanajua kila kitu,wamepewa elimu ya kutosha ... Serikali inajitahidi sana kuwaelimisha polisi kuhusu raia na haki zao za msingi.... polisi tu hujitoa ufahamu kutengeneza mazingira ya rushwa.
exactly , pia sisi raia tukiwa tunawashinikiza polisi kutupa haki zetu tunapofika sehemu ya kuzidai kama kutaka kuweka dhamana italeta chachu ya wao kutaka kuzifahamu
 
Thanks mkuu kwa elimu hii.je napokua mikononi mwa police na nikaomba kujidhamini mwenyewe,hiyo barua ya selikali ya mtaa na kitambulisho navipataje?,au kuna utaratibu wa kuniruhusu nikavilete?.
hakuna barua ya serikli ya mtaa itahitajika pale utakapotaka kujidhamini mwenyewe , kitakachofanika ni kwamba kuna fomu maalumi utapatiwa kwaajilil ya kuijaza , baada ya kuijaza watakupadhamana
 
Asante kwa elimu hayo ulio yaeleza ni ya msingi ila police wetu wanapenda kupondisha sheria ili kudai kitu kidogo mwanamziki Kali P anawaona wataulizwa tu Siku yao ikifika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi hizi tunazozisoma kila siku kuwa kapata dhamana kwa hundi ya milioni 10 au pesa milioni 20 zimekaaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…