Aniko
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 1,766
- 960
Sasa ukimfukuza mtu si lazima umtafutie na kwa kumfukuzia au mimi sijaelewa?Ardhi yote ya JMTZ ni Mali ya Raisi wa JMTZ zamani ilikuwa Mali ya Ufalme wa Uingereza wakamkabidhi Raisi wa JMTZ, hivyo anaweza kukufukuza kwenye ardhi yake, kwa kifupi sisi wote ni Wapangaji wake, ...