Ijumaa ya leo ikukumbushe tu Sabato ni Jumamosi

Ijumaa ya leo ikukumbushe tu Sabato ni Jumamosi

AHSANTE SANA MTUMISHI ATAKAYEKUPINGA NI LING'OMBE TU (in Tundu Lissu Voice).

QURAN : AL - BAQARA.


65. Na hakika mlikwisha yajua ya wale miongoni mwenu walio ivunja Sabato, (siku ya mapumziko, Jumaa Mosi) na tukawaambia: Kuweni manyani wadhalilifu.

66. Kwa hivyo tukayafanya hayo kuwa onyo kwa wale walio kuwa katika zama zao na walio kuja baada yao, na mawaidha kwa wachamngu.
Asante sana. Mtume Mohammad SAW alikuwa muungwana sana kwenye hili.

Wafuasi tu ndio wanahitaji neema ya kuwa wepesi kuelewa Sabato ya Bwana Mungu wao.
 
Lkn Jumapili Alfajiri ndipo Yesu alifufuka ndio siku ya Ushindi, Hivyo lazima tumwabudu MUNGU siku hiyo Jumapili na sio jumamosi.
SASA WEWE NA WANAFUNZI WA YESU MWENYE AKILI NANI? WAO JUMAMOSI WANALIKUWA WANAPUMZIKA.

JUMAPILI SHAMBANI KUPIGA JEMBE,TENA SIKU YA UFUFUO KABISAA.
ENDELEENI KUINGIZANA CHAKA.

MARKO 16 :12

9Yesu alipofufuka mapema Jumapili, alijionesha kwanza kwa Maria Magdalene, ambaye Yesu alikuwa amemtoa pepo wabaya saba.

10Maria Magdalene akaenda, akawajulisha wale waliokuwa pamoja na Yesu, na wakati huo walikuwa wanaomboleza na kulia.

11Lakini waliposikia ya kwamba Yesu yu hai na kwamba Maria Magdalene amemwona, hawakuamini.

Yesu anawatokea wanafunzi wawili

(Luka 24:13-35)

12Baadaye Yesu aliwatokea wanafunzi wawili akiwa na sura nyingine. Wanafunzi hao walikuwa wanakwenda shambani.
 
Mkuu Danny Faure hupo? Ni kitambo sana Jamvini. Kuna wakati niliuliza h7mu umepotea wapi? Good to read from you.
Nipo mkuu, mzee we Copenhagen.
Humu ni nyumbani mwetu, mauti tu ndio itatutenga na hii kitu JF.
 
Kwa Mujibu was maandiko.
Jumapili ni Siku ya wanafunzi was Yesu kwenda shambani sio kanisani.

Luka 24:13-
...Walikuwa wanakwenda shambani.


Mapokeo yananguvu ingawa yatashindwa na ukweli.
 
Unatunza Sabato we muebrania??
1. MMEJENGWA JUU YA MSINGI WA MITUME NA MANABII NA YESU KRISTO MWENYEWE NDIYE JIWE KUU LA PEMBENI

(MITUME NA MANABII WOTE NA YESU WALIKUWA WAEBRANIA) - WAEFESO 2:20

2.NINYI MNAABUDU MSICHOKIJUA,SISI TUNAABUDU TUKIJUACHO KWA KUWA WOKOVU WATOKA KWA WAYAHUDI -(MANENO YA YESU MWENYEWE) YOHANA 4: 22

IKIWA "SABATO" NI KWA AJILI YA WAEBRANIA BASI NI DHAHIRI INANIHUSU PIA,MAANA MITUME,MANABII NA YESU MWENYEWE WOTE NI WAEBRANIA.

NA WOTE WALIPUMZIKA JUMAMOSI (SABATO) SIO JUMAPILI (SIKU YA KWANZA YA JUMA).

LUKA 23 :54 - 56.

54Siku hiyo ilikuwa Ijumaa, na maandalio ya siku ya Sabato yalikuwa yanaanza.

55Wale wanawake walioandamana na Yesu kutoka Galilaya walimfuata Yosefu, wakaliona lile kaburi na jinsi mwili wake Yesu ulivyowekwa.

56Halafu, walirudi nyumbani, wakatayarisha manukato na marashi ya kuupaka mwili wa Yesu.

Siku ya Sabato walipumzika kama ilivyoamriwa na sheria.
 
Back
Top Bottom