Invigilator
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 3,203
- 5,997
YAANI UKIONA MKIRSTO ANAPINGA JUU YA SABATO JUA KABISA AKILI YAKE HAIKO SAWA,HAIWEZEKANI MTUME MUHAMMAD ASIYE MKRISTO AJUE MAANDIKO KUWAZIDI WAKRISTO WENYEWE KUHUSU SABATO,HAKUWA NA BIBLIA WALA KATEKISIMU.
KUNA WAKATI NAAMINI KABISA UISLAM NA MTUME MUHAMMAD WANA HOJA ZA MSINGI JUU YETU WAKRISTO NA IMANI YETU - AKILI YETU SIO NZURI KABISA.
QURAN - AN - NISAAI 4 : 47
"Enyi mlio pewa Kitabu! (mayahudi na wakristo)Aminini tuliyo yateremsha yenye kusadikisha yale mliyo nayo, kabla hatujazigeuza nyuso tukazipeleka kisogoni, au tukawalaani kama tulivyo walaani watu waliovunja Sabato (Jumaamosi). Na amri ya Mwenyezi Mungu (Sabato) ni lazima ifanyike."
KUNA WAKATI NAAMINI KABISA UISLAM NA MTUME MUHAMMAD WANA HOJA ZA MSINGI JUU YETU WAKRISTO NA IMANI YETU - AKILI YETU SIO NZURI KABISA.
QURAN - AN - NISAAI 4 : 47
"Enyi mlio pewa Kitabu! (mayahudi na wakristo)Aminini tuliyo yateremsha yenye kusadikisha yale mliyo nayo, kabla hatujazigeuza nyuso tukazipeleka kisogoni, au tukawalaani kama tulivyo walaani watu waliovunja Sabato (Jumaamosi). Na amri ya Mwenyezi Mungu (Sabato) ni lazima ifanyike."