Ikifika 2030 hali haitakuwa nzuri kwa baadhi ya wanawake

Ikifika 2030 hali haitakuwa nzuri kwa baadhi ya wanawake

Hii ni kweli sasa nini kifanyike kupunguzq tatizo hilo au hamna namna tusubiri watu kuja kujuta?
Ni kama ijumaa ya wiki ya mwisho kabla ya wiki ya NECTA au UE kuanza. Kama haukusoma hesabu miaka yote au semester nzima. Then kufeli ni inevitable. Labda muujiza.

Hatuwezi rudisha muda nyuma bali kuface the reality, hapa nilichofanya ni kuwajuza tu walimwengu kuwa muda wa kulipia hesabu ya matendo umefika.

Kama vile ilivyo kwa mzee mwenye historia ya uvivu na kutojituma ujanani wakati wa uzee ukimfika basi hata mwanamke aliyetumia ujana wake hadi ukaisha na asitenge muda wa kujijenga kwaajiri ya kuja kuwa na mume na familia kiama chake ni umri ukishamtupa mkono, ataomboleza kila siku hadi uzee na umauti vimfike.
 
Kijana wanawake wa sasa wanachofuata kwenye ndoa ni financial security tu hakuna kingine, yani mkubali mkatae huku ndiko dunia ilikofikia kwahiyo kama wanaume hawako tayari kuoffer hiko kitu kwenye ndoa, basi wanawake wataachana nazo na kujitafutia wenyewe kwahiyo acheni kujifariji

Yani kamwe msifikiri kwamba eti wanawake watarudi zile enzi za kuwabembeleza na kuwanyenyekea ili wapate ndoa, tunakoelea wanaume mkisusa ndoa wanawake nao watatafuta namna ya kuishi bila ndoa, halafu mwisho wa siku tuone nani atasanda

By the way hivyo vibinti mnavyosema mtavioa ndio hivi hivi ambavyo vinatolewa bikira vikiwa primary na vinasema havitaki ndoa vinataka kuzaa tu vilee watoto au kuna vingine, ninyi wenyewe si ndio huwa mnasema hivyo vibinti hata vikiolewa mapema huwa ni visumbufu kwenye ndoa, vinakuwa bado haviko tayari kuwa wake na mama hivyo hupelekea kuachika mapema
FB_IMG_1716884872655.jpg

Wewe unayejiita Jadda sijui ndiyo Jada pinket sijui but dizain huwa nakuchukulia kama mwanamke flani failure kwenye mahusiano ukaangukia kuwa MC kwenye kitchen parties pamoja na kuwa na connection na feminists wa town so umehisi labda ndiyo maisha yalivyopaswa kuwa.

Mind you hakuna maendeleo ktk kitu kinachoitwa maisha ila maendeleo yapo ktk vitu,I mean hakuna kijikundi fulani kitaibuka leo kiseme kiishi tofauti na walioishi kabla yake kifanikiwe kitafanikiwa kwa muda tu baadae kidogo kitajikuta ni useless na ndivyo kilivyo kizazi jeuri cha wanawake miaka yote haya hayajaanza leo tofauti wakati wa wenzako hakukuwa na wide platforms za kujifariji ujinga wao kama mfanyavyo leo,tunawajua kaka zetu na dada zetu wa 70/80s waliojaribu kuishi nje ya natural leo wanahaha,muda tu utasema hakuna anaemtisha mwenzake.
 
Y’all worried about everything, tatizo nini kwani?

Mi mbona naona fresh tu tuendelee kuishi hivi hivi.

Somehow inanishangaza wanaume ambao si waumini wa ndoa ndio mko worried so much kuhusu wanawake kutokuolewa, you are in denial or something??
Denial kuhusu maisha ya mwingine, how? [emoji848] Make that make sense.

So what's so wrong or inaccurate kuhusu prediction ya maisha ya wanawake wa sasa by the year 2030?
 
na miaka 37 kwa mwanaume ni mzee au kijana?
Okay ngoja nikupe formula uishi nayo itakusaidia kuelewa maisha ya jinsia.

Mwaka 1 wa mwanaume ni sawa na miaka 10 ya mwanamke. Yaani mwanamke ukiishi nae mwaka m'moja ukaisha na haujafanya nae lolote umempotezea miaka 10 in women's timeline.

So mwanaume aliyeishi miaka 37 ni sawa na mwanamke aliyeishi miaka 370. Unaweza elewa namna mwanamke anakuwa kachelewa sana kwa umri huo.

Ipo hivi mwanaume anaanza maisha akiwa hana thamani kwa maana ya uwezo wa kimamlaka na mali. Zamani ilikuwa ni kuanzia 40,ikashuka 30 na sasa kuna mabwana wadogo by age 25 tu tayari wanaanza kuwa wamesimama and therefore wanaanza kuonekana muhimu na kuanza kuwa vijana as wana age badala ya kuzeeka.

Miaka 37 kwa mwanaume ni early stage ya ujana kimahusiano. Huo ndio umri kijana anaanza sasa kufuarahia kuitwa mwanaume kama kama vile mwanamke alipokuwa ana miaka 17 akielekea miaka 18.
 
Natafuta ajira na Zemanda wanaongea ukweli wa jinsi hali ya kimahusiano ilivyo hivi sasa, all over the world birth rate na kasi ya watu kuoana imepungua, divorce inashangiliwa, partenity fraud kama zote, China na USA wadada wanalalamika wanaume wengi siku hizi hawataki kutongoza.

Ila upande mwingine nahisi natafuta ajira na Zemanda wako bitter coz walishawahi pigwa vitu vizito na wadada [emoji16] binti kiziwi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatuko bitter mzee. Tuna uchungu tu kuona mambo yanapelekwa kombo.
 
Kuna wanawake wengi tu wana hela ila hawana furaha thus why wanaenda kutafuta waume makanisani, kuna andiko moja linasema "utafika muda ambapo wanawake saba watamfuata mwanaume mmoja na kumwambia tafadhali tunaomba tuitwe kwa jina lako" so bado HAWAJASEMA

Rayns pita hapaa
 
mimi naona mambo ya ndoa yamepungua umuhimu tu

usipooa/kuolewa hutengwi wala nini

sasa sijui ndo tunaiga wazungu au vipi
Kwa mwanamke kuishi maisha nje ya ndoa balaa lake ataliona utu uzimani from 26 kwenda mbele.

Ni sawa na mtu ambaye hajahangaika na kusoma, kupata elimu, wala kujipa weledi wowote akaishi kwa kutegemea fadhila za ndugu. Balaa siku ndugu akitoweka.
 
Kizazi hiki changamoto zipo jinsia zote hasa hiyo yenu hivi tatizo ushoga halioni? Mmefikia hatua ya kuvaa pedi !!!! Pombe, madawa, umalaya, ushoga nk umamdhuru nani kama sio nyie? Mmejikita kunyoosha vidole kwa wanawake ila mmeshindwa kujiokoa nyinyi wenyewe, na uko hapa kujimwambafai kunijibu kama nani? Pambaneni na ya kwenu kabla hamjachelewa la sivyo hali kwenu ni mbaya kuliko mnaowahangaikia
Mbona unaenda off topic sasa ? Nilikujibu vile kwa sababu ulitoka nje ya mada halafu kuna threads zingine ni bora kusoma na kutafakari tu sio lazima uchangie, umeonesha mapungufu mengi sana aisee. Halafu yawezekana kuna watu wa jinsia yako zaidi ya 5000 wameisoma mada ya jamaa na wakakausha tu. Lakini wewe unachichangia kinapingana na uhalisia wa mambo yalivyo. Ukitaka kutuponda sisi wanaume tumekuwa na tabia za kishoga tuanzishie uzi penye kukosoa tutakosoa penye kuhitajika kunyamaza tutanyamaza
 
Mbona unaenda off topic sasa ? Nilikujibu vile kwa sababu ulitoka nje ya mada halafu kuna threads zingine ni bora kusoma na kutafakari tu sio lazima uchangie, umeonesha mapungufu mengi sana aisee. Halafu yawezekana kuna watu wa jinsia yako zaidi ya 5000 wameisoma mada ya jamaa na wakakausha tu. Lakini wewe unachichangia kinapingana na uhalisia wa mambo yalivyo. Ukitaka kutuponda sisi wanaume tumekuwa na tabia za kishoga tuanzishie uzi penye kukosoa tutakosoa penye kuhitajika kunyamaza tutanyamaza
Mbona wewe unanipangia thread ya kuchangia, unanipangia kama nani yangu nakuuliza? Nimeenda off topic inakuhusu we ni mwalimu wangu? Acha shobo hujaelewa nilichoandika sio kazi yangu kukuelewesha na si lazima uniquote
 
Ni miaka 6 imebakia kufika mwaka 2030 ambapo kwa hali ya sasa ya wanawake na tabia na mienendo yao then kuna uwezekano mkubwa wakaingia umri wa utu uzima a.k.a Ukuta wa babeli wakiwa hawana watoto, familia, mume, ndoa ya kueleweka wala anuani ya mji wao.

Hii ni matokeo ya matumizi mabaya ya rasilimali za thamani sana yaani mwili na muda, walizopewa na MUNGU bure bila kulipia hata mia.

Ni ukweli usio pingika kuwa wanawake wa sasa wamejiweka mbali sana na uanaumke kiasi kwamba wanajiendea tu na trends na upepo wa walimwengu wasijue kesho inawajia kwa kasi ya fuso isiyo na break.

Huo mwaka nimeutaja nimelenga uzao wa kuanzia miaka fulani sitoitaja hapa ili kupunguza tension but ukipiga hesabu unaweza jua kama wewe unaangukia wapi.

Najua watakuja wadada wapenda ligi akina Jadda na wengineo na kupinga haya nisemayo ili tu kuipa amani mioyo yao ila ndani ya nafsi wanajua kuwa hali si nzuri.

Watasema wanaume kwao itakuwa same story. Wanaume story yao huwa si sawa na ya mwanamke. Mwanaume huo wakati target audience yake ni younge females ambao wewe watakuwa wanakuita mama au shangazi.

Tazama akina auntie Ezekiel,shilole, wolper, wema, buheti, kajala, etc hao nimewataja sababu ni maarufu ila huku mtaani wapo wengi zaidi ya hao ambao kwa umri wao wanavulia chupi vibwana vidogo umri sawa na wadogo zao au watoto zao wa kuwazaa. Imagine hao 2030 haijafika bado.

Hiki kitakuwa kipindi kigumu sana katika historia ya mahusiano watakachopitia wanawake katika taifa letu na ulimwenguni sababu ya kujitoa ufahamu, kukengeuka, na kuishi nje ya mfumo wa jamii vile uliagiza.

Siku zote kukopa raha kurudisha maumivu. Wengi kwa sasa mnataka kufosi kuishi mafanikio ambayo muda wake hamjaufikia. Matokeo ni kusaliti, kuumiza hisia, kukufuru, kukaranganya jamii, na kuharibu ustawi wa jamii.

This is the price you will pay when that time gets here. Maisha yakianza kukuadabisha hakuna atakaye kutetea wala kuingilia hata awe anakupenda vipi na yupo tayari kwa namna gani kujitoa kukupigania.

Mjiandae kisaikolojia. Maumivu yake si ya ulimwengu huu.
Why umewaza 2030?
 
Kizazi hiki changamoto zipo jinsia zote hasa hiyo yenu hivi tatizo ushoga halioni? Mmefikia hatua ya kuvaa pedi !!!! Pombe, madawa, umalaya, ushoga nk umamdhuru nani kama sio nyie? Mmejikita kunyoosha vidole kwa wanawake ila mmeshindwa kujiokoa nyinyi wenyewe, na uko hapa kujimwambafai kunijibu kama nani? Pambaneni na ya kwenu kabla hamjachelewa la sivyo hali kwenu ni mbaya kuliko mnaowahangaikia
Kuhusu ushoga, ukichukua wanaume 1000 randomly, unahisi mashoga watakuwa wangapi? Nikichukua wanawake 1000 randomly, walio kwenye ndoa halali na wenye familia zao najua watakuwa chini ya salimia 10%.

Pombe sio changamoto ya wanaume kama unavyodhani maana imekuwapo miaka na miaka, matumizi mabaya ya pombe ndio tatizo na ndio maafa huanzia hapo.

Madawa sio swala la wanaume tu, kwasasa limekuwa ni changamoto mpya inayokua kwa kasi ya wanawake pia. Sijui kama uliona lile andiko la uraibu wa wanawake kwenye bangi, pombe na shisha ambayo huwekwa vilevi.

Umalaya ni issue ya kike zaidi sababu ya kutafuta pesa, wanaume wanalala na wanawake wengi changizo kubwa ni kukosa utulivu katika ndoa. Takwimu zinaonyesha ongezeko la wanaume kuwa na wapenzi wengi limeanza miaka ya kizazi hiki cha 1980 kuja leo sababu ya mabadiliko ya tabia za wanawake.
 
Back
Top Bottom