Ikifika 2030 hali haitakuwa nzuri kwa baadhi ya wanawake

Ikifika 2030 hali haitakuwa nzuri kwa baadhi ya wanawake

Unajichoresha sana Mshikaji halafu post zako zinaharibu lengo halisi la huu uzi kausha tu. Masuala ya kujuana sio lengo kuu. Unaupinga huo utafiti? Halafu hao wanaume wanaovaa pedi uliwaona wapi? Acha kuuvuruga huu uzi ili kupindisha kusudi lilokusudiwa. Wasichana kibao wana kazi na kipato cha kujitosheleza wanalilia kusitiriwa. Alafu unakomaza shingo bure tu umeona mfano wa kizazi cha 1980 mpaka 1989 wakina Aunty Ezekiel, Wolper,Uwoya,Wema tayari wameshakuonyesha green light wewe uliyezaliwa early 1990 bado unajifanya huelewi eti 🤣🤣🤣
Huo ushkaji tunao kuanzia lini ndo hizi shobo zenyewe nilizoandika, kujichoresha kwangu wewe kunakuuma nini na kukupunguzia nini?

Wamekuja kuwalilia muwastiri? Au ni kiherehere chenu? Mnashindwa kudeal na mazingira yanayodidimiza utu wa mwanaume mnahangaika na vitu visivyo na madhara? Hicho ndicho mi namaanisha, hujanielewa ila kutaka kujionyesha ulivyo na busara kumbe bogus tu, sina shida na shauri zako sijakuomba acha kiherehere
 
Pia hili suala la kuoa mke mmoja naona limechangia sana kwa wanawake kutokuolewa zama hizi
Sasa si wana wivu wao kwa wao Mkuu hawapendani

Ndo maana mwanamke huwa anamuharibia sana mwenzake katika mafanikio kuliko mwanaume na pia ni mara chache kukuta mwanamke labda binti anamsikiliza mama yake ila babaake atamsikiliza.....
 
Sasa si wana wivu wao kwa wao Mkuu hawapendani

Ndo maana mwanamke huwa anamuharibia sana mwenzake katika mafanikio kuliko mwanaume na pia ni mara chache kukuta mwanamke labda binti anamsikiliza mama yake ila babaake atamsikiliza.....
Hapo ndipo wanapo feli
Wakubali tuu kukaa wanne na kuendelea kama bibi zao
 
Kijana wanawake wa sasa wanachofuata kwenye ndoa ni financial security tu hakuna kingine, yani mkubali mkatae huku ndiko dunia ilikofikia kwahiyo kama wanaume hawako tayari kuoffer hiko kitu kwenye ndoa, basi wanawake wataachana nazo na kujitafutia wenyewe kwahiyo acheni kujifariji

Yani kamwe msifikiri kwamba eti wanawake watarudi zile enzi za kuwabembeleza na kuwanyenyekea ili wapate ndoa, tunakoelea wanaume mkisusa ndoa wanawake nao watatafuta namna ya kuishi bila ndoa, halafu mwisho wa siku tuone nani atasanda

By the way hivyo vibinti mnavyosema mtavioa ndio hivi hivi ambavyo vinatolewa bikira vikiwa primary na vinasema havitaki ndoa vinataka kuzaa tu vilee watoto au kuna vingine, ninyi wenyewe si ndio huwa mnasema hivyo vibinti hata vikiolewa mapema huwa ni visumbufu kwenye ndoa, vinakuwa bado haviko tayari kuwa wake na mama hivyo hupelekea kuachika mapema
Kw hiyo.Aunt Ezekiel.kwa Kale kabwana chake anatafuta financial security?

Na Shishy Baby je kila kuchao anahangaika na vitoto,anatafuta nini kwao?
 
Maisha ya Sasa sio zamani mkuu. kitu kimebadilika lakini wewe bado unawaza zamani. Wanaume saivi hatuoi hao wanawake Nani atawaoa? Hiki nikizazi Cha tofauti usikilingamishe na kilichopita. Kila jinsia lazima ijipange na mabadiliko hayo
Wewe ndo umezungumza, mabadiliko yako jinsia zote ila wenzio wanaona ya wanawake tu ndo na mie nawakumbusha mabadiliko hasi yanayowahusu wanaume ni mabaya zaidi
 
Huo ushkaji tunao kuanzia lini ndo hizi shobo zenyewe nilizoandika, kujichoresha kwangu wewe kunakuuma nini na kukupunguzia nini?

Wamekuja kuwalilia muwastiri? Au ni kiherehere chenu? Mnashindwa kudeal na mazingira yanayodidimiza utu wa mwanaume mnahangaika na vitu visivyo na madhara? Hicho ndicho mi namaanisha, hujanielewa ila kutaka kujionyesha ulivyo na busara kumbe bogus tu, sina shida na shauri zako sijakuomba acha kiherehere
Kuna msemo unasema
Time heals wound
Jipe muda utapona kutukana hapa hadharani ni kujiongezea uchungu na maumivu moyoni mwako.
Kama mahusiano ya kimapenzi yalikuumiza na kukuachia uchungu bado una muda wa kupona na kumove on. Hasira, matusi na maneno yenye kudharirisha hayakusaidii lolote zaidi ya kukuumiza mwenyewe. Many times kwenye posts zako umekuwa ukiandika maneno harsh sana. Haikusaidii. Jifunze kuishi na watu vizuri hata hapa Jamiiforums na utakuwa na maisha yenye kuridhisha lakini ukitaka kujifanya ni Mwajuma Gangstar utaumia wewe na roho yako.
We all have Pains
We all have sorrow
But we are trying to be wise. Because there is tomorrow na haupo hapa jamii forums kwa bahati mbaya bali kwa makusudi maalumu. Huwezi kuivimbia nature utakuwa ni mtu wa huzuni na maumivu maisha yako yote na baadae umri ukienda unapata magonjwa ya kiharusi, presha na magonjwa mengine
 
Kwanza ikifika mwaka huo robo tatu ya wanaume watakua mashoga tatizo namba moja!
- possibility ya watu waliozaliwa 90's kutoboa miaka 40 imeshakua ngumu sana! Kuna safisha safisha inaendelea pengine kiasili ama kimpango
YAni tusubiri Allah atujalie uzima tuone kama tutaishi na nyani au vipi
 
Ni miaka 6 imebakia kufika mwaka 2030 ambapo kwa hali ya sasa ya wanawake na tabia na mienendo yao then kuna uwezekano mkubwa wakaingia umri wa utu uzima a.k.a Ukuta wa babeli wakiwa hawana watoto, familia, mume, ndoa ya kueleweka wala anuani ya mji wao.

Hii ni matokeo ya matumizi mabaya ya rasilimali za thamani sana yaani mwili na muda, walizopewa na MUNGU bure bila kulipia hata mia.

Ni ukweli usio pingika kuwa wanawake wa sasa wamejiweka mbali sana na uanaumke kiasi kwamba wanajiendea tu na trends na upepo wa walimwengu wasijue kesho inawajia kwa kasi ya fuso isiyo na break.

Huo mwaka nimeutaja nimelenga uzao wa kuanzia miaka fulani sitoitaja hapa ili kupunguza tension but ukipiga hesabu unaweza jua kama wewe unaangukia wapi.

Najua watakuja wadada wapenda ligi akina Jadda na wengineo na kupinga haya nisemayo ili tu kuipa amani mioyo yao ila ndani ya nafsi wanajua kuwa hali si nzuri.

Watasema wanaume kwao itakuwa same story. Wanaume story yao huwa si sawa na ya mwanamke. Mwanaume huo wakati target audience yake ni younge females ambao wewe watakuwa wanakuita mama au shangazi.

Tazama akina auntie Ezekiel,shilole, wolper, wema, buheti, kajala, etc hao nimewataja sababu ni maarufu ila huku mtaani wapo wengi zaidi ya hao ambao kwa umri wao wanavulia chupi vibwana vidogo umri sawa na wadogo zao au watoto zao wa kuwazaa. Imagine hao 2030 haijafika bado.

Hiki kitakuwa kipindi kigumu sana katika historia ya mahusiano watakachopitia wanawake katika taifa letu na ulimwenguni sababu ya kujitoa ufahamu, kukengeuka, na kuishi nje ya mfumo wa jamii vile uliagiza.

Siku zote kukopa raha kurudisha maumivu. Wengi kwa sasa mnataka kufosi kuishi mafanikio ambayo muda wake hamjaufikia. Matokeo ni kusaliti, kuumiza hisia, kukufuru, kukaranganya jamii, na kuharibu ustawi wa jamii.

This is the price you will pay when that time gets here. Maisha yakianza kukuadabisha hakuna atakaye kutetea wala kuingilia hata awe anakupenda vipi na yupo tayari kwa namna gani kujitoa kukupigania.

Mjiandae kisaikolojia. Maumivu yake si ya ulimwengu huu.
Wanawake tayari wameishaanza kuteseka hata kabla ya 2030 mkuu.
 
Kwanza ikifika mwaka huo robo tatu ya wanaume watakua mashoga tatizo namba moja!
- possibility ya watu waliozaliwa 90's kutoboa miaka 40 imeshakua ngumu sana! Kuna safisha safisha inaendelea pengine kiasili ama kimpango
YAni tusubiri Allah atujalie uzima tuone kama tutaishi na nyani au vipi
 
Mkuu comment yangu mbona inaeleweka vizuri kabisa wanaolilia ndoa ni wanawake wenye njaa hivyo wanahitaji financial security, na wengine ni kutokana na pressure toka kwenye jamii hivyo wanakuwa desperate na si kwamba wana mapenzi ya dhati sana na wanaume, waulize wanaume wenzio jinsi wale corporate and independent women walivyo wajeuri na ambavyo hawapendi kupelekeshwa sasa wanawake wa aina hiyo tangu lini wakaiweza ndoa
Kwani Afande ananjaa? mbona wapo wengi tu wenye status wanahangaikia ndoa mkuu, kwani akina Jay Dee wananjaa lakini si uliona alivyokuwa tayari kuvunja ndoa ya mwanamke mwenzake?
 
Taasisi ya ndoa inaenda kufa kibudu, yaani zile swagger za "ndoa haina umuhimu" zitazidi kusikika. Sijui watoto watalelewa kwa misingi gani, maana mashuleni nako hakuna nafuu, kanisani/msikitini nako hapafai tena. Taasisi ya ndoa ikifa(kunakuwa na ongezeko la single parenting kama ulaya na marekani) maadili yatapungua sana kwa mtanzania.
 
Kwanza ikifika mwaka huu robo tatu ya wanaume watakua mashoga tatizo namba moja!
- possibility ya watu waliozaliwa 90's kutoboa miaka 40 imeshakua ngumu sana! Kuna safisha safisha inaendelea pengine kiasili ama kimpango
YAni tusubiri Allah atujalie uzima tuone kama tutaishi na nyani au vipi
Hiyo safisha ni kwa wanaume tu au wote waliozaliwa hiyo miaka?
 
Back
Top Bottom