Ikifika 2030 hali haitakuwa nzuri kwa baadhi ya wanawake

Ikifika 2030 hali haitakuwa nzuri kwa baadhi ya wanawake

Kijana wanawake wa sasa wanachofuata kwenye ndoa ni financial security tu hakuna kingine, yani mkubali mkatae huku ndiko dunia ilikofikia kwahiyo kama wanaume hawako tayari kuoffer hiko kitu kwenye ndoa, basi wanawake wataachana nazo na kujitafutia wenyewe kwahiyo acheni kujifariji

Yani kamwe msifikiri kwamba eti wanawake watarudi zile enzi za kuwabembeleza na kuwanyenyekea ili wapate ndoa, tunakoelea wanaume mkisusa ndoa wanawake nao watatafuta namna ya kuishi bila ndoa, halafu mwisho wa siku tuone nani atasanda

By the way hivyo vibinti mnavyosema mtavioa ndio hivi hivi ambavyo vinatolewa bikira vikiwa primary na vinasema havitaki ndoa vinataka kuzaa tu vilee watoto au kuna vingine, ninyi wenyewe si ndio huwa mnasema hivyo vibinti hata vikiolewa mapema huwa ni visumbufu kwenye ndoa, vinakuwa bado haviko tayari kuwa wake na mama hivyo hupelekea kuachika mapema
Tatizo ni kwamba mwanamke hawezi kuishi bila mwanaume, jinsi alivyoumbwa kaumbwa kuongozwa na kutawaliwa, sasa kwa point ya mleta mada mwanamke ndio ataumia zaidi.
 
Mkuu comment yangu mbona inaeleweka vizuri kabisa wanaolilia ndoa ni wanawake wenye njaa hivyo wanahitaji financial security, na wengine ni kutokana na pressure toka kwenye jamii hivyo wanakuwa desperate na si kwamba wana mapenzi ya dhati sana na wanaume, waulize wanaume wenzio jinsi wale corporate and independent women walivyo wajeuri na ambavyo hawapendi kupelekeshwa sasa wanawake wa aina hiyo tangu lini wakaiweza ndoa
In general, mwanamke analilia ndoa kutuliza nafsi yake, to calm her emotional anxiety, yakiwemo hayo ya security, validation etc na ndio maana tunasema mwanamke hawezi kuishi bila mwanaume, and that's by design, sio kwamba ni financial issues tu, tupunguze ujuha jamani, shida kubwa hamuolewi sababu ya Big Egos km hizi, ujuaji mwingi mno.
 
Usitake watu tukaongea siri za kikeni bana, wanawake hawalii hadharani kama usemavyo kwasababu “kila mwanamke anaye mtu inbox kwake anayetaka kumuoa “ namaanisha kila…… Tatizo ni kwanini hawaolewi? ni kwasababu ya vigezo ambavyo kila mmoja amejiwekea ambapo mi sioni tatizo, Hizi pressure zinafanya watu wafanye wrong choices, hence muda ukifika wa kuoneshana shege mje mtulilie humu!

Hao mnaowaona wanalia kwa mwamposa kama asemavyo Me and me Sio kwamba hawana wakuwaoa, Nasikikitika kulisema hili 😂😂😂😂 halikutakiwa kusemwa hadharani. Watu wanaombea Mr.right wao nyie mnadhani wanaombea “chochote”. Tatizo wanaume kila siku nawaambia mnapenda kuzungumzia mambo ya wanawake wakati completely hamyajui. Sijasema ni kitu sahihi wanafanya naomba nisinukuliwe vibaya 😆 Najaribu tu kuwasanua wanaume mambo yanayoendelea kwenye maisha ya wanawake, Kila siku nawaambia mko worried na watu ambao hawako worried.


Tunaijua hii ni psychological manipulations mnafanya. Na some of you mnafanya kwa kujua, wengine hamjui kama mna fanya. Mi nipo hapa kuobserve.
Kusema kila mwanamke anaye MTU anataka kumuoa sio kweli.

1. Sisi vijana kwasasa hatuwahi kuoa kwasababu ya ugumu wa maisha. Najua wengi watapinga lakini huu ndio uhalisia maisha ya vijana wengi kipato Chao Ni chini ya 20k hivyo ningumu kuendesha familia , vijana hawana Nyumba , imagine kijana amemaliza chuo At 23 ys mpaka ajipange aoe nilini? Na katika kizazi Cha mademu aliokua nao hataweza kuoa Tena katika kizazi hicho hivyo hata yule anayemwambia atamuo itakuwa niuongo tu 😅
 
Tatizo ni kwamba mwanamke hawezi kuishi bila mwanaume, jinsi alivyoumbwa kaumbwa kuongozwa na kutawaliwa, sasa kwa point ya mleta mada mwanamke ndio ataumia zaidi.
Kwasasa wanatakiwa kubadilika , ukweli mchungu nikuwa sio kila mwanamke ataolewa , au atadumu kwenye hiyo ndoa kwa muda mrefu.
 
Kusema kila mwanamke anaye MTU anataka kumuoa sio kweli.

1. Sisi vijana kwasasa hatuwahi kuoa kwasababu ya ugumu wa maisha. Najua wengi watapinga lakini huu ndio uhalisia maisha ya vijana wengi kipato Chao Ni chini ya 20k hivyo ningumu kuendesha familia , vijana hawana Nyumba , imagine kijana amemaliza chuo At 23 ys mpaka ajipange aoe nilini? Na katika kizazi Cha mademu aliokua nao hataweza kuoa Tena katika kizazi hicho hivyo hata yule anayemwambia atamuo itakuwa niuongo tu 😅
Sawasawa.
 
Kizazi hiki changamoto zipo jinsia zote hasa hiyo yenu hivi tatizo ushoga halioni? Mmefikia hatua ya kuvaa pedi !!!! Pombe, madawa, umalaya, ushoga nk umamdhuru nani kama sio nyie? Mmejikita kunyoosha vidole kwa wanawake ila mmeshindwa kujiokoa nyinyi wenyewe, na uko hapa kujimwambafai kunijibu kama nani? Pambaneni na ya kwenu kabla hamjachelewa la sivyo hali kwenu ni mbaya kuliko mnaowahangaikia
Haya ya ushoga yanachangiwa na baba kuwa dhaifu hivyo mtoto kupata malezi ya mama pekee bila baba, udhaifu wa baba unaonekana pale either baba kukimbia nyumba sababu kamshindwa mwanamke au baba yupo ndani ila anatawaliwa na mama. Lawama zinatakiwa kwenda kwa baba lakini inakupa picha mwanamke akiachiwa usukani jamii inakuwa na hali gani, kila kitu kinaharibika, na ndio maana naamini mwanamke kususia ndoa ni kujipoteza mwenyewe, kama mwanamke hakubahatika kuolewa sio tatizo ila isimfanye awe negative kuhusu ndoa, get in line.
 
Haya ya ushoga yanachangiwa na baba kuwa dhaifu hivyo mtoto kupata malezi ya mama pekee bila baba, udhaifu wa baba unaonekana pale either baba kukimbia nyumba sababu kamshindwa mwanamke au baba yupo ndani ila anatawaliwa na mama. Lawama zinatakiwa kwenda kwa baba lakini inakupa picha mwanamke akiachiwa usukani jamii inakuwa na hali gani, kila kitu kinaharibika, na ndio maana naamini mwanamke kususia ndoa ni kujipoteza mwenyewe, kama mwanamke hakubahatika kuolewa sio tatizo ila isimfanye awe negative kuhusu ndoa, get in line.
Umefanya utafiti kuhusu sababu za ushoga mkuu? Au umekisia
 
2019 ndoa ilikuwa na miaka 20 hadi sasa. Ndoa kama haikuvunjika ina Miaka 25.
Kama aliolewa na miaka 20 so now Jadda ana miaka takriban 45 aisee SASA MBONA BIBI ANAANDIKAGA UJINGA?
Sindiyo hapo mkuu
Mimi namchora tu anavyopotosha watu sasa hivi Kuna ID alikuwa anatumia Zamani something adelyn hiv akaanzisha Uzi flani hivi kwa itikadi zake za feminists na hiyo ilikuwa 2019
Bàdae wakaja kuunganisha ID yake ya zamani na hii mpya
Jina la Uzi limenitoka
 
Tafiti za nini sasa? sababu kubwa ni mtoto kuwa na confusion kuhusu jinsia yake na hii inatokana na mtoto kukosa strong father figure
Anaempindua na ku break manhood ya huyo mtoto ni mwanamke au mwanaume?!

Eti strong father figure! Asilimia kubwa ya wavulana (wanaojiita wanaume) wa sasa ni sperm donors tu na irresponsible dead bits.

Men, African Men, go back to your roots!

Women ain’t your enemies, the real enemy is in your head and your zipper.
 
Kijana wanawake wa sasa wanachofuata kwenye ndoa ni financial security tu hakuna kingine, yani mkubali mkatae huku ndiko dunia ilikofikia kwahiyo kama wanaume hawako tayari kuoffer hiko kitu kwenye ndoa, basi wanawake wataachana nazo na kujitafutia wenyewe kwahiyo acheni kujifariji

Yani kamwe msifikiri kwamba eti wanawake watarudi zile enzi za kuwabembeleza na kuwanyenyekea ili wapate ndoa, tunakoelea wanaume mkisusa ndoa wanawake nao watatafuta namna ya kuishi bila ndoa, halafu mwisho wa siku tuone nani atasanda

By the way hivyo vibinti mnavyosema mtavioa ndio hivi hivi ambavyo vinatolewa bikira vikiwa primary na vinasema havitaki ndoa vinataka kuzaa tu vilee watoto au kuna vingine, ninyi wenyewe si ndio huwa mnasema hivyo vibinti hata vikiolewa mapema huwa ni visumbufu kwenye ndoa, vinakuwa bado haviko tayari kuwa wake na mama hivyo hupelekea kuachika mapema
Mwanamme hazeeki , wakati wewe ukifika age ya 40 huna soko mwanamme age ya 40 ana soko kila kona maana uchumi wake mara nyingi huwa stable sasa kama unafuata uchumi kwenye ndoa maana yake mwanamme ana uhakika wa kuoa kuliko wa wewe kuolewa na kwa kuwa mpo kwa ajili ya uchumi maana yake ni kwamba mtatumika sana hadi mpoteze mvuto kabisa.
Mwombeni Mungu sana mambo ni magumu upande wenu zaidi sisi ukizingua tunadump tu wanaotutaka ni wengi na wengi wao wanataka ndoa wakati ninyi wanaowatafuta wengi ni kupita tu wanaishia.
 
Duu ina maana huyu Jadda anamwaka wa 20 kwenye ndoa.
Screenshot_20240826-183323.png

😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

Tatizo la huyu binti anapenda mashindano mpaka anajidanya wenyewe, halafu ubaya anashindana na reality.Mbishi ila huwezi kushinana na nature,utazunguka ila baadae utakubaliana na reality.
 
Anaempindua na ku break manhood ya huyo mtoto ni mwanamke au mwanaume?!

Eti strong father figure! Asilimia kubwa ya wavulana (wanaojiita wanaume) wa sasa ni sperm donors tu na irresponsible dead bits.

Men, African Men, go back to your roots!

Women ain’t your enemies, the real enemy is in your head and your zipper.
Mwanaume anayemuingilia mwenzake huyo si muumini wa uanaume, anashusha hadhi ya kiume, ni mjinga kama mjinga anayeingiliwa. Wote wamekosa strong fathers ndio maana wana gender confusion, silaumu mwanamke kwa matatizo ya wanaume ila nawaona ni wajinga pale wanapoamua kuwa liberals eti sababu wanaweza kutengeneza kipato binafsi, kwa maana mwanamke kuwa an independent body inachangia kwa kiasi kikubwa for male emasculation.
 
Mwanaume anayemuingilia mwenzake huyo si muumini wa uanaume, anashusha hadhi ya kiume, ni mjinga kama mjinga anayeingiliwa.
Kama anayeingiliwa ni mtoto huo ujinga bado nae unamuhusu?

Na unawezaje kurahisisha tendo la kumvunja mtu Utu wake na hatimaye kumbadili jinsia eti ni Ujinga?!

Unalifanya lionekane jambo dogo kwa sababu muhusika ni mwanaume au sio?

Wote wamekosa strong fathers ndio maana wana gender confusion,
Mwanaume anamlawiti mtoto wa kiume huwezi kusema ana gender confusion, this is pure hypocrisy!

silaumu mwanamke kwa matatizo ya wanaume ila nawaona ni wajinga pale wanapoamua kuwa liberals eti sababu wanaweza kutengeneza kipato binafsi,
Ndicho umesema kwenye statement niliyo ku quote. Kwamba matatizo yote ikiwemo la ushoga chanzo kikuu ni mwanamke.

Ujinga wao ni kukataa kubaki hata katika situations wanazoona hawafai kuendelea kuwepo?

Kwani maisha yao sio maamuzi yao?

Suala la mwanamke kuweza kutengeneza kipato chake mwenyewe na kisiingiliwe na mtu ni zaidi ya ushindi kwa mwanamke, ask your Women relatives waliokuwepo at least miaka 20 tu iliyopita hali ilikuwaje kwa mwanamke kuhusu suala la mapato na matumizi?!

kwa maana mwanamke kuwa an independent body inachangia kwa kiasi kikubwa for male emasculation.
Now, hapa sasa ndio umeusema Ukweli ambao all your male counter parts hawataki kuukubali.

Tatizo hapa sio wanawake na matendo yao, tatizo ni insecurities, fear of the unknown & ego walizonazo wanaume kuhusu Uhalisia wao na Umuhimu wao kwenye haya Maisha.

99.99% of human males are brought up believing that they are special creatures and that females are their personal properties to use as they please and they should not expect any consequences.

Sasa dunia imepinduka, kila kitu ni more colorful and almost realistic kiasi wanawake hawahitaji tena kupapasa kuzipata njia zao, they can move and make choices freely.

The black and white world that our grandmas, our mothers lived in, is long gone.

For as long as tukiendelea kudhalilishana na kukoseana heshima na utu, hakuna kile tutabadilisha zaidi ya SISI kubadilishwa na nyakati kama ilivyo sasa.

For both human Males and Females, hakuna mjanja kwa maisha ya sasa ila Kama alivyosema DR HAYA LAND, only the Fittest will survive. Sasa sio fit ya Gym!
 
Back
Top Bottom