ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Usiiseme timu ya Dr Restart wewe🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiiseme timu ya Dr Restart wewe🤔
Tajiri Hana BAYA huyoo kuanzia Leo yeye ni mwananchiiiUsiiseme timu ya Dr Restart wewe🤔
Jana vijana wa Ultrasound waliwatoa ulimi kweli kweli vyura wakongwe bado kidogo watapike nyonga. Baada ya mechi tuliwaona kina Mzee Aucho viungo vyote havifanyi kazi hata kutembea kwenda vyumbani ilikuwa shida.
Tunaenda kuongeza chuma moja matata sana kusimama pale namba 9 akishare namba na Mukwala.
Derby ijayo mwezi wa 10 hawa chura wazee watakuwa tayari wamesogeza umri kwa miezi 2 na hapo kati watakuwa wameshagongwagongwa visigino na wahuni wa mikoani (ukiacha zile timu 7 zilizo chini ya GSM). Hapohapo vijana wa Ultrasound watakuwa wameshaanza kupata physics. Miezi miwili katika uzee ni kama miaka 2, kama hauniamini mimi muulize babako.
Ubaya Ubwela!
Mtagombana Dr Restart 😂🙌Tajiri Hana BAYA huyoo kuanzia Leo yeye ni mwananchiii
Tajiri Hana baya eti tajiri Dr Restart wewe si mwananchiiiMtagombana Dr Restart 😂🙌
Matusi haya 🤣🤣🤣Tajiri Hana BAYA huyoo kuanzia Leo yeye ni mwananchiii
🤣😁😁😁😁😁😁😁Matusi haya 🤣🤣🤣
Nikawe chura?
Huo ndiyo uzuri wa mashabiki wa Simba mbele ya viongozi wao, usipoweza kuongoza Simba sijui utaweza kuongoza nini. Hiyo timu yenu safari hii inaenda kushika either nafasi ya 4 au ya 5 si mmeshaambiwa kuwa vijana bado wanakua hivyo wapewe misimu miwiliJana vijana wa Ultrasound waliwatoa ulimi kweli kweli vyura wakongwe bado kidogo watapike nyonga. Baada ya mechi tuliwaona kina Mzee Aucho viungo vyote havifanyi kazi hata kutembea kwenda vyumbani ilikuwa shida.
Tunaenda kuongeza chuma moja matata sana kusimama pale namba 9 akishare namba na Mukwala.
Derby ijayo mwezi wa 10 hawa chura wazee watakuwa tayari wamesogeza umri kwa miezi 2 na hapo kati watakuwa wameshagongwagongwa visigino na wahuni wa mikoani (ukiacha zile timu 7 zilizo chini ya GSM). Hapohapo vijana wa Ultrasound watakuwa wameshaanza kupata physics. Miezi miwili katika uzee ni kama miaka 2, kama hauniamini mimi muulize babako.
Ubaya Ubwela!
Mzee pacome akipimwa umri na kinda zimbweJana vijana wa Ultrasound waliwatoa ulimi kweli kweli vyura wakongwe bado kidogo watapike nyonga. Baada ya mechi tuliwaona kina Mzee Aucho viungo vyote havifanyi kazi hata kutembea kwenda vyumbani ilikuwa shida.
Tunaenda kuongeza chuma moja matata sana kusimama pale namba 9 akishare namba na Mukwala.
Derby ijayo mwezi wa 10 hawa chura wazee watakuwa tayari wamesogeza umri kwa miezi 2 na hapo kati watakuwa wameshagongwagongwa visigino na wahuni wa mikoani (ukiacha zile timu 7 zilizo chini ya GSM). Hapohapo vijana wa Ultrasound watakuwa wameshaanza kupata physics. Miezi miwili katika uzee ni kama miaka 2, kama hauniamini mimi muulize babako.
Ubaya Ubwela!
Kabisa yaani. RAGE siyo kwamba anaonekana tu, bali ni kweli kuwa ni supastaaa maana aligundua umbumbumbu wa wana SANDA FC..!!Nyie ndio mnafanya Rage anaoneka supastaa
Wanatunisha mashavu tu kudadadeq
😁🤣🤣🤣🤣Wanatunisha mashavu tu kudadadeq
Sitashangaa kukuta huyo mpuuzi Pakome anatumia dawa za kuongeza nguvu. Halafu hiyo jamaa wa hapo nyuma hakuvuka mstari wa kati dakika zote 90.Mpaka mseme huyu kijana aliyefukuzwa na Mzee Pacome ...alikuwa anapuliza kuni, mkaaa au puto ....au alishindwa kumkaba Mzee akaona ampulize adondoke ....View attachment 3065721
We waacha wanadhani natania. Hawajui sayansi ya ukuaji haoHata kama hao wakiwepo SAYVILLE amefafanua vizuri vile watakuwa baada ya miezi miwili. Ameelezea kwa sayansi ya ukuaji.
Ova
Huyo Joyce aliyechangamka alizidiwa ubavu refa akamuokoa akaita hiyo ni faulo
Kazi na umri . Wazee mwaka huu Kazi wanayoMpaka mseme huyu kijana aliyefukuzwa na Mzee Pacome ...alikuwa anapuliza kuni, mkaaa au puto ....au alishindwa kumkaba Mzee akaona ampulize adondoke ....View attachment 3065721
Sitashangaa kukuta huyo mpuuzi Pakome anatumia dawa za kuongeza nguvu
Hiki ndiyo kipimo sahihi cha umri.Mzee pacome akipimwa umri na kinda zimbwe
Nalishaziona hizo video. Kwani unadhani wanaotumia madawa hawafanyi mazoezi?Hakuna cha dawa wala jamaa bali yupo serious sana msimu huu na kazi, ana program zake mwenyewe maalumu za mazoezi. View attachment 3066424View attachment 3066425
Kusema tu kuwa haushangai maanake umemtuhumu kutumia dawa. Kwanini mtu atume picha ya namna alivyokuwa akipambana halafu wewe umuhishishe na kutumia madawa?Nalishaziona hizo video. Kwani unadhani wanaotumia madawa hawafanyi mazoezi?
Anyway simtuhumu wala sina nia ya kuanzisha mjadala kuhusu hilo. Kuna kitu tu nimekiona toka msimu uliopita.
Nimekwambia sijawaza hili leo tu eti kwenye hiyo picha. Toka msimu uliopita hilo lilikuwa kichwani mwangu kutokana na yale niliyoyaona na ninayoyajua kuhusu hayo madawa. Usinilazimishe niseme zaidi ya hapoKusema tu kuwa haushangai maanake umemtuhumu kutumia dawa. Kwanini mtu atume picha ya namna alivyokuwa akipambana halafu wewe umuhishishe na kutumia madawa?