Ikifika Derby ya October, wazee wa Yanga watakuwa wamesogeza umri kwa miezi miwili

Ikifika Derby ya October, wazee wa Yanga watakuwa wamesogeza umri kwa miezi miwili

Nimekwambia sijawaza hili leo tu eti kwenye hiyo picha. Toka msimu uliopita hilo lilikuwa kichwani mwangu kutokana na yale niliyoyaona na ninayoyajua kuhusu hayo madawa. Usinilazimishe niseme zaidi ya hapo
MPUMBAVU wewe,nenda kashitaki CAF.
 
Nimekwambia sijawaza hili leo tu eti kwenye hiyo picha. Toka msimu uliopita hilo lilikuwa kichwani mwangu kutokana na yale niliyoyaona na ninayoyajua kuhusu hayo madawa. Usinilazimishe niseme zaidi ya hapo
Kwenye swala la kuwaza ujinga na upumbavu na kutokuwa na akili hakuna anayekuzidi humu JF. Yaani wewe ni mjinga kiwango cha juu, vipi Magufuli umeshaenda kumsimika ili Simba achukue makombe? Mpaka mods waliamua kufutilia mbali uzi wa tahira wewe. Sasa unapayuka Pacome mara unamshutumu mara sio kama namshutumu hata unachosimamia ukielewi. Haya peleka vithibitisho vyake FIFA, CAF na TFF kuhusu hayo madawa maana wewe unajua sana kuliko watu wa CAF.
 
Yule boka umri wake miaka 28 lakini Jana kamkimbiza kijana wa miaka 20 wa Azam mpaka akatema bungo, Sasa sijui kwanini umri aukumsaidia kubattle na shadrack boka
 
Back
Top Bottom