Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Habari za muda huu ladies and gentlemen.
I wish nisikwaze mtu yeyote kwenye huu uzi.
atakaekwazika naomba anisamehe saaana
kijana mwenzenu () niko katika mchaka mchaka wa kupambana na maisha kama ilivyo ada
nimejiwekea malengo mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka huu niwe na milioni 3 na zaidi
naomba niacha alama hapa.
muda ukifika, hili kaburi lifukuliwe😅😅😅
kwa sasa nina laki 674,500.
Hii hela kwa wiki inanipa net profit ya Tsh 70,000 mpaka 100,000.
mwisho wa mwaka nataka nihesabu lundo kama Hili hapa
I wish nisikwaze mtu yeyote kwenye huu uzi.
atakaekwazika naomba anisamehe saaana
kijana mwenzenu () niko katika mchaka mchaka wa kupambana na maisha kama ilivyo ada
nimejiwekea malengo mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka huu niwe na milioni 3 na zaidi
naomba niacha alama hapa.
muda ukifika, hili kaburi lifukuliwe😅😅😅
kwa sasa nina laki 674,500.
Hii hela kwa wiki inanipa net profit ya Tsh 70,000 mpaka 100,000.
mwisho wa mwaka nataka nihesabu lundo kama Hili hapa